Prev  

83. Surah Al-Mutaffifîn سورة المطفّفين

  Next  




Ayah  83:1  الأية
    +/- -/+  
بِسْم ِ اللهِ الرَّحْمَٰنِ الرَّحِيمِ

Ayah  83:2  الأية
    +/- -/+  
الَّذِينَ إِذَا اكْتَالُوا عَلَى النَّاسِ يَسْتَوْفُونَ
Swahili
 
Ambao wanapo jipimia kwa watu hudai watimiziwe.

Ayah  83:3  الأية
    +/- -/+  
وَإِذَا كَالُوهُمْ أَو وَّزَنُوهُمْ يُخْسِرُونَ
Swahili
 
Na wao wanapo wapimia watu kwa kipimo au mizani hupunguza.

Ayah  83:4  الأية
    +/- -/+  
أَلَا يَظُنُّ أُولَٰئِكَ أَنَّهُم مَّبْعُوثُونَ
Swahili
 
Kwani hawadhani hao kwamba watafufuliwa


Ayah  83:6  الأية
    +/- -/+  
يَوْمَ يَقُومُ النَّاسُ لِرَبِّ الْعَالَمِينَ
Swahili
 
Siku watapo msimamia watu Mola Mlezi wa walimwengu wote?

Ayah  83:7  الأية
    +/- -/+  
كَلَّا إِنَّ كِتَابَ الْفُجَّارِ لَفِي سِجِّينٍ
Swahili
 
Hasha! Hakika maandiko ya wakosefu bila ya shaka yamo katika Sijjin.



Ayah  83:10  الأية
    +/- -/+  
وَيْلٌ يَوْمَئِذٍ لِّلْمُكَذِّبِينَ
Swahili
 
Ole wao siku hiyo kwa wanao kadhibisha!

Ayah  83:11  الأية
    +/- -/+  
الَّذِينَ يُكَذِّبُونَ بِيَوْمِ الدِّينِ
Swahili
 
Ambao wanaikadhibisha Siku ya Malipo.

Ayah  83:12  الأية
    +/- -/+  
وَمَا يُكَذِّبُ بِهِ إِلَّا كُلُّ مُعْتَدٍ أَثِيمٍ
Swahili
 
Wala haikadhibishi ila kila mwenye kuruka mipaka, mwenye dhambi.

Ayah  83:13  الأية
    +/- -/+  
إِذَا تُتْلَىٰ عَلَيْهِ آيَاتُنَا قَالَ أَسَاطِيرُ الْأَوَّلِينَ
Swahili
 
Anapo somewa Aya zetu husema: Ni visa vya watu wa kale!

Ayah  83:14  الأية
    +/- -/+  
كَلَّا ۖ بَلْ ۜ رَانَ عَلَىٰ قُلُوبِهِم مَّا كَانُوا يَكْسِبُونَ
Swahili
 
Hasha! Bali yametia kutu juu ya nyoyo zao hao walio kuwa wakiyachuma.

Ayah  83:15  الأية
    +/- -/+  
كَلَّا إِنَّهُمْ عَن رَّبِّهِمْ يَوْمَئِذٍ لَّمَحْجُوبُونَ
Swahili
 
Hasha! Hakika hao siku hiyo bila ya shaka watazuiliwa na neema za Mola wao Mlezi.

Ayah  83:16  الأية
    +/- -/+  

Ayah  83:17  الأية
    +/- -/+  
ثُمَّ يُقَالُ هَٰذَا الَّذِي كُنتُم بِهِ تُكَذِّبُونَ
Swahili
 
Kisha waambiwe: Haya ndiyo mliyo kuwa mkiyakadhabisha.

Ayah  83:18  الأية
    +/- -/+  
كَلَّا إِنَّ كِتَابَ الْأَبْرَارِ لَفِي عِلِّيِّينَ
Swahili
 
Hasha! Hakika maandiko ya watu wema bila ya shaka yamo katika I'liyyin.

Ayah  83:19  الأية
    +/- -/+  


Ayah  83:21  الأية
    +/- -/+  

Ayah  83:22  الأية
    +/- -/+  
إِنَّ الْأَبْرَارَ لَفِي نَعِيمٍ
Swahili
 
Hakika watu wema bila ya shaka watakuwa katika neema.

Ayah  83:23  الأية
    +/- -/+  

Ayah  83:24  الأية
    +/- -/+  
تَعْرِفُ فِي وُجُوهِهِمْ نَضْرَةَ النَّعِيمِ
Swahili
 
Utatambua katika nyuso zao mng'aro wa neema,

Ayah  83:25  الأية
    +/- -/+  
يُسْقَوْنَ مِن رَّحِيقٍ مَّخْتُومٍ
Swahili
 
Watanyweshwa kinywaji safi kiliyo tiwa muhuri,

Ayah  83:26  الأية
    +/- -/+  
خِتَامُهُ مِسْكٌ ۚ وَفِي ذَٰلِكَ فَلْيَتَنَافَسِ الْمُتَنَافِسُونَ
Swahili
 
Muhuri wake ni miski. Na katika hayo washindanie wenye kushindana.


Ayah  83:28  الأية
    +/- -/+  
عَيْنًا يَشْرَبُ بِهَا الْمُقَرَّبُونَ
Swahili
 
Chemchem watakayo inywa walio kurubishwa.

Ayah  83:29  الأية
    +/- -/+  
إِنَّ الَّذِينَ أَجْرَمُوا كَانُوا مِنَ الَّذِينَ آمَنُوا يَضْحَكُونَ
Swahili
 
Kwa hakika wale walio kuwa wakosefu walikuwa wakiwacheka walio amini.

Ayah  83:30  الأية
    +/- -/+  
وَإِذَا مَرُّوا بِهِمْ يَتَغَامَزُونَ
Swahili
 
Na wanapo pita karibu yao wakikonyezana.

Ayah  83:31  الأية
    +/- -/+  
وَإِذَا انقَلَبُوا إِلَىٰ أَهْلِهِمُ انقَلَبُوا فَكِهِينَ
Swahili
 
Na wanapo rudi kwa watu wao hurudi nao wamefurahi.

Ayah  83:32  الأية
    +/- -/+  
وَإِذَا رَأَوْهُمْ قَالُوا إِنَّ هَٰؤُلَاءِ لَضَالُّونَ
Swahili
 
Na wanapo waona husema: Hakika hawa ndio khasa walio potea.

Ayah  83:33  الأية
    +/- -/+  
وَمَا أُرْسِلُوا عَلَيْهِمْ حَافِظِينَ
Swahili
 
Na wao hawakutumwa wawe walinzi juu yao.

Ayah  83:34  الأية
    +/- -/+  
فَالْيَوْمَ الَّذِينَ آمَنُوا مِنَ الْكُفَّارِ يَضْحَكُونَ
Swahili
 
Basi leo walio amini ndio watawacheka makafiri,

Ayah  83:35  الأية
    +/- -/+  

Ayah  83:36  الأية
    +/- -/+  
هَلْ ثُوِّبَ الْكُفَّارُ مَا كَانُوا يَفْعَلُونَ
Swahili
 
Je! makafiri wamelipwa malipo ya yale waliyo kuwa wakiyatenda?





© EsinIslam.Com Designed & produced by The Awqaf London. Please pray for us