Prev  

89. Surah Al-Fajr سورة الفجر

  Next  




Ayah  89:1  الأية
    +/- -/+  
بِسْم ِ اللهِ الرَّحْمَٰنِ الرَّحِيمِ




Ayah  89:5  الأية
    +/- -/+  
هَلْ فِي ذَٰلِكَ قَسَمٌ لِّذِي حِجْرٍ
Swahili
 
Je! Hapana katika haya kiapo kwa mwenye akili?

Ayah  89:6  الأية
    +/- -/+  
أَلَمْ تَرَ كَيْفَ فَعَلَ رَبُّكَ بِعَادٍ
Swahili
 
Kwani hukuona jinsi Mola wako Mlezi alivyo wafanya kina A'di?


Ayah  89:8  الأية
    +/- -/+  
الَّتِي لَمْ يُخْلَقْ مِثْلُهَا فِي الْبِلَادِ
Swahili
 
Ambao haukuumbwa mfano wake katika nchi?

Ayah  89:9  الأية
    +/- -/+  
وَثَمُودَ الَّذِينَ جَابُوا الصَّخْرَ بِالْوَادِ
Swahili
 
Na Thamudi walio chonga majabali huko bondeni?


Ayah  89:11  الأية
    +/- -/+  

Ayah  89:12  الأية
    +/- -/+  

Ayah  89:13  الأية
    +/- -/+  
فَصَبَّ عَلَيْهِمْ رَبُّكَ سَوْطَ عَذَابٍ
Swahili
 
Basi Mola wako Mlezi aliwapiga mjeledi wa adhabu.

Ayah  89:14  الأية
    +/- -/+  
إِنَّ رَبَّكَ لَبِالْمِرْصَادِ
Swahili
 
Hakika Mola wako Mlezi yupo kwenye mavizio anawavizia.

Ayah  89:15  الأية
    +/- -/+  
فَأَمَّا الْإِنسَانُ إِذَا مَا ابْتَلَاهُ رَبُّهُ فَأَكْرَمَهُ وَنَعَّمَهُ فَيَقُولُ رَبِّي أَكْرَمَنِ
Swahili
 
Ama mtu anapo jaribiwa na Mola wake Mlezi, akamkirimu na akamneemesha, husema: Mola wangu Mlezi amenikirimu!

Ayah  89:16  الأية
    +/- -/+  
وَأَمَّا إِذَا مَا ابْتَلَاهُ فَقَدَرَ عَلَيْهِ رِزْقَهُ فَيَقُولُ رَبِّي أَهَانَنِ
Swahili
 
Na ama anapo mjaribu akampunguzia riziki yake, husema: Mola wangu Mlezi amenitia unyonge!

Ayah  89:17  الأية
    +/- -/+  
كَلَّا ۖ بَل لَّا تُكْرِمُونَ الْيَتِيمَ
Swahili
 
Sivyo hivyo! Bali nyinyi hamuwakirimu mayatima,

Ayah  89:18  الأية
    +/- -/+  
وَلَا تَحَاضُّونَ عَلَىٰ طَعَامِ الْمِسْكِينِ
Swahili
 
Wala hamhimizani kulisha masikini;

Ayah  89:19  الأية
    +/- -/+  
وَتَأْكُلُونَ التُّرَاثَ أَكْلًا لَّمًّا
Swahili
 
Na mnakula urithi kwa ulaji wa pupa,

Ayah  89:20  الأية
    +/- -/+  
وَتُحِبُّونَ الْمَالَ حُبًّا جَمًّا
Swahili
 
Na mnapenda mali pendo la kupita kiasi.

Ayah  89:21  الأية
    +/- -/+  
كَلَّا إِذَا دُكَّتِ الْأَرْضُ دَكًّا دَكًّا
Swahili
 
Sivyo hivyo! Itakapo vunjwa ardhi vipande vipande,

Ayah  89:22  الأية
    +/- -/+  
وَجَاءَ رَبُّكَ وَالْمَلَكُ صَفًّا صَفًّا
Swahili
 
Na akaja Mola wako Mlezi na Malaika safu safu,

Ayah  89:23  الأية
    +/- -/+  
وَجِيءَ يَوْمَئِذٍ بِجَهَنَّمَ ۚ يَوْمَئِذٍ يَتَذَكَّرُ الْإِنسَانُ وَأَنَّىٰ لَهُ الذِّكْرَىٰ
Swahili
 
Na ikaletwa Jahannamu siku hiyo, siku hiyo mtu atakumbuka! Lakini kukumbuka huko kutamfaa nini?

Ayah  89:24  الأية
    +/- -/+  
يَقُولُ يَا لَيْتَنِي قَدَّمْتُ لِحَيَاتِي
Swahili
 
Atasema: Laiti ningeli jitangulizia kwa uhai wangu!

Ayah  89:25  الأية
    +/- -/+  
فَيَوْمَئِذٍ لَّا يُعَذِّبُ عَذَابَهُ أَحَدٌ
Swahili
 
Basi siku hiyo hataadhibu yeyote namna ya kuadhibu kwake.

Ayah  89:26  الأية
    +/- -/+  

Ayah  89:27  الأية
    +/- -/+  

Ayah  89:28  الأية
    +/- -/+  
ارْجِعِي إِلَىٰ رَبِّكِ رَاضِيَةً مَّرْضِيَّةً
Swahili
 
Rejea kwa Mola wako Mlezi umeridhika, na umemridhisha.







© EsinIslam.Com Designed & produced by The Awqaf London. Please pray for us