1st Ayah 1 الأية ١الأوليبِسْم ِ اللهِ الرَّحْمَٰنِ الرَّحِيمِ
الْحَمْدُ لِلَّهِ الَّذِي أَنزَلَ عَلَىٰ عَبْدِهِ الْكِتَابَ وَلَمْ يَجْعَل
لَّهُ عِوَجًا ۜ
Alhamdu lillahi allatheeanzala AAala AAabdihi alkitaba walam yajAAal lahuAAiwaja
Swahili
Kuhimidiwa ni kwa Mwenyezi Mungu, ambaye amemteremshia mja wake Kitabu, wala
hakukifanya kina upogo.
|
Ayah 18:2 الأية
قَيِّمًا لِّيُنذِرَ بَأْسًا شَدِيدًا مِّن لَّدُنْهُ وَيُبَشِّرَ الْمُؤْمِنِينَ
الَّذِينَ يَعْمَلُونَ الصَّالِحَاتِ أَنَّ لَهُمْ أَجْرًا حَسَنًا
Qayyiman liyunthira ba/san shadeedanmin ladunhu wayubashshira almu/mineena
allatheenayaAAmaloona assalihati anna lahum ajran hasana
Swahili
Kimenyooka sawa, ili kitoe onyo kali kutoka kwake, na kiwabashirie Waumini
watendao mema kwamba watapata ujira mzuri.
|
Ayah 18:3 الأية
مَّاكِثِينَ فِيهِ أَبَدًا
Makitheena feehi abada
Swahili
Wakae humo milele.
|
Ayah 18:4 الأية
وَيُنذِرَ الَّذِينَ قَالُوا اتَّخَذَ اللهُ وَلَدًا
Wayunthira allatheena qalooittakhatha Allahu walada
Swahili
Na kiwaonye wanao nena: Mwenyezi Mungu ana mwana.
|
Ayah 18:5 الأية
مَّا لَهُم بِهِ مِنْ عِلْمٍ وَلَا لِآبَائِهِمْ ۚ كَبُرَتْ كَلِمَةً تَخْرُجُ مِنْ
أَفْوَاهِهِمْ ۚ إِن يَقُولُونَ إِلَّا كَذِبًا
Ma lahum bihi min AAilmin walali-aba-ihim kaburat kalimatan takhruju min
afwahihimin yaqooloona illa kathiba
Swahili
Wao hawana ujuzi wa jambo hili, wala baba zao. Ni neno kuu hilo litokalo
vinywani mwao. Hawasemi ila uwongo tu.
|
Ayah 18:6 الأية
فَلَعَلَّكَ بَاخِعٌ نَّفْسَكَ عَلَىٰ آثَارِهِمْ إِن لَّمْ يُؤْمِنُوا بِهَٰذَا
الْحَدِيثِ أَسَفًا
FalaAAallaka bakhiAAun nafsaka AAalaatharihim in lam yu/minoo bihatha
alhadeethiasafa
Swahili
Huenda ukajihiliki nafsi yako kwa ajili yao, kuwasikitikia kwa kuwa hawayaamini
mazungumzo haya!
|
Ayah 18:7 الأية
إِنَّا جَعَلْنَا مَا عَلَى الْأَرْضِ زِينَةً لَّهَا لِنَبْلُوَهُمْ أَيُّهُمْ
أَحْسَنُ عَمَلًا
Inna jaAAalna ma AAalaal-ardi zeenatan laha linabluwahum ayyuhum ahsanuAAamala
Swahili
Kwa hakika tumevifanya vilioko juu ya ardhi kuwa ni pambo lake ili tuwafanyie
mtihani, ni nani kati yao wenye vitendo vizuri zaidi.
|
Ayah 18:8 الأية
وَإِنَّا لَجَاعِلُونَ مَا عَلَيْهَا صَعِيدًا جُرُزًا
Wa-inna lajaAAiloona maAAalayha saAAeedan juruza
Swahili
Na hakika Sisi tutavifanya vyote vilio juu ya ardhi kuwa kama nchi ilio pigwa na
ukame.
|
Ayah 18:9 الأية
أَمْ حَسِبْتَ أَنَّ أَصْحَابَ الْكَهْفِ وَالرَّقِيمِ كَانُوا مِنْ آيَاتِنَا
عَجَبًا
Am hasibta anna as-habaalkahfi warraqeemi kanoo min ayatinaAAajaba
Swahili
Bali unadhani ya kwamba wale Watu wa Pangoni na Maandishi walikuwa ni ajabu
miongoni mwa ishara zetu?
|
Ayah 18:10 الأية
إِذْ أَوَى الْفِتْيَةُ إِلَى الْكَهْفِ فَقَالُوا رَبَّنَا آتِنَا مِن لَّدُنكَ
رَحْمَةً وَهَيِّئْ لَنَا مِنْ أَمْرِنَا رَشَدًا
Ith awa alfityatu ilaalkahfi faqaloo rabbana atina minladunka rahmatan wahayyi/
lana min amrinarashada
Swahili
Vijana hao walipo kimbilia kwenye pango walisema: Mola wetu Mlezi! Tupe rehema
itokayo kwako, na tutengezee uwongofu katika jambo letu.
|
Ayah 18:11 الأية
فَضَرَبْنَا عَلَىٰ آذَانِهِمْ فِي الْكَهْفِ سِنِينَ عَدَدًا
Fadarabna AAala athanihimfee alkahfi sineena AAadada
Swahili
Tukayaziba masikio yao kuwalaza humo pangoni kwa muda wa miaka kadhaa wa kadhaa.
|
Ayah 18:12 الأية
ثُمَّ بَعَثْنَاهُمْ لِنَعْلَمَ أَيُّ الْحِزْبَيْنِ أَحْصَىٰ لِمَا لَبِثُوا
أَمَدًا
Thumma baAAathnahum linaAAlama ayyualhizbayni ahsa lima labithoo amada
Swahili
Kisha tukawazindua ili tujue ni lipi katika makundi mawili lilio hisabu sawa
muda walio kaa.
|
Ayah 18:13 الأية
نَّحْنُ نَقُصُّ عَلَيْكَ نَبَأَهُم بِالْحَقِّ ۚ إِنَّهُمْ فِتْيَةٌ آمَنُوا
بِرَبِّهِمْ وَزِدْنَاهُمْ هُدًى
Nahnu naqussu AAalaykanabaahum bilhaqqi innahum fityatun amanoobirabbihim
wazidnahum huda
Swahili
Sisi tunakusimulia khabari zao kwa kweli. Hakika wao walikuwa ni vijana walio
muamini Mola wao Mlezi. Na Sisi tukawazidisha uwongofu.
|
Ayah 18:14 الأية
وَرَبَطْنَا عَلَىٰ قُلُوبِهِمْ إِذْ قَامُوا فَقَالُوا رَبُّنَا رَبُّ
السَّمَاوَاتِ وَالْأَرْضِ لَن نَّدْعُوَ مِن دُونِهِ إِلَٰهًا ۖ لَّقَدْ قُلْنَا
إِذًا شَطَطًا
Warabatna AAalaquloobihim ith qamoo faqaloo rabbunarabbu assamawati wal-ardilan
nadAAuwa min doonihi ilahan laqad qulna ithanshatata
Swahili
Na tukazitia nguvu nyoyo zao walipo simama na wakasema: Mola wetu Mlezi ni Mola
Mlezi wa mbingu na ardhi. Hatutamwita mwenginewe kabisa badala yake kuwa ni
Mungu. Hivyo itakuwa tumesema jambo la kuvuka mpaka.
|
Ayah 18:15 الأية
هَٰؤُلَاءِ قَوْمُنَا اتَّخَذُوا مِن دُونِهِ آلِهَةً ۖ لَّوْلَا يَأْتُونَ
عَلَيْهِم بِسُلْطَانٍ بَيِّنٍ ۖ فَمَنْ أَظْلَمُ مِمَّنِ افْتَرَىٰ عَلَى اللهِ
كَذِبًا
Haola-i qawmuna ittakhathoomin doonihi alihatan lawla ya/toona AAalayhim
bisultaninbayyinin faman athlamu mimmani iftara AAalaAllahi kathiba
Swahili
Hawa watu wetu wameshika miungu mingine badala yake Yeye. Kwa nini basi
hawawatolei uthibitisho ulio dhaahiri? Na nani aliye dhaalimu zaidi kuliko anaye
mzulia uwongo Mwenyezi Mungu?
|
Ayah 18:16 الأية
وَإِذِ اعْتَزَلْتُمُوهُمْ وَمَا يَعْبُدُونَ إِلَّا اللهَ فَأْوُوا إِلَى
الْكَهْفِ يَنشُرْ لَكُمْ رَبُّكُم مِّن رَّحْمَتِهِ وَيُهَيِّئْ لَكُم مِّنْ
أَمْرِكُم مِّرْفَقًا
Wa-ithi iAAtazaltumoohum wamayaAAbudoona illa Allaha fa/woo ila alkahfiyanshur
lakum rabbukum min rahmatihi wayuhayyi/ lakum minamrikum mirfaqa
Swahili
Na mkijitenga nao na vile wanavyo viabudu badala ya Mwenyezi Mungu, basi
kimbilieni pangoni, akufungulieni Mola wenu Mlezi rehema yake, na
akutengenezeeni ya kukufaeni katika mambo yenu.
|
Ayah 18:17 الأية
وَتَرَى الشَّمْسَ إِذَا طَلَعَت تَّزَاوَرُ عَن كَهْفِهِمْ ذَاتَ الْيَمِينِ
وَإِذَا غَرَبَت تَّقْرِضُهُمْ ذَاتَ الشِّمَالِ وَهُمْ فِي فَجْوَةٍ مِّنْهُ ۚ
ذَٰلِكَ مِنْ آيَاتِ اللهِ ۗ مَن يَهْدِ اللهُ فَهُوَ الْمُهْتَدِ ۖ وَمَن
يُضْلِلْ فَلَن تَجِدَ لَهُ وَلِيًّا مُّرْشِدًا
Watara ashshamsa itha talaAAattazawaru AAan kahfihim thata alyameeni
wa-ithagharabat taqriduhum thata ashshimaliwahum fee fajwatin minhu thalika min
ayatiAllahi man yahdi Allahu fahuwa almuhtadi waman yudlilfalan tajida lahu
waliyyan murshida
Swahili
Na unaliona jua linapo chomoza linainamia kuliani mwao kutoka hapo pangoni; na
linapo kuchwa linawakwepa kushotoni, na wao wamo katika uwazi wa pango. Hizo ni
katika ishara za Mwenyezi Mungu. Ambaye Mwenyezi Mungu anamwongoa basi huyo ni
mwenye kuongoka. Na anaye muacha kupotea basi hutampatia mlinzi wala mwongozi.
|
Ayah 18:18 الأية
وَتَحْسَبُهُمْ أَيْقَاظًا وَهُمْ رُقُودٌ ۚ وَنُقَلِّبُهُمْ ذَاتَ الْيَمِينِ
وَذَاتَ الشِّمَالِ ۖ وَكَلْبُهُم بَاسِطٌ ذِرَاعَيْهِ بِالْوَصِيدِ ۚ لَوِ
اطَّلَعْتَ عَلَيْهِمْ لَوَلَّيْتَ مِنْهُمْ فِرَارًا وَلَمُلِئْتَ مِنْهُمْ
رُعْبًا
Watahsabuhum ayqathanwahum ruqoodun wanuqallibuhum thata alyameeni
wathataashshimali wakalbuhum basitun thiraAAayhibilwaseedi lawi ittalaAAta
AAalayhimlawallayta minhum firaran walamuli/ta minhum ruAAba
Swahili
Nawe utawadhania wamacho, na hali wamelala. Nasi tunawageuza kulia na kushoto.
Na mbwa wao amenyoosha miguu yake ya mbele kizingitini. Kama ungeli watokea
hapana shaka ungeli geuka kuwakimbia, nawe umejaa khofu.
|
Ayah 18:19 الأية
وَكَذَٰلِكَ بَعَثْنَاهُمْ لِيَتَسَاءَلُوا بَيْنَهُمْ ۚ قَالَ قَائِلٌ مِّنْهُمْ
كَمْ لَبِثْتُمْ ۖ قَالُوا لَبِثْنَا يَوْمًا أَوْ بَعْضَ يَوْمٍ ۚ قَالُوا
رَبُّكُمْ أَعْلَمُ بِمَا لَبِثْتُمْ فَابْعَثُوا أَحَدَكُم بِوَرِقِكُمْ هَٰذِهِ
إِلَى الْمَدِينَةِ فَلْيَنظُرْ أَيُّهَا أَزْكَىٰ طَعَامًا فَلْيَأْتِكُم بِرِزْقٍ
مِّنْهُ وَلْيَتَلَطَّفْ وَلَا يُشْعِرَنَّ بِكُمْ أَحَدًا
Wakathalika baAAathnahumliyatasaaloo baynahum qala qa-ilun minhumkam labithtum
qaloo labithna yawman aw baAAdayawmin qaloo rabbukum aAAlamu bima labithtum
fabAAathooahadakum biwariqikum hathihi ila almadeenatifalyanthur ayyuha azka
taAAamanfalya/tikum birizqin minhu walyatalattaf walayushAAiranna bikum ahada
Swahili
Na kwa namna hii tuliwainua usingizini wapate kuulizana wao kwa wao. Alisema
msemaji katika wao: Mmekaa muda gani? Wakasema: Tumekaa siku moja au sehemu ya
siku. Wakasema: Mola wenu Mlezi anajua zaidi muda mlio kaa. Hebu mtumeni mmoja
wenu na hizi fedha zenu ende mjini, akatazame chakula chake kipi kilicho bora
kabisa akuleteeni cha kukila. Naye afanye mambo hayo kwa busara, wala
asikutajeni kabisa kwa yeyote.
|
Ayah 18:20 الأية
إِنَّهُمْ إِن يَظْهَرُوا عَلَيْكُمْ يَرْجُمُوكُمْ أَوْ يُعِيدُوكُمْ فِي
مِلَّتِهِمْ وَلَن تُفْلِحُوا إِذًا أَبَدًا
Innahum in yathharoo AAalaykumyarjumookum aw yuAAeedookum fee millatihim walan
tuflihooithan abada
Swahili
Kwani wao wakikutambueni watakupigeni mawe, au watakurudisheni katika dini yao;
na hapo hamtafanikiwa kabisa!
|
Ayah 18:21 الأية
وَكَذَٰلِكَ أَعْثَرْنَا عَلَيْهِمْ لِيَعْلَمُوا أَنَّ وَعْدَ اللهِ حَقٌّ
وَأَنَّ السَّاعَةَ لَا رَيْبَ فِيهَا إِذْ يَتَنَازَعُونَ بَيْنَهُمْ أَمْرَهُمْ ۖ
فَقَالُوا ابْنُوا عَلَيْهِم بُنْيَانًا ۖ رَّبُّهُمْ أَعْلَمُ بِهِمْ ۚ قَالَ
الَّذِينَ غَلَبُوا عَلَىٰ أَمْرِهِمْ لَنَتَّخِذَنَّ عَلَيْهِم مَّسْجِدًا
Wakathalika aAAtharnaAAalayhim liyaAAlamoo anna waAAda Allahi haqqunwaanna
asaAAata la rayba feeha ithyatanazaAAoona baynahum amrahum faqaloo
ibnooAAalayhim bunyanan rabbuhum aAAlamu bihim qala allatheenaghalaboo AAala
amrihim lanattakhithanna AAalayhimmasjida
Swahili
Na namna hivi tuliwa juulisha kwa watu wapate kujua ya kwamba ahadi ya Mwenyezi
Mungu ni ya kweli, na kwamba Saa haina shaka. Walipo kuwa wakigombania jambo lao
wao kwa wao walisema: Jengeni jengo juu yao. Mola wao Mlezi anawajua vyema.
Wakasema walio shinda katika shauri yao: Bila ya shaka tutawajengea msikiti juu
yao.
|
Ayah 18:22 الأية
سَيَقُولُونَ ثَلَاثَةٌ رَّابِعُهُمْ كَلْبُهُمْ وَيَقُولُونَ خَمْسَةٌ سَادِسُهُمْ
كَلْبُهُمْ رَجْمًا بِالْغَيْبِ ۖ وَيَقُولُونَ سَبْعَةٌ وَثَامِنُهُمْ كَلْبُهُمْ
ۚ قُل رَّبِّي أَعْلَمُ بِعِدَّتِهِم مَّا يَعْلَمُهُمْ إِلَّا قَلِيلٌ ۗ فَلَا
تُمَارِ فِيهِمْ إِلَّا مِرَاءً ظَاهِرًا وَلَا تَسْتَفْتِ فِيهِم مِّنْهُمْ
أَحَدًا
Sayaqooloona thalathatun rabiAAuhumkalbuhum wayaqooloona khamsatun sadisuhum
kalbuhum rajmanbilghaybi wayaqooloona sabAAatun wathaminuhumkalbuhum qul rabbee
aAAlamu biAAiddatihim ma yaAAlamuhumilla qaleelun fala tumari feehim illamiraan
thahiran wala tastaftifeehim minhum ahada
Swahili
Watasema: Walikuwa watatu, wa nne wao ni mbwa wao. Na wanasema: Walikuwa watano,
wa sita wao ni mbwa wao. Wanavurumisha ovyo. Na wanasema: Walikuwa saba, na wa
nane wao ni mbwa wao. Sema: Mola wangu Mlezi ndiye anaye jua sawa sawa hisabu
yao. Hawawajui ila wachache tu. Basi usibishane juu yao ila kwa mabishano ya juu
juu tu hivi. Wala usiulize khabari zao kwa yeyote yule.
|
Ayah 18:23 الأية
وَلَا تَقُولَنَّ لِشَيْءٍ إِنِّي فَاعِلٌ ذَٰلِكَ غَدًا
Wala taqoolanna lishay-in innee faAAilunthalika ghada
Swahili
Wala usisema kamwe kwa jambo lolote lile: Hakika nitalifanya hilo kesho -
|
Ayah 18:24 الأية
إِلَّا أَن يَشَاءَ اللهُ ۚ وَاذْكُر رَّبَّكَ إِذَا نَسِيتَ وَقُلْ عَسَىٰ أَن
يَهْدِيَنِ رَبِّي لِأَقْرَبَ مِنْ هَٰذَا رَشَدًا
Illa an yashaa Allahuwathkur rabbaka itha naseeta waqul AAasaan yahdiyani rabbee
li-aqraba min hatha rashada
Swahili
Isipo kuwa Mwenyezi Mungu akipenda. Na mkumbuke Mola wako Mlezi pale unapo
sahau, na sema: Asaa Mola wangu Mlezi ataniongoa kwenye uwongozi ulio karibu
zaidi kuliko huu.
|
Ayah 18:25 الأية
وَلَبِثُوا فِي كَهْفِهِمْ ثَلَاثَ مِائَةٍ سِنِينَ وَازْدَادُوا تِسْعًا
Walabithoo fee kahfihim thalathami-atin sineena wazdadoo tisAAa
Swahili
Na walikaa katika pango lao miaka mia tatu, na wakazidisha tisa.
|
Ayah 18:26 الأية
قُلِ اللهُ أَعْلَمُ بِمَا لَبِثُوا ۖ لَهُ غَيْبُ السَّمَاوَاتِ وَالْأَرْضِ ۖ
أَبْصِرْ بِهِ وَأَسْمِعْ ۚ مَا لَهُم مِّن دُونِهِ مِن وَلِيٍّ وَلَا يُشْرِكُ فِي
حُكْمِهِ أَحَدًا
Quli Allahu aAAlamu bimalabithoo lahu ghaybu assamawati wal-ardiabsir bihi
waasmiAA ma lahum min doonihi minwaliyyin wala yushriku fee hukmihi ahada
Swahili
Sema: Mwenyezi Mungu anajua zaidi muda walio kaa. Ni zake tu siri za mbingu na
ardhi. Kuona kulioje na kusikia kwake! Hawana mlinzi isipo kuwa Yeye, wala
hamshirikishi yeyote katika hukumu yake.
|
Ayah 18:27 الأية
وَاتْلُ مَا أُوحِيَ إِلَيْكَ مِن كِتَابِ رَبِّكَ ۖ لَا مُبَدِّلَ لِكَلِمَاتِهِ
وَلَن تَجِدَ مِن دُونِهِ مُلْتَحَدًا
Watlu ma oohiya ilaykamin kitabi rabbika la mubaddila likalimatihiwalan tajida
min doonihi multahada
Swahili
Na soma uliyo funuliwa katika Kitabu cha Mola wako Mlezi. Hapana wa kubadilisha
maneno yake. Wala nawe hutapata makimbilio isipo kuwa kwake.
|
Ayah 18:28 الأية
وَاصْبِرْ نَفْسَكَ مَعَ الَّذِينَ يَدْعُونَ رَبَّهُم بِالْغَدَاةِ وَالْعَشِيِّ
يُرِيدُونَ وَجْهَهُ ۖ وَلَا تَعْدُ عَيْنَاكَ عَنْهُمْ تُرِيدُ زِينَةَ الْحَيَاةِ
الدُّنْيَا ۖ وَلَا تُطِعْ مَنْ أَغْفَلْنَا قَلْبَهُ عَن ذِكْرِنَا وَاتَّبَعَ
هَوَاهُ وَكَانَ أَمْرُهُ فُرُطًا
Wasbir nafsaka maAAa allatheenayadAAoona rabbahum bilghadati
walAAashiyyiyureedoona wajhahu wala taAAdu AAaynaka AAanhumtureedu zeenata
alhayati addunya walatutiAA man aghfalna qalbahu AAan thikrinawattabaAAa hawahu
wakana amruhu furuta
Swahili
Na isubirishe nafsi yako pamoja na wanao muomba Mola wao Mlezi asubuhi na jioni,
hali ya kuwa wanataka radhi yake. Wala macho yako yasiwaruke kwa kutaka pambo la
maisha ya dunia. Wala usimt'ii tuliye mghafilisha moyo wake asitukumbuke, na
akafuata matamanio yake yakawa yamepita mpaka.
|
Ayah 18:29 الأية
وَقُلِ الْحَقُّ مِن رَّبِّكُمْ ۖ فَمَن شَاءَ فَلْيُؤْمِن وَمَن شَاءَ
فَلْيَكْفُرْ ۚ إِنَّا أَعْتَدْنَا لِلظَّالِمِينَ نَارًا أَحَاطَ بِهِمْ
سُرَادِقُهَا ۚ وَإِن يَسْتَغِيثُوا يُغَاثُوا بِمَاءٍ كَالْمُهْلِ يَشْوِي
الْوُجُوهَ ۚ بِئْسَ الشَّرَابُ وَسَاءَتْ مُرْتَفَقًا
Waquli alhaqqu min rabbikum faman shaafalyu/min waman shaa falyakfur inna
aAAtadnaliththalimeena naran ahatabihim suradiquha wa-in yastagheethoo
yughathoobima-in kalmuhli yashwee alwujooha bi/sa ashsharabuwasaat murtafaqa
Swahili
Na sema: Hii ni kweli itokayo kwa Mola wako Mlezi. Basi atakaye, aamini. Na
atakaye, akatae. Hakika Sisi tumewaandalia wenye kudhulumu Moto ambao
utawazunguka kama khema. Na wakiomba msaada watasaidiwa kwa kupewa maji kama
mafuta yaliyo tibuka. Yatayo wababua nyuso zao. Kinywaji hicho ni kiovu mno! Na
matandiko hayo ya kupumzikia ni maovu mno!
|
Ayah 18:30 الأية
إِنَّ الَّذِينَ آمَنُوا وَعَمِلُوا الصَّالِحَاتِ إِنَّا لَا نُضِيعُ أَجْرَ مَنْ
أَحْسَنَ عَمَلًا
Inna allatheena amanoowaAAamiloo assalihati inna lanudeeAAu ajra man ahsana
AAamala
Swahili
Hakika wale walio amini na wakatenda mema - hakika Sisi hatupotezi ujira wa
anaye tenda mema.
|
Ayah 18:31 الأية
أُولَٰئِكَ لَهُمْ جَنَّاتُ عَدْنٍ تَجْرِي مِن تَحْتِهِمُ الْأَنْهَارُ
يُحَلَّوْنَ فِيهَا مِنْ أَسَاوِرَ مِن ذَهَبٍ وَيَلْبَسُونَ ثِيَابًا خُضْرًا مِّن
سُندُسٍ وَإِسْتَبْرَقٍ مُّتَّكِئِينَ فِيهَا عَلَى الْأَرَائِكِ ۚ نِعْمَ
الثَّوَابُ وَحَسُنَتْ مُرْتَفَقًا
Ola-ika lahum jannatu AAadnintajree min tahtihimu al-anharu yuhallawnafeeha min
asawira min thahabin waylbasoonathiyaban khudran min sundusin
wa-istabraqinmuttaki-eena feeha AAala al-ara-iki niAAma aththawabuwahasunat
murtafaqa
Swahili
Hao watapata Bustani za milele, zinazo pita mito kati yake. Humo watapambwa kwa
mavazi ya mikononi ya dhahabu, na watavaa nguo za kijani za hariri na at'ilasi,
huku wakiegemea humo juu ya makochi. Ni malipo bora hayo! Na matandiko mazuri
mno ya kupumzikia!
|
Ayah 18:32 الأية
وَاضْرِبْ لَهُم مَّثَلًا رَّجُلَيْنِ جَعَلْنَا لِأَحَدِهِمَا جَنَّتَيْنِ مِنْ
أَعْنَابٍ وَحَفَفْنَاهُمَا بِنَخْلٍ وَجَعَلْنَا بَيْنَهُمَا زَرْعًا
Wadrib lahum mathalanrajulayni jaAAalna li-ahadihima jannataynimin aAAnabin
wahafafnahuma binakhlinwajaAAalna baynahuma zarAAa
Swahili
Na wapigie mfano wa watu wawili: mmoja wao tulimpa vitalu viwili vya mizabibu,
na tukavizungushia mitende, na kati yake tukatia mimea ya nafaka.
|
Ayah 18:33 الأية
كِلْتَا الْجَنَّتَيْنِ آتَتْ أُكُلَهَا وَلَمْ تَظْلِم مِّنْهُ شَيْئًا ۚ
وَفَجَّرْنَا خِلَالَهُمَا نَهَرًا
Kilta aljannatayni atat okulahawalam tathlim minhu shay-an wafajjarna
khilalahumanahara
Swahili
Na hivyo vitalu viwili vikitoa mazao yake, wala hapana kitu katika hayo kilicho
tindikia. Na ndani yake tukapasua mito.
|
Ayah 18:34 الأية
وَكَانَ لَهُ ثَمَرٌ فَقَالَ لِصَاحِبِهِ وَهُوَ يُحَاوِرُهُ أَنَا أَكْثَرُ مِنكَ
مَالًا وَأَعَزُّ نَفَرًا
Wakana lahu thamarun faqala lisahibihiwahuwa yuhawiruhu ana aktharu minka
malanwaaAAazzu nafara
Swahili
Naye alikuwa na mazao mengi. Basi akamwambia mwenzake naye akibishana naye: Mimi
nimekushinda wewe kwa mali na nguvu za watu!
|
Ayah 18:35 الأية
وَدَخَلَ جَنَّتَهُ وَهُوَ ظَالِمٌ لِّنَفْسِهِ قَالَ مَا أَظُنُّ أَن تَبِيدَ
هَٰذِهِ أَبَدًا
Wadakhala jannatahu wahuwa thalimunlinafsihi qala ma athunnu an tabeedahathihi
abada
Swahili
Na akaingia kitaluni kwake, naye hali anajidhulumu nafsi yake. Akasema: Sidhani
kabisa kuwa haya yataharibika.
|
Ayah 18:36 الأية
وَمَا أَظُنُّ السَّاعَةَ قَائِمَةً وَلَئِن رُّدِدتُّ إِلَىٰ رَبِّي لَأَجِدَنَّ
خَيْرًا مِّنْهَا مُنقَلَبًا
Wama athunnu assaAAataqa-imatan wala-in rudidtu ila rabbee laajidannakhayran
minha munqalaba
Swahili
Wala sidhani kuwa hiyo Saa (ya Kyama) itatokea. Na ikiwa nitarudishwa kwa Mola
wangu Mlezi, bila ya shaka nitapata marejeo bora zaidi kuliko haya.
|
Ayah 18:37 الأية
قَالَ لَهُ صَاحِبُهُ وَهُوَ يُحَاوِرُهُ أَكَفَرْتَ بِالَّذِي خَلَقَكَ مِن
تُرَابٍ ثُمَّ مِن نُّطْفَةٍ ثُمَّ سَوَّاكَ رَجُلًا
Qala lahu sahibuhu wahuwa yuhawiruhuakafarta billathee khalaqaka min
turabinthumma min nutfatin thumma sawwaka rajula
Swahili
Mwenzake akamwambia kwa kubishana naye: Je! Unamkufuru aliye kuumba kutokana na
udongo, tena kutokana na tone la manii, kisha akakufanya mtu kaamili?
|
Ayah 18:38 الأية
لَّٰكِنَّا هُوَ اللهُ رَبِّي وَلَا أُشْرِكُ بِرَبِّي أَحَدًا
Lakinna huwa Allahu rabbee walaoshriku birabbee ahada
Swahili
Lakini Yeye Mwenyezi Mungu ndiye Mola wangu Mlezi. Wala simshirikishi na yeyote.
|
Ayah 18:39 الأية
وَلَوْلَا إِذْ دَخَلْتَ جَنَّتَكَ قُلْتَ مَا شَاءَ اللهُ لَا قُوَّةَ إِلَّا
بِاللهِ ۚ إِن تَرَنِ أَنَا أَقَلَّ مِنكَ مَالًا وَوَلَدًا
Walawla ith dakhalta jannatakaqulta ma shaa Allahu la quwwata illabillahi in
tarani ana aqalla minka malanwawalada
Swahili
Na lau kuwa ulipo ingia kitaluni kwako ungeli sema: Mashaallah! Alitakalo
Mwenyezi Mungu huwa! Hapana nguvu ila kwa Mwenyezi Mungu. Ikiwa unaniona mimi
nina mali kidogo na watoto kuliko wewe,
|
Ayah 18:40 الأية
فَعَسَىٰ رَبِّي أَن يُؤْتِيَنِ خَيْرًا مِّن جَنَّتِكَ وَيُرْسِلَ عَلَيْهَا
حُسْبَانًا مِّنَ السَّمَاءِ فَتُصْبِحَ صَعِيدًا زَلَقًا
FaAAasa rabbee an yu/tiyani khayranmin jannatika wayursila AAalayha husbananmina
assama-i fatusbiha saAAeedanzalaqa
Swahili
Basi huenda Mola wangu Mlezi akanipa kilicho bora kuliko kitalu chako, naye
akapitisha kudra yake kutoka mbinguni kukilitea hicho chako, na kikageuka ardhi
tupu inayo teleza.
|
Ayah 18:41 الأية
أَوْ يُصْبِحَ مَاؤُهَا غَوْرًا فَلَن تَسْتَطِيعَ لَهُ طَلَبًا
Aw yusbiha maohaghawran falan tastateeAAa lahu talaba
Swahili
Au maji yake yakadidimia wala usiweze kuyagundua.
|
Ayah 18:42 الأية
وَأُحِيطَ بِثَمَرِهِ فَأَصْبَحَ يُقَلِّبُ كَفَّيْهِ عَلَىٰ مَا أَنفَقَ فِيهَا
وَهِيَ خَاوِيَةٌ عَلَىٰ عُرُوشِهَا وَيَقُولُ يَا لَيْتَنِي لَمْ أُشْرِكْ
بِرَبِّي أَحَدًا
Waoheeta bithamarihi faasbahayuqallibu kaffayhi AAala ma anfaqa feehawahiya
khawiyatun AAala AAurooshihawayaqoolu ya laytanee lam oshrik birabbee ahada
Swahili
Yakateketezwa matunda yake, akabaki akipindua pindua viganja vyake, kwa vile
alivyo yagharimia, na miti imebwagika juu ya chanja zake. Akawa anasema: Laiti
nisingeli mshiriki Mola wangu Mlezi na yeyote!
|
Ayah 18:43 الأية
وَلَمْ تَكُن لَّهُ فِئَةٌ يَنصُرُونَهُ مِن دُونِ اللهِ وَمَا كَانَ مُنتَصِرًا
Walam takun lahu fi-atun yansuroonahumin dooni Allahi wama kana muntasira
Swahili
Wala hakuwa nacho kikundi cha kumsaidia badala ya Mwenyezi Mungu, wala mwenyewe
hakuweza kujisaidia.
|
Ayah 18:44 الأية
هُنَالِكَ الْوَلَايَةُ لِلَّهِ الْحَقِّ ۚ هُوَ خَيْرٌ ثَوَابًا وَخَيْرٌ عُقْبًا
Hunalika alwalayatu lillahialhaqqi huwa khayrun thawaban wakhayrun AAuqba
Swahili
Huko ulinzi ni wa Mwenyezi Mungu wa Haki tu. Yeye ndiye mbora wa malipo, na
mbora wa matokeo.
|
Ayah 18:45 الأية
وَاضْرِبْ لَهُم مَّثَلَ الْحَيَاةِ الدُّنْيَا كَمَاءٍ أَنزَلْنَاهُ مِنَ
السَّمَاءِ فَاخْتَلَطَ بِهِ نَبَاتُ الْأَرْضِ فَأَصْبَحَ هَشِيمًا تَذْرُوهُ
الرِّيَاحُ ۗ وَكَانَ اللهُ عَلَىٰ كُلِّ شَيْءٍ مُّقْتَدِرًا
Wadrib lahum mathala alhayatiaddunya kama-in anzalnahu mina assama-ifakhtalata
bihi nabatu al-ardi faasbahahasheeman tathroohu arriyahu wakanaAllahu AAala
kulli shay-in muqtadira
Swahili
Na wapigie mfano wa maisha ya dunia. Hayo ni kama maji tunayo yateremsha kutoka
mbinguni, yakachanganyika na mimea ya ardhi, kisha hiyo mimea ikawa vibuwa
vinavyo peperushwa na upepo. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye uweza juu ya kila kitu.
|
Ayah 18:46 الأية
الْمَالُ وَالْبَنُونَ زِينَةُ الْحَيَاةِ الدُّنْيَا ۖ وَالْبَاقِيَاتُ
الصَّالِحَاتُ خَيْرٌ عِندَ رَبِّكَ ثَوَابًا وَخَيْرٌ أَمَلًا
Almalu walbanoona zeenatu alhayatiaddunya walbaqiyatu assalihatukhayrun AAinda
rabbika thawaban wakhayrun amala
Swahili
Mali na wana ni pambo la maisha ya dunia. Na mema yanayo bakia ni bora mbele ya
Mola wako Mlezi kwa malipo, na bora kwa matumaini.
|
Ayah 18:47 الأية
وَيَوْمَ نُسَيِّرُ الْجِبَالَ وَتَرَى الْأَرْضَ بَارِزَةً وَحَشَرْنَاهُمْ فَلَمْ
نُغَادِرْ مِنْهُمْ أَحَدًا
Wayawma nusayyiru aljibala wataraal-arda barizatan wahasharnahum falamnughadir
minhum ahada
Swahili
Na siku tutapo iondoa milima na ukaiona ardhi iwazi, na tukawafufua - wala
hatutamwacha hata mmoja kati yao -
|
Ayah 18:48 الأية
وَعُرِضُوا عَلَىٰ رَبِّكَ صَفًّا لَّقَدْ جِئْتُمُونَا كَمَا خَلَقْنَاكُمْ
أَوَّلَ مَرَّةٍ ۚ بَلْ زَعَمْتُمْ أَلَّن نَّجْعَلَ لَكُم مَّوْعِدًا
WaAAuridoo AAala rabbika saffanlaqad ji/tumoona kama khalaqnakum awwalamarratin
bal zaAAamtum allan najAAala lakum mawAAida
Swahili
Na wakahudhurishwa mbele ya Mola wako Mlezi kwa safu (wakaambiwa): Mmetujia kama
tulivyo kuumbeni mara ya kwanza! Bali mlidai kwamba hatutakuwekeeni miadi.
|
Ayah 18:49 الأية
وَوُضِعَ الْكِتَابُ فَتَرَى الْمُجْرِمِينَ مُشْفِقِينَ مِمَّا فِيهِ وَيَقُولُونَ
يَا وَيْلَتَنَا مَالِ هَٰذَا الْكِتَابِ لَا يُغَادِرُ صَغِيرَةً وَلَا كَبِيرَةً
إِلَّا أَحْصَاهَا ۚ وَوَجَدُوا مَا عَمِلُوا حَاضِرًا ۗ وَلَا يَظْلِمُ رَبُّكَ
أَحَدًا
WawudiAAa alkitabu fataraalmujrimeena mushfiqeena mimma feehi wayaqooloona
yawaylatana ma lihatha alkitabi layughadiru sagheeratan wala kabeeratan
illaahsaha wawajadoo ma AAamiloo hadiranwala yathlimu rabbuka ahada
Swahili
Na kitawekwa kitabu. Basi utawaona wakosefu wanavyo ogopa kwa yale yaliomo humo.
Na watasema: Ole wetu! Kitabu hichi kina nini! Hakiachi dogo wala kubwa ila
huliandika? Na watayakuta yote waliyo yatenda yamehudhuria hapo. Na Mola wako
Mlezi hamdhulumu yeyote.
|
Ayah 18:50 الأية
وَإِذْ قُلْنَا لِلْمَلَائِكَةِ اسْجُدُوا لِآدَمَ فَسَجَدُوا إِلَّا إِبْلِيسَ
كَانَ مِنَ الْجِنِّ فَفَسَقَ عَنْ أَمْرِ رَبِّهِ ۗ أَفَتَتَّخِذُونَهُ
وَذُرِّيَّتَهُ أَوْلِيَاءَ مِن دُونِي وَهُمْ لَكُمْ عَدُوٌّ ۚ بِئْسَ
لِلظَّالِمِينَ بَدَلًا
Wa-ith qulna lilmala-ikatiosjudoo li-adama fasajadoo illa ibleesa kanamina
aljinni fafasaqa AAan amri rabbihi afatattakhithoonahuwathurriyyatahu awliyaa
min doonee wahum lakumAAaduwwun bi/sa liththalimeena badala
Swahili
Na tulipo waambia Malaika: Msujudieni Adam! Walimsjudia isipo kuwa Iblisi. Yeye
alikuwa miongoni mwa majini, na akavunja amri ya Mola wake Mlezi. Je! Mnamshika
yeye na dhuriya zake kuwa marafiki badala yangu, hali wao ni adui zenu? Ni ovu
mno badala hii kwa wenye kudhulumu.
|
Ayah 18:51 الأية
مَّا أَشْهَدتُّهُمْ خَلْقَ السَّمَاوَاتِ وَالْأَرْضِ وَلَا خَلْقَ أَنفُسِهِمْ
وَمَا كُنتُ مُتَّخِذَ الْمُضِلِّينَ عَضُدًا
Ma ashhadtuhum khalqa assamawatiwal-ardi wala khalqa anfusihim wamakuntu
muttakhitha almudilleena AAaduda
Swahili
Sikuwashuhudisha kuumbwa kwa mbingu na ardhi, wala kuumbwa kwa nafsi zao. Wala
sikuwafanya wapotezao kuwa ni wasaidizi.
|
Ayah 18:52 الأية
وَيَوْمَ يَقُولُ نَادُوا شُرَكَائِيَ الَّذِينَ زَعَمْتُمْ فَدَعَوْهُمْ فَلَمْ
يَسْتَجِيبُوا لَهُمْ وَجَعَلْنَا بَيْنَهُم مَّوْبِقًا
Wayawma yaqoolu nadoo shuraka-iyaallatheena zaAAamtum fadaAAawhum falam
yastajeeboo lahumwajaAAalna baynahum mawbiqa
Swahili
Na siku atakapo sema (Mwenyezi Mungu): Waiteni hao mlio dai kuwa ni washirika
wangu. Basi watawaita, na wao hawato waitikia. Nasi tutaweka baina yao
maangamio.
|
Ayah 18:53 الأية
وَرَأَى الْمُجْرِمُونَ النَّارَ فَظَنُّوا أَنَّهُم مُّوَاقِعُوهَا وَلَمْ
يَجِدُوا عَنْهَا مَصْرِفًا
Waraa almujrimoona annarafathannoo annahum muwaqiAAooha walamyajidoo AAanha
masrifa
Swahili
Na wakhalifu watauona Moto na watajua ya kwamba wao lazima wataingia humo; wala
hawatapata pa kuuepuka.
|
Ayah 18:54 الأية
وَلَقَدْ صَرَّفْنَا فِي هَٰذَا الْقُرْآنِ لِلنَّاسِ مِن كُلِّ مَثَلٍ ۚ وَكَانَ
الْإِنسَانُ أَكْثَرَ شَيْءٍ جَدَلًا
Walaqad sarrafna fee hathaalqur-ani linnasi min kulli mathalin wakanaal-insanu
akthara shay-in jadala
Swahili
Na bila ya shaka tumewaelezea watu katika hii Qur'ani kila namna ya mfano.
Lakini mwanaadamu amezidi kuliko kila kitu kwa ubishi.
|
Ayah 18:55 الأية
وَمَا مَنَعَ النَّاسَ أَن يُؤْمِنُوا إِذْ جَاءَهُمُ الْهُدَىٰ وَيَسْتَغْفِرُوا
رَبَّهُمْ إِلَّا أَن تَأْتِيَهُمْ سُنَّةُ الْأَوَّلِينَ أَوْ يَأْتِيَهُمُ
الْعَذَابُ قُبُلًا
Wama manaAAa annasa anyu/minoo ith jaahumu alhuda wayastaghfiroorabbahum illa an
ta/tiyahum sunnatu al-awwaleena awya/tiyahumu alAAathabu qubula
Swahili
Na hapana kilicho wazuia watu kuamini ulipo wajia uwongofu na wakaomba maghfira
kwa Mola wao Mlezi, isipo kuwa yawafikie ya wale wa zamani, au iwafikie adhabu
jahara.
|
Ayah 18:56 الأية
وَمَا نُرْسِلُ الْمُرْسَلِينَ إِلَّا مُبَشِّرِينَ وَمُنذِرِينَ ۚ وَيُجَادِلُ
الَّذِينَ كَفَرُوا بِالْبَاطِلِ لِيُدْحِضُوا بِهِ الْحَقَّ ۖ وَاتَّخَذُوا
آيَاتِي وَمَا أُنذِرُوا هُزُوًا
Wama nursilu almursaleena illamubashshireena wamunthireena wayujadilu
allatheenakafaroo bilbatili liyudhidoo bihi alhaqqawattakhathoo ayatee wama
onthiroohuzuwa
Swahili
Na hatuwatumi Mitume ila wawe wabashiri na waonyaji. Na walio kufuru wanabishana
kwa uwongo, ili kwa uwongo huo waivunje kweli. Na wanazifanya Ishara zangu na
yale waliyo onywa kuwa ni mzaha.
|
Ayah 18:57 الأية
وَمَنْ أَظْلَمُ مِمَّن ذُكِّرَ بِآيَاتِ رَبِّهِ فَأَعْرَضَ عَنْهَا وَنَسِيَ مَا
قَدَّمَتْ يَدَاهُ ۚ إِنَّا جَعَلْنَا عَلَىٰ قُلُوبِهِمْ أَكِنَّةً أَن
يَفْقَهُوهُ وَفِي آذَانِهِمْ وَقْرًا ۖ وَإِن تَدْعُهُمْ إِلَى الْهُدَىٰ فَلَن
يَهْتَدُوا إِذًا أَبَدًا
Waman athlamu mimman thukkirabi-ayati rabbihi faaAArada AAanhawanasiya ma
qaddamat yadahu inna jaAAalnaAAala quloobihim akinnatan an yafqahoohu wafee
athanihimwaqran wa-in tadAAuhum ila alhuda falan yahtadoo ithanabada
Swahili
Na ni nani dhaalimu mkubwa zaidi kuliko yule anaye kumbushwa Ishara za Mola wake
Mlezi, naye akazipuuza na akasahau yaliyo tangulizwa na mikono yake? Hakika Sisi
tumeweka vifuniko juu ya nyoyo zao ili wasifahamu, na uziwi kwenye masikio yao.
Na ukiwaita kwenye uwongofu hawakubali kabisa kuongoka.
|
Ayah 18:58 الأية
وَرَبُّكَ الْغَفُورُ ذُو الرَّحْمَةِ ۖ لَوْ يُؤَاخِذُهُم بِمَا كَسَبُوا
لَعَجَّلَ لَهُمُ الْعَذَابَ ۚ بَل لَّهُم مَّوْعِدٌ لَّن يَجِدُوا مِن دُونِهِ
مَوْئِلًا
Warabbuka alghafooru thoo arrahmatilaw yu-akhithuhum bima kasaboo
laAAajjalalahumu alAAathaba bal lahum mawAAidun lan yajidoo mindoonihi maw-ila
Swahili
Na Mola wako Mlezi ni Msamehevu Mwenye rehema. Lau angeli wachukulia kwa mujibu
waliyo yachuma, bila ya shaka angeli wafanyia haraka kuwaadhibu. Lakini wanayo
miadi ambayo hawatapata makimbilio yoyote ya kuepukana nayo.
|
Ayah 18:59 الأية
وَتِلْكَ الْقُرَىٰ أَهْلَكْنَاهُمْ لَمَّا ظَلَمُوا وَجَعَلْنَا لِمَهْلِكِهِم
مَّوْعِدًا
Watilka alqura ahlaknahum lammathalamoo wajaAAalna limahlikihim mawAAida
Swahili
Na miji hiyo tuliwaangamiza watu wake walipo dhulumu. Na tukawawekea miadi ya
maangamizo yao.
|
Ayah 18:60 الأية
وَإِذْ قَالَ مُوسَىٰ لِفَتَاهُ لَا أَبْرَحُ حَتَّىٰ أَبْلُغَ مَجْمَعَ
الْبَحْرَيْنِ أَوْ أَمْضِيَ حُقُبًا
Wa-ith qala moosa lifatahula abrahu hatta ablugha majmaAAa albahrayniaw amdiya
huquba
Swahili
Na pale Musa alipo mwambia kijana wake: Sitoacha kuendelea mpaka nifike zinapo
kutana bahari mbili, au nitaendelea kwa muda mrefu.
|
Ayah 18:61 الأية
فَلَمَّا بَلَغَا مَجْمَعَ بَيْنِهِمَا نَسِيَا حُوتَهُمَا فَاتَّخَذَ سَبِيلَهُ
فِي الْبَحْرِ سَرَبًا
Falamma balagha majmaAAabaynihima nasiya hootahuma fattakhathasabeelahu fee
albahri saraba
Swahili
Basi wawili hao walipo fika zinapo kutana hizo bahari mbili walimsahau samaki
wao, naye akashika njia yake kaporonyokea baharini.
|
Ayah 18:62 الأية
فَلَمَّا جَاوَزَا قَالَ لِفَتَاهُ آتِنَا غَدَاءَنَا لَقَدْ لَقِينَا مِن
سَفَرِنَا هَٰذَا نَصَبًا
Falamma jawaza qalalifatahu atina ghadaana laqadlaqeena min safarina hatha
nasaba
Swahili
Walipo kwisha pita alimwambia kijana wake: Tupe chakula chetu cha mchana. Kwa
hakika tumepata machofu kweli kwa hii safari yetu.
|
Ayah 18:63 الأية
قَالَ أَرَأَيْتَ إِذْ أَوَيْنَا إِلَى الصَّخْرَةِ فَإِنِّي نَسِيتُ الْحُوتَ
وَمَا أَنسَانِيهُ إِلَّا الشَّيْطَانُ أَنْ أَذْكُرَهُ ۚ وَاتَّخَذَ سَبِيلَهُ فِي
الْبَحْرِ عَجَبًا
Qala araayta ith awaynaila assakhrati fa-innee naseetu alhootawama ansaneehu
illa ashshaytanuan athkurahu wattakhatha sabeelahu fee albahriAAajaba
Swahili
Akasema (kijana): Waona! Pale tulipo pumzika penye jabali basi mimi nilimsahau
yule samaki. Na hapana aliye nisahaulisha nisimkumbuke ila Shet'ani tu. Naye
akashika njia yake baharini kwa ajabu.
|
Ayah 18:64 الأية
قَالَ ذَٰلِكَ مَا كُنَّا نَبْغِ ۚ فَارْتَدَّا عَلَىٰ آثَارِهِمَا قَصَصًا
Qala thalika ma kunnanabghi fartadda AAala atharihimaqasasa
Swahili
(Musa) akasema: Hayo ndiyo tuliyo kuwa tunayataka. Basi wakarudi nyuma kwa
kufuata njia waliyo jia.
|
Ayah 18:65 الأية
فَوَجَدَا عَبْدًا مِّنْ عِبَادِنَا آتَيْنَاهُ رَحْمَةً مِّنْ عِندِنَا
وَعَلَّمْنَاهُ مِن لَّدُنَّا عِلْمًا
Fawajada AAabdan min AAibadinaataynahu rahmatan min AAindinawaAAallamnahu min
ladunna AAilma
Swahili
Basi wakamkuta mja katika waja wangu tuliye mpa rehema kutoka kwetu, na
tukamfunza mafunzo yaliyo toka kwetu.
|
Ayah 18:66 الأية
قَالَ لَهُ مُوسَىٰ هَلْ أَتَّبِعُكَ عَلَىٰ أَن تُعَلِّمَنِ مِمَّا عُلِّمْتَ
رُشْدًا
Qala lahu moosa halattabiAAuka AAala an tuAAallimani mimma AAullimtarushda
Swahili
Musa akamwambia: Nikufuate ili unifunze katika ule uwongofu ulio funzwa wewe?
|
Ayah 18:67 الأية
قَالَ إِنَّكَ لَن تَسْتَطِيعَ مَعِيَ صَبْرًا
Qala innaka lan tastateeAAamaAAiya sabra
Swahili
Akasema: Hakika wewe hutaweza kuvumilia kuwa pamoja nami.
|
Ayah 18:68 الأية
وَكَيْفَ تَصْبِرُ عَلَىٰ مَا لَمْ تُحِطْ بِهِ خُبْرًا
Wakayfa tasbiru AAala malam tuhit bihi khubra
Swahili
Na utawezaje kuvumilia yale usiyo yajua vilivyo undani wake?
|
Ayah 18:69 الأية
قَالَ سَتَجِدُنِي إِن شَاءَ اللهُ صَابِرًا وَلَا أَعْصِي لَكَ أَمْرًا
Qala satajidunee in shaa Allahusabiran wala aAAsee laka amra
Swahili
Akasema: Inshaallah, Mwenyezi Mungu akipenda, utaniona mvumilivu, wala sitoasi
amri yako.
|
Ayah 18:70 الأية
قَالَ فَإِنِ اتَّبَعْتَنِي فَلَا تَسْأَلْنِي عَن شَيْءٍ حَتَّىٰ أُحْدِثَ لَكَ
مِنْهُ ذِكْرًا
Qala fa-ini ittabaAAtanee falatas-alnee AAan shay-in hatta ohditha lakaminhu
thikra
Swahili
Akasema: Basi ukinifuata usiniulize kitu mpaka mimi nianze kukutajia.
|
Ayah 18:71 الأية
فَانطَلَقَا حَتَّىٰ إِذَا رَكِبَا فِي السَّفِينَةِ خَرَقَهَا ۖ قَالَ
أَخَرَقْتَهَا لِتُغْرِقَ أَهْلَهَا لَقَدْ جِئْتَ شَيْئًا إِمْرًا
Fantalaqa hattaitha rakiba fee assafeenati kharaqahaqala akharaqtaha litughriqa
ahlaha laqadji/ta shay-an imra
Swahili
Basi wawili hao wakatoka, hata walipo panda jahazi (yule mtu) akaitoboa. (Musa)
akasema: Unaitoboa uwazamishe watu wake? Hakika umefanya jambo baya.
|
Ayah 18:72 الأية
قَالَ أَلَمْ أَقُلْ إِنَّكَ لَن تَسْتَطِيعَ مَعِيَ صَبْرًا
Qala alam aqul innaka lan tastateeAAamaAAiya sabra
Swahili
Akasema: Sikukwambia hutaweza kuvumilia kuwa pamoja nami?
|
Ayah 18:73 الأية
قَالَ لَا تُؤَاخِذْنِي بِمَا نَسِيتُ وَلَا تُرْهِقْنِي مِنْ أَمْرِي عُسْرًا
Qala la tu-akhithneebima naseetu wala turhiqnee min amree AAusra
Swahili
(Musa) akasema: Usinichukulie kwa niliyo sahau, wala usinipe uzito kwa jambo
langu.
|
Ayah 18:74 الأية
فَانطَلَقَا حَتَّىٰ إِذَا لَقِيَا غُلَامًا فَقَتَلَهُ قَالَ أَقَتَلْتَ نَفْسًا
زَكِيَّةً بِغَيْرِ نَفْسٍ لَّقَدْ جِئْتَ شَيْئًا نُّكْرًا
Fantalaqa hattaitha laqiya ghulaman faqatalahu qalaaqatalta nafsan zakiyyatan
bighayri nafsin laqad ji/ta shay-annukra
Swahili
Basi wakatoka wawili hao mpaka wakamkuta kijana, akamuuwa. (Musa) akasema: Ala!
Umemuuwa mtu asiye na kosa, na wala hakuuwa! Ama hakika umefanya jambo baya
kabisa!
|
Ayah 18:75 الأية
قَالَ أَلَمْ أَقُل لَّكَ إِنَّكَ لَن تَسْتَطِيعَ مَعِيَ صَبْرًا
Qala alam aqul laka innaka lan tastateeAAamaAAiya sabra
Swahili
AKASEMA: Je! Sikukwambia kwamba hakika wewe huwezi kuvumilia kuwa pamoja nami?
|
Ayah 18:76 الأية
قَالَ إِن سَأَلْتُكَ عَن شَيْءٍ بَعْدَهَا فَلَا تُصَاحِبْنِي ۖ قَدْ بَلَغْتَ مِن
لَّدُنِّي عُذْرًا
Qala in saaltuka AAan shay-in baAAdahafala tusahibnee qad balaghta min ladunnee
AAuthra
Swahili
Akasema: Nikikuuliza kitu chochote baada ya haya usifuatane nami, kwani
umekwisha pata udhuru kwangu.
|
Ayah 18:77 الأية
فَانطَلَقَا حَتَّىٰ إِذَا أَتَيَا أَهْلَ قَرْيَةٍ اسْتَطْعَمَا أَهْلَهَا
فَأَبَوْا أَن يُضَيِّفُوهُمَا فَوَجَدَا فِيهَا جِدَارًا يُرِيدُ أَن يَنقَضَّ
فَأَقَامَهُ ۖ قَالَ لَوْ شِئْتَ لَاتَّخَذْتَ عَلَيْهِ أَجْرًا
Fantalaqa hattaitha ataya ahla qaryatin istatAAamaahlaha faabaw an
yudayyifoohuma fawajadafeeha jidaran yureedu an yanqadda faaqamahuqala law
shi/ta lattakhathta AAalayhi ajra
Swahili
Basi wakatoka mpaka wakawafikia watu wa mji mmoja. Wakawaomba watu wake wawape
chakula, nao wakakataa kuwakaribisha. Hapo wakakuta ukuta unataka kuanguka,
(yule mja mwema) akausimamisha. (Musa) akasema: Ungeli taka ungeli chukua ujira
kwa haya.
|
Ayah 18:78 الأية
قَالَ هَٰذَا فِرَاقُ بَيْنِي وَبَيْنِكَ ۚ سَأُنَبِّئُكَ بِتَأْوِيلِ مَا لَمْ
تَسْتَطِع عَّلَيْهِ صَبْرًا
Qala hatha firaqubaynee wabaynika saonabbi-oka bita/weeli ma lam
tastatiAAAAalayhi sabra
Swahili
(Yule mtu) akasema: Huku ndio kufarikiana baina yangu na wewe. Sasa nitakueleza
maana ya yale uliyo kuwa huwezi kuyastahamilia.
|
Ayah 18:79 الأية
أَمَّا السَّفِينَةُ فَكَانَتْ لِمَسَاكِينَ يَعْمَلُونَ فِي الْبَحْرِ فَأَرَدتُّ
أَنْ أَعِيبَهَا وَكَانَ وَرَاءَهُم مَّلِكٌ يَأْخُذُ كُلَّ سَفِينَةٍ غَصْبًا
Amma assafeenatu fakanatlimasakeena yaAAmaloona fee albahri faaradtu anaAAeebaha
wakana waraahum malikun ya/khuthukulla safeenatin ghasba
Swahili
Ama ile jahazi ilikuwa ya masikini za Mungu wafanyao kazi baharini. Nilitaka
kuiharibu, kwani nyuma yao alikuwako mfalme anaghusubu majahazi yote.
|
Ayah 18:80 الأية
وَأَمَّا الْغُلَامُ فَكَانَ أَبَوَاهُ مُؤْمِنَيْنِ فَخَشِينَا أَن يُرْهِقَهُمَا
طُغْيَانًا وَكُفْرًا
Waamma alghulamu fakanaabawahu mu/minayni fakhasheena an yurhiqahumatughyanan
wakufra
Swahili
Na ama yule kijana, wazazi wake walikuwa ni Waumini. Tukakhofu asije watia
mashakani kwa uasi na ukafiri.
|
Ayah 18:81 الأية
فَأَرَدْنَا أَن يُبْدِلَهُمَا رَبُّهُمَا خَيْرًا مِّنْهُ زَكَاةً وَأَقْرَبَ
رُحْمًا
Faaradna an yubdilahumarabbuhuma khayran minhu zakatan waaqraba ruhma
Swahili
Basi tulitaka Mola wao Mlezi awabadilishie aliye bora zaidi kuliko huyo kwa
kutakasika, na aliye karibu zaidi kwa huruma.
|
Ayah 18:82 الأية
وَأَمَّا الْجِدَارُ فَكَانَ لِغُلَامَيْنِ يَتِيمَيْنِ فِي الْمَدِينَةِ وَكَانَ
تَحْتَهُ كَنزٌ لَّهُمَا وَكَانَ أَبُوهُمَا صَالِحًا فَأَرَادَ رَبُّكَ أَن
يَبْلُغَا أَشُدَّهُمَا وَيَسْتَخْرِجَا كَنزَهُمَا رَحْمَةً مِّن رَّبِّكَ ۚ وَمَا
فَعَلْتُهُ عَنْ أَمْرِي ۚ ذَٰلِكَ تَأْوِيلُ مَا لَمْ تَسْطِع عَّلَيْهِ صَبْرًا
Waamma aljidaru fakanalighulamayni yateemayni fee almadeenati wakana
tahtahukanzun lahuma wakana aboohuma salihanfaarada rabbuka an yablugha
ashuddahumawayastakhrija kanzahuma rahmatan min rabbikawama faAAaltuhu AAan
amree thalika ta/weelu malam tastiAA AAalayhi sabra
Swahili
Na ama ukuta, huo ulikuwa ni wa vijana wawili mayatima kule mjini. Na chini yake
ilikuwako khazina yao; na baba yao alikuwa ni mtu mwema. Basi Mola wako Mlezi
alitaka wafikie utu uzima na wajitolee khazina yao wenyewe, kuwa ni rehema
itokayo kwa Mola wako Mlezi. Wala mimi sikutenda hayo kwa amri yangu. Hiyo ndiyo
tafsiri ya hayo ambayo wewe hukuweza kuyasubiria.
|
Ayah 18:83 الأية
وَيَسْأَلُونَكَ عَن ذِي الْقَرْنَيْنِ ۖ قُلْ سَأَتْلُو عَلَيْكُم مِّنْهُ ذِكْرًا
Wayas-aloonaka AAan thee alqarnayniqul saatloo AAalaykum minhu thikra
Swahili
Na wanakuuliza khabari za Dhul- Qarnaini. Waambie: Nitakusimulieni baadhi ya
hadithi yake.
|
Ayah 18:84 الأية
إِنَّا مَكَّنَّا لَهُ فِي الْأَرْضِ وَآتَيْنَاهُ مِن كُلِّ شَيْءٍ سَبَبًا
Inna makkanna lahu fee al-ardiwaataynahu min kulli shay-in sababa
Swahili
Sisi tulimtilia nguvu katika ardhi na tukampa njia za kila kitu.
|
Ayah 18:85 الأية
فَأَتْبَعَ سَبَبًا
FaatbaAAa sababa
Swahili
Basi akaifuata njia.
|
Ayah 18:86 الأية
حَتَّىٰ إِذَا بَلَغَ مَغْرِبَ الشَّمْسِ وَجَدَهَا تَغْرُبُ فِي عَيْنٍ حَمِئَةٍ
وَوَجَدَ عِندَهَا قَوْمًا ۗ قُلْنَا يَا ذَا الْقَرْنَيْنِ إِمَّا أَن تُعَذِّبَ
وَإِمَّا أَن تَتَّخِذَ فِيهِمْ حُسْنًا
Hatta itha balaghamaghriba ashshamsi wajadaha taghrubu fee AAaynin
hami-atinwawajada AAindaha qawman qulna ya thaalqarnayni imma an tuAAaththiba
wa-imma antattakhitha feehim husna
Swahili
Hata alipo fika machwea-jua aliliona linatua katika checmchem yenye matope
meusi. Na hapo akawakuta watu. Tukasema: Ewe Dhul-Qarnaini! Ama uwaadhibu au
watwae kwa wema.
|
Ayah 18:87 الأية
قَالَ أَمَّا مَن ظَلَمَ فَسَوْفَ نُعَذِّبُهُ ثُمَّ يُرَدُّ إِلَىٰ رَبِّهِ
فَيُعَذِّبُهُ عَذَابًا نُّكْرًا
Qala amma man thalamafasawfa nuAAaththibuhu thumma yuraddu ila
rabbihifayuAAaththibuhu AAathaban nukra
Swahili
Akasema: Ama aliye dhulumu basi tutamuadhibu, na kisha atarudishwa kwa Mola wake
Mlezi amuadhibu adhabu isiyo juulikana.
|
Ayah 18:88 الأية
وَأَمَّا مَنْ آمَنَ وَعَمِلَ صَالِحًا فَلَهُ جَزَاءً الْحُسْنَىٰ ۖ وَسَنَقُولُ
لَهُ مِنْ أَمْرِنَا يُسْرًا
Waamma man amana waAAamila salihanfalahu jazaan alhusna wasanaqoolu lahu
minamrina yusra
Swahili
Na ama aliye amini na akatenda mema basi atapata malipo mazuri. Nasi tutamwambia
lilio jepesi katika amri yetu.
|
Ayah 18:89 الأية
ثُمَّ أَتْبَعَ سَبَبًا
Thumma atbaAAa sababa
Swahili
Kisha akaifuata njia.
|
Ayah 18:90 الأية
حَتَّىٰ إِذَا بَلَغَ مَطْلِعَ الشَّمْسِ وَجَدَهَا تَطْلُعُ عَلَىٰ قَوْمٍ لَّمْ
نَجْعَل لَّهُم مِّن دُونِهَا سِتْرًا
Hatta itha balagha matliAAaashshamsi wajadaha tatluAAu AAalaqawmin lam najAAal
lahum min dooniha sitra
Swahili
Hata alipo fika matokeo ya jua aliliona linawachomozea watu tusio wawekea pazia
la kuwakinga nalo.
|
Ayah 18:91 الأية
كَذَٰلِكَ وَقَدْ أَحَطْنَا بِمَا لَدَيْهِ خُبْرًا
Kathalika waqad ahatnabima ladayhi khubra
Swahili
Ndio hivyo hivyo. Na Sisi tulizijua vilivyo khabari zake zote.
|
Ayah 18:92 الأية
ثُمَّ أَتْبَعَ سَبَبًا
Thumma atbaAAa sababa
Swahili
Kisha akaifuata njia.
|
Ayah 18:93 الأية
حَتَّىٰ إِذَا بَلَغَ بَيْنَ السَّدَّيْنِ وَجَدَ مِن دُونِهِمَا قَوْمًا لَّا
يَكَادُونَ يَفْقَهُونَ قَوْلًا
Hatta itha balaghabayna assaddayni wajada min doonihima qawman layakadoona
yafqahoona qawla
Swahili
Hata alipo fika baina ya milima miwili, alikuta nyuma yake watu ambao takriban
hawakuwa wanafahamu lolote.
|
Ayah 18:94 الأية
قَالُوا يَا ذَا الْقَرْنَيْنِ إِنَّ يَأْجُوجَ وَمَأْجُوجَ مُفْسِدُونَ فِي
الْأَرْضِ فَهَلْ نَجْعَلُ لَكَ خَرْجًا عَلَىٰ أَن تَجْعَلَ بَيْنَنَا
وَبَيْنَهُمْ سَدًّا
Qaloo ya tha alqarnayniinna ya/jooja wama/jooja mufsidoona fee al-ardi
fahalnajAAalu laka kharjan AAala an tajAAala baynanawabaynahum sadda
Swahili
Wakasema: Ewe Dhul-Qarnaini! Hakika Juju-wa-maajuju wanafanya uharibifu katika
nchi. Basi je, tukulipe ujira ili utujengee baina yetu na wao ngome?
|
Ayah 18:95 الأية
قَالَ مَا مَكَّنِّي فِيهِ رَبِّي خَيْرٌ فَأَعِينُونِي بِقُوَّةٍ أَجْعَلْ
بَيْنَكُمْ وَبَيْنَهُمْ رَدْمًا
Qala ma makkannee feehi rabbeekhayrun faaAAeenoonee biquwwatin ajAAal baynakum
wabaynahum radma
Swahili
Akasema: Yale Mola wangu aliyo niwezesha ni bora zaidi. Lakini nyinyi nisaidieni
kwa nguvu zenu. Nitakujengeeni kizuizi baina yenu na wao.
|
Ayah 18:96 الأية
آتُونِي زُبَرَ الْحَدِيدِ ۖ حَتَّىٰ إِذَا سَاوَىٰ بَيْنَ الصَّدَفَيْنِ قَالَ
انفُخُوا ۖ حَتَّىٰ إِذَا جَعَلَهُ نَارًا قَالَ آتُونِي أُفْرِغْ عَلَيْهِ قِطْرًا
Atoonee zubara alhadeedi hattaitha sawa bayna asadafayni qalaonfukhoo hatta itha
jaAAalahu naran qalaatoonee ofrigh AAalayhi qitra
Swahili
Nileteeni vipande vya chuma. Hata alipo ijaza nafasi iliyo kati ya milima
miwili, akasema: Vukuteni. Hata alipo kifanya (chuma) kama moto akasema:
Nileteeni shaba iliyo yayuka niimwagie.
|
Ayah 18:97 الأية
فَمَا اسْطَاعُوا أَن يَظْهَرُوهُ وَمَا اسْتَطَاعُوا لَهُ نَقْبًا
Fama istaAAoo an yathharoohuwama istataAAoo lahu naqba
Swahili
Basi hawakuweza kuukwea, wala hawakuweza kuutoboa.
|
Ayah 18:98 الأية
قَالَ هَٰذَا رَحْمَةٌ مِّن رَّبِّي ۖ فَإِذَا جَاءَ وَعْدُ رَبِّي جَعَلَهُ
دَكَّاءَ ۖ وَكَانَ وَعْدُ رَبِّي حَقًّا
Qala hatha rahmatun minrabbee fa-itha jaa waAAdu rabbee jaAAalahu dakkaawakana
waAAdu rabbee haqqa
Swahili
Akasema: Hii ni rehema itokayo kwa Mola wangu Mlezi. Na itapo fika ahadi ya Mola
wangu Mlezi atauvunja vunja. Na ahadi ya Mola wangu Mlezi ni kweli tu.
|
Ayah 18:99 الأية
وَتَرَكْنَا بَعْضَهُمْ يَوْمَئِذٍ يَمُوجُ فِي بَعْضٍ ۖ وَنُفِخَ فِي الصُّورِ
فَجَمَعْنَاهُمْ جَمْعًا
Watarakna baAAdahum yawma-ithinyamooju fee baAAdin wanufikha fee
assoorifajamaAAnahum jamAAa
Swahili
Na siku hiyo tutawaacha wakisongana wao kwa wao. Na baragumu litapulizwa, na
wote watakusanywa pamoja.
|
Ayah 18:100 الأية
وَعَرَضْنَا جَهَنَّمَ يَوْمَئِذٍ لِّلْكَافِرِينَ عَرْضًا
WaAAaradna jahannama yawma-ithinlilkafireena AAarda
Swahili
Na siku hiyo tutawadhihirishia wazi Jahannamu makafiri waione.
|
Ayah 18:101 الأية
الَّذِينَ كَانَتْ أَعْيُنُهُمْ فِي غِطَاءٍ عَن ذِكْرِي وَكَانُوا لَا
يَسْتَطِيعُونَ سَمْعًا
Allatheena kanat aAAyunuhumfee ghita-in AAan thikree wakanoo layastateeAAoona
samAAa
Swahili
Wale ambao kwamba macho yao yalikuwa paziani hayanikumbuki, na wakawa hawawezi
kusikia.
|
Ayah 18:102 الأية
أَفَحَسِبَ الَّذِينَ كَفَرُوا أَن يَتَّخِذُوا عِبَادِي مِن دُونِي أَوْلِيَاءَ ۚ
إِنَّا أَعْتَدْنَا جَهَنَّمَ لِلْكَافِرِينَ نُزُلًا
Afahasiba allatheena kafarooan yattakhithoo AAibadee min doonee awliyaainna
aAAtadna jahannama lilkafireena nuzula
Swahili
Je, wanadhani walio kufuru ndio wawafanye waja wangu ndio walinzi wao badala
yangu Mimi? Hakika Sisi tumeiandaa Jahannamu iwe ndipo mahala pa kuteremkia
makafiri.
|
Ayah 18:103 الأية
قُلْ هَلْ نُنَبِّئُكُم بِالْأَخْسَرِينَ أَعْمَالًا
Qul hal nunabbi-okum bil-akhsareenaaAAmala
Swahili
Sema: Je, tukutajieni wenye khasara mno katika vitendo vyao?
|
Ayah 18:104 الأية
الَّذِينَ ضَلَّ سَعْيُهُمْ فِي الْحَيَاةِ الدُّنْيَا وَهُمْ يَحْسَبُونَ
أَنَّهُمْ يُحْسِنُونَ صُنْعًا
Allatheena dalla saAAyuhumfee alhayati addunya wahum yahsaboonaannahum
yuhsinoona sunAAa
Swahili
Ni wale ambao juhudi yao katika maisha ya dunia imepotea bure, nao wanadhani
kwamba wanafanya kazi nzuri.
|
Ayah 18:105 الأية
أُولَٰئِكَ الَّذِينَ كَفَرُوا بِآيَاتِ رَبِّهِمْ وَلِقَائِهِ فَحَبِطَتْ
أَعْمَالُهُمْ فَلَا نُقِيمُ لَهُمْ يَوْمَ الْقِيَامَةِ وَزْنًا
Ola-ika allatheena kafaroobi-ayati rabbihim waliqa-ihi fahabitataAAmaluhum fala
nuqeemu lahum yawma alqiyamatiwazna
Swahili
Hao ni wale walio zikanusha Ishara za Mola wao Mlezi na kukutana naye. Kwa hivyo
vitendo vyao vimepotea bure, na wala Siku ya Kiyama hatutawathamini kitu.
|
Ayah 18:106 الأية
ذَٰلِكَ جَزَاؤُهُمْ جَهَنَّمُ بِمَا كَفَرُوا وَاتَّخَذُوا آيَاتِي وَرُسُلِي
هُزُوًا
Thalika jazaohum jahannamubima kafaroo wattakhathoo ayateewarusulee huzuwa
Swahili
Hiyo Jahannamu ni malipo yao kwa walivyo kufuru na wakafanyia kejeli Ishara
zangu na Mitume wangu.
|
Ayah 18:107 الأية
إِنَّ الَّذِينَ آمَنُوا وَعَمِلُوا الصَّالِحَاتِ كَانَتْ لَهُمْ جَنَّاتُ
الْفِرْدَوْسِ نُزُلًا
Inna allatheena amanoowaAAamiloo assalihati kanat lahumjannatu alfirdawsi nuzula
Swahili
Hakika wale walio amini na wakatenda mema mashukio yao yatakuwa kwenye Pepo za
Firdausi.
|
Ayah 18:108 الأية
خَالِدِينَ فِيهَا لَا يَبْغُونَ عَنْهَا حِوَلًا
Khalideena feeha layabghoona AAanha hiwala
Swahili
Watadumu humo; hawatataka kuondoka.
|
Ayah 18:109 الأية
قُل لَّوْ كَانَ الْبَحْرُ مِدَادًا لِّكَلِمَاتِ رَبِّي لَنَفِدَ الْبَحْرُ قَبْلَ
أَن تَنفَدَ كَلِمَاتُ رَبِّي وَلَوْ جِئْنَا بِمِثْلِهِ مَدَدًا
Qul law kana albahru midadanlikalimati rabbee lanafida albahru qabla an
tanfadakalimatu rabbee walaw ji/na bimithlihi madada
Swahili
Sema: Lau kuwa bahari ndio wino kwa maneno ya Mola wangu Mlezi, basi bahari
ingeli malizika kabla ya kumalizika maneno ya Mola wangu Mlezi, hata tungeli
ileta mfano wa hiyo kuongezea.
|
Ayah 18:110 الأية
قُلْ إِنَّمَا أَنَا بَشَرٌ مِّثْلُكُمْ يُوحَىٰ إِلَيَّ أَنَّمَا إِلَٰهُكُمْ
إِلَٰهٌ وَاحِدٌ ۖ فَمَن كَانَ يَرْجُو لِقَاءَ رَبِّهِ فَلْيَعْمَلْ عَمَلًا
صَالِحًا وَلَا يُشْرِكْ بِعِبَادَةِ رَبِّهِ أَحَدًا
Qul innama ana basharunmithlukum yooha ilayya annama ilahukum ilahunwahidun
faman kana yarjoo liqaa rabbihifalyaAAmal AAamalan salihan wala
yushrikbiAAibadati rabbihi ahada
Swahili
Sema: Mimi ni mwanaadamu kama nyinyi. Ninaletewa Wahyi kwamba Mungu wenu ni
Mungu Mmoja. Mwenye kutaraji kukutana na Mola wake Mlezi basi naatende vitendo
vyema, wala asimshirikishe yeyote katika ibada ya Mola wake Mlezi.
|
©
EsinIslam.Com Designed & produced by The Awqaf London. Please pray for us
|