Prev  

53. Surah An-Najm سورة النجم

  Next  




1st Ayah  1  الأية ١الأولي
بِسْم ِ اللهِ الرَّحْمَٰنِ الرَّحِيمِ
وَالنَّجْمِ إِذَا هَوَىٰ
Wannajmi itha hawa

Swahili
 
Naapa kwa nyota inapo tua,

Ayah  53:2  الأية
مَا ضَلَّ صَاحِبُكُمْ وَمَا غَوَىٰ
Ma dalla sahibukum wamaghawa

Swahili
 
Mwenzenu huyu hakupotea, wala hakukosea.

Ayah  53:3  الأية
وَمَا يَنطِقُ عَنِ الْهَوَىٰ
Wama yantiqu AAani alhawa

Swahili
 
Wala hatamki kwa matamanio.

Ayah  53:4  الأية
إِنْ هُوَ إِلَّا وَحْيٌ يُوحَىٰ
In huwa illa wahyun yooha

Swahili
 
Hayakuwa haya ila ni ufunuo ulio funuliwa;

Ayah  53:5  الأية
عَلَّمَهُ شَدِيدُ الْقُوَىٰ
AAallamahu shadeedu alquwa

Swahili
 
Amemfundisha aliye mwingi wa nguvu,

Ayah  53:6  الأية
ذُو مِرَّةٍ فَاسْتَوَىٰ
Thoo mirratin fastawa

Swahili
 
Mwenye kutua, akatulia,

Ayah  53:7  الأية
وَهُوَ بِالْأُفُقِ الْأَعْلَىٰ
Wahuwa bil-ofuqi al-aAAla

Swahili
 
Naye yuko juu kabisa upeo wa macho.

Ayah  53:8  الأية
ثُمَّ دَنَا فَتَدَلَّىٰ
Thumma dana fatadalla

Swahili
 
Kisha akakaribia na akateremka.

Ayah  53:9  الأية
فَكَانَ قَابَ قَوْسَيْنِ أَوْ أَدْنَىٰ
Fakana qaba qawsayni aw adna

Swahili
 
Akawa ni kama baina ya mipinde miwili, au karibu zaidi.

Ayah  53:10  الأية
فَأَوْحَىٰ إِلَىٰ عَبْدِهِ مَا أَوْحَىٰ
Faawha ila AAabdihi maawha

Swahili
 
Akamfunulia mja wake (Mwenyezi Mungu) alicho mfunulia.

Ayah  53:11  الأية
مَا كَذَبَ الْفُؤَادُ مَا رَأَىٰ
Ma kathaba alfu-adu maraa

Swahili
 
Moyo haukusema uwongo uliyo yaona.

Ayah  53:12  الأية
أَفَتُمَارُونَهُ عَلَىٰ مَا يَرَىٰ
Afatumaroonahu AAala mayara

Swahili
 
Je! Mnabishana naye kwa aliyo yaona?

Ayah  53:13  الأية
وَلَقَدْ رَآهُ نَزْلَةً أُخْرَىٰ
Walaqad raahu nazlatan okhra

Swahili
 
Na akamwona mara nyingine,

Ayah  53:14  الأية
عِندَ سِدْرَةِ الْمُنتَهَىٰ
AAinda sidrati almuntaha

Swahili
 
Penye Mkunazi wa mwisho.

Ayah  53:15  الأية
عِندَهَا جَنَّةُ الْمَأْوَىٰ
AAindaha jannatu alma/wa

Swahili
 
Karibu yake ndiyo ipo Bustani inayo kaliwa.

Ayah  53:16  الأية
إِذْ يَغْشَى السِّدْرَةَ مَا يَغْشَىٰ
Ith yaghsha assidratama yaghsha

Swahili
 
Kilipo ufunika huo Mkunazi hicho kilicho ufunuika.

Ayah  53:17  الأية
مَا زَاغَ الْبَصَرُ وَمَا طَغَىٰ
Ma zagha albasaru wamatagha

Swahili
 
Jicho halikuhangaika wala halikuruka mpaka.

Ayah  53:18  الأية
لَقَدْ رَأَىٰ مِنْ آيَاتِ رَبِّهِ الْكُبْرَىٰ
Laqad raa min ayatirabbihi alkubra

Swahili
 
Kwa yakini aliona katika Ishara kubwa kabisa za Mola wake Mlezi.

Ayah  53:19  الأية
أَفَرَأَيْتُمُ اللَّاتَ وَالْعُزَّىٰ
Afaraaytumu allata walAAuzza

Swahili
 
Je! Mmemuona Lata na Uzza?

Ayah  53:20  الأية
وَمَنَاةَ الثَّالِثَةَ الْأُخْرَىٰ
Wamanata aththalithataal-okhra

Swahili
 
Na Manaat, mwingine wa tatu?

Ayah  53:21  الأية
أَلَكُمُ الذَّكَرُ وَلَهُ الْأُنثَىٰ
Alakumu aththakaru walahual-ontha

Swahili
 
Je! Nyinyi mnao wana wanaume na Yeye ndio awe na wanawake?

Ayah  53:22  الأية
تِلْكَ إِذًا قِسْمَةٌ ضِيزَىٰ
Tilka ithan qismatun deeza

Swahili
 
Huo ni mgawanyo wa dhulma!

Ayah  53:23  الأية
إِنْ هِيَ إِلَّا أَسْمَاءٌ سَمَّيْتُمُوهَا أَنتُمْ وَآبَاؤُكُم مَّا أَنزَلَ اللهُ بِهَا مِن سُلْطَانٍ ۚ إِن يَتَّبِعُونَ إِلَّا الظَّنَّ وَمَا تَهْوَى الْأَنفُسُ ۖ وَلَقَدْ جَاءَهُم مِّن رَّبِّهِمُ الْهُدَىٰ
In hiya illa asmaonsammaytumooha antum waabaokum maanzala Allahu biha min sultanin inyattabiAAoona illa aththanna wamatahwa al-anfusu walaqad jaahum min rabbihimu alhuda

Swahili
 
Hayo hayakuwa ila ni majina mliyo wapa nyinyi na baba zenu. Mwenyezi Mungu hakuleta uthibitisho wowote juu ya hayo. Hawafuati ila dhana tu na kipendacho nafsi. Na kwa yakini uwongofu ulikwisha wafikia kutoka kwa Mola wao Mlezi.

Ayah  53:24  الأية
أَمْ لِلْإِنسَانِ مَا تَمَنَّىٰ
Am lil-insani ma tamanna

Swahili
 
Ati mtu anakipata kila anacho kitamani?

Ayah  53:25  الأية
فَلِلَّهِ الْآخِرَةُ وَالْأُولَىٰ
Falillahi al-akhiratu wal-oola

Swahili
 
Mwenyezi Mungu tu ndiye Mwenye dunia na Akhera.

Ayah  53:26  الأية
وَكَم مِّن مَّلَكٍ فِي السَّمَاوَاتِ لَا تُغْنِي شَفَاعَتُهُمْ شَيْئًا إِلَّا مِن بَعْدِ أَن يَأْذَنَ اللهُ لِمَن يَشَاءُ وَيَرْضَىٰ
Wakam min malakin fee assamawatila tughnee shafaAAatuhum shay-an illa minbaAAdi an ya/thana Allahu liman yashao wayarda

Swahili
 
Na wako Malaika wangapi mbinguni, ambao uombezi wao hautafaa chochote isipo kuwa baada ya Mwenyezi Mungu kutoa idhini kwa amtakaye na kumridhia.

Ayah  53:27  الأية
إِنَّ الَّذِينَ لَا يُؤْمِنُونَ بِالْآخِرَةِ لَيُسَمُّونَ الْمَلَائِكَةَ تَسْمِيَةَ الْأُنثَىٰ
Inna allatheena la yu/minoonabil-akhirati layusammoona almala-ikatatasmiyata al-ontha

Swahili
 
Hakika wasio amini Akhera bila ya shaka wao ndio wanawaita Malaika kwa majina ya kike.

Ayah  53:28  الأية
وَمَا لَهُم بِهِ مِنْ عِلْمٍ ۖ إِن يَتَّبِعُونَ إِلَّا الظَّنَّ ۖ وَإِنَّ الظَّنَّ لَا يُغْنِي مِنَ الْحَقِّ شَيْئًا
Wama lahum bihi min AAilmin inyattabiAAoona illa aththanna wa-innaaththanna la yughnee mina alhaqqishay-a

Swahili
 
Nao hawana ujuzi wowote kwa hayo isipo kuwa wanafuata dhana tu. Na dhana haisaidii chochote mbele ya haki.

Ayah  53:29  الأية
فَأَعْرِضْ عَن مَّن تَوَلَّىٰ عَن ذِكْرِنَا وَلَمْ يُرِدْ إِلَّا الْحَيَاةَ الدُّنْيَا
FaaAArid AAan man tawalla AAanthikrina walam yurid illa alhayataaddunya

Swahili
 
Basi mwachilie mbali anaye upa kisogo ukumbusho wetu, na wala hataki ila maisha ya dunia.

Ayah  53:30  الأية
ذَٰلِكَ مَبْلَغُهُم مِّنَ الْعِلْمِ ۚ إِنَّ رَبَّكَ هُوَ أَعْلَمُ بِمَن ضَلَّ عَن سَبِيلِهِ وَهُوَ أَعْلَمُ بِمَنِ اهْتَدَىٰ
Thalika mablaghuhum mina alAAilmiinna rabbaka huwa aAAlamu biman dalla AAan sabeelihiwahuwa aAAlamu bimani ihtada

Swahili
 
Huo ndio mwisho wao wa ujuzi. Hakika Mola wako Mlezi ndiye anaye mjua zaidi mwenye kuipotea njia yake, na Yeye ndiye anaye mjua zaidi mwenye kuongoka.

Ayah  53:31  الأية
وَلِلَّهِ مَا فِي السَّمَاوَاتِ وَمَا فِي الْأَرْضِ لِيَجْزِيَ الَّذِينَ أَسَاءُوا بِمَا عَمِلُوا وَيَجْزِيَ الَّذِينَ أَحْسَنُوا بِالْحُسْنَى
Walillahi ma fee assamawatiwama fee al-ardi liyajziya allatheena asaoobima AAamiloo wayajziya allatheena ahsanoobilhusna

Swahili
 
Ni vya Mwenyezi Mungu vyote viliomo mbinguni na viliomo katika ardhi, ili awalipe walio tenda ubaya kwa waliyo yatenda, na walio tenda mema awalipe mema.

Ayah  53:32  الأية
الَّذِينَ يَجْتَنِبُونَ كَبَائِرَ الْإِثْمِ وَالْفَوَاحِشَ إِلَّا اللَّمَمَ ۚ إِنَّ رَبَّكَ وَاسِعُ الْمَغْفِرَةِ ۚ هُوَ أَعْلَمُ بِكُمْ إِذْ أَنشَأَكُم مِّنَ الْأَرْضِ وَإِذْ أَنتُمْ أَجِنَّةٌ فِي بُطُونِ أُمَّهَاتِكُمْ ۖ فَلَا تُزَكُّوا أَنفُسَكُمْ ۖ هُوَ أَعْلَمُ بِمَنِ اتَّقَىٰ
Allatheena yajtaniboona kaba-iraal-ithmi walfawahisha illa allamama innarabbaka wasiAAu almaghfirati huwa aAAlamu bikum ithanshaakum mina al-ardi wa-ith antum ajinnatun feebutooni ommahatikum fala tuzakkoo anfusakumhuwa aAAlamu bimani ittaqa

Swahili
 
Ambao wanajiepusha na madhambi makuu na vitendo vichafu, isipo kuwa makosa khafifu. Hakika Mola wako Mlezi ni Mkunjufu wa maghfira, naye anakujueni sana tangu alipo kuumbeni kutoka kwenye ardhi, na mlipo kuwa mimba matumboni mwa mama zenu. Basi msijisifu usafi. Yeye anamjua sana mwenye kujikinga na maovu.

Ayah  53:33  الأية
أَفَرَأَيْتَ الَّذِي تَوَلَّىٰ
Afaraayta allathee tawalla

Swahili
 
Je! Umemwona yule aliye geuka?

Ayah  53:34  الأية
وَأَعْطَىٰ قَلِيلًا وَأَكْدَىٰ
WaaAAta qaleelan waakda

Swahili
 
Na akatoa kidogo, kisha akajizuia?

Ayah  53:35  الأية
أَعِندَهُ عِلْمُ الْغَيْبِ فَهُوَ يَرَىٰ
aAAindahu AAilmu alghaybi fahuwa yara

Swahili
 
Je! Anayo huyo ilimu ya ghaibu, basi ndio anaona?

Ayah  53:36  الأية
أَمْ لَمْ يُنَبَّأْ بِمَا فِي صُحُفِ مُوسَىٰ
Am lam yunabba/ bima fee suhufimoosa

Swahili
 
Au hakuambiwa yaliyomo katika Vitabu vya Musa?

Ayah  53:37  الأية
وَإِبْرَاهِيمَ الَّذِي وَفَّىٰ
Wa-ibraheema allathee waffa

Swahili
 
Na vya Ibrahimu aliye timiza ahadi?

Ayah  53:38  الأية
أَلَّا تَزِرُ وَازِرَةٌ وِزْرَ أُخْرَىٰ
Alla taziru waziratun wizraokhra

Swahili
 
Ya kwamba hakika nafsi iliyo beba madhambi haibebi madhambi ya mwengine?

Ayah  53:39  الأية
وَأَن لَّيْسَ لِلْإِنسَانِ إِلَّا مَا سَعَىٰ
Waan laysa lil-insani illa masaAAa

Swahili
 
Na ya kwamba hatapata mtu ila aliyo yafanya mwenyewe?

Ayah  53:40  الأية
وَأَنَّ سَعْيَهُ سَوْفَ يُرَىٰ
Waanna saAAyahu sawfa yura

Swahili
 
Na kwamba vitendo vyake vitaonekana?

Ayah  53:41  الأية
ثُمَّ يُجْزَاهُ الْجَزَاءَ الْأَوْفَىٰ
Thumma yujzahu aljazaa al-awfa

Swahili
 
Kisha ndio atalipwa malipo yake kwa ukamilifu.

Ayah  53:42  الأية
وَأَنَّ إِلَىٰ رَبِّكَ الْمُنتَهَىٰ
Waanna ila rabbika almuntaha

Swahili
 
Na kwamba kwao Mola wako Mlezi ndio mwisho.

Ayah  53:43  الأية
وَأَنَّهُ هُوَ أَضْحَكَ وَأَبْكَىٰ
Waannahu huwa adhaka waabka

Swahili
 
Na kwamba Yeye ndiye anaye leta kicheko na kilio.

Ayah  53:44  الأية
وَأَنَّهُ هُوَ أَمَاتَ وَأَحْيَا
Waannahu huwa amata waahya

Swahili
 
Na kwamba Yeye ndiye anaye fisha na kuhuisha.

Ayah  53:45  الأية
وَأَنَّهُ خَلَقَ الزَّوْجَيْنِ الذَّكَرَ وَالْأُنثَىٰ
Waannahu khalaqa azzawjayni aththakarawal-ontha

Swahili
 
Na kwamba Yeye ndiye aliye umba jozi, dume na jike

Ayah  53:46  الأية
مِن نُّطْفَةٍ إِذَا تُمْنَىٰ
Min nutfatin itha tumna

Swahili
 
Kutokana na mbegu ya uzazi inapo miminwa.

Ayah  53:47  الأية
وَأَنَّ عَلَيْهِ النَّشْأَةَ الْأُخْرَىٰ
Waanna AAalayhi annash-ata al-okhra

Swahili
 
Na kwamba ni juu yake ufufuo mwengine.

Ayah  53:48  الأية
وَأَنَّهُ هُوَ أَغْنَىٰ وَأَقْنَىٰ
Waannahu huwa aghna waaqna

Swahili
 
Na kwamba ni Yeye ndiye anaye tosheleza na kukinaisha.

Ayah  53:49  الأية
وَأَنَّهُ هُوَ رَبُّ الشِّعْرَىٰ
Waannahu huwa rabbu ashshiAAra

Swahili
 
Na kwamba hakika Yeye ndiye Mola Mlezi wa nyota ya Shii'ra.

Ayah  53:50  الأية
وَأَنَّهُ أَهْلَكَ عَادًا الْأُولَىٰ
Waannahu ahlaka AAadan al-oola

Swahili
 
Na kwamba Yeye ndiye aliye waangamiza A'di wa kwanza,

Ayah  53:51  الأية
وَثَمُودَ فَمَا أَبْقَىٰ
Wathamooda fama abqa

Swahili
 
Na Thamudi hakuwabakisha,

Ayah  53:52  الأية
وَقَوْمَ نُوحٍ مِّن قَبْلُ ۖ إِنَّهُمْ كَانُوا هُمْ أَظْلَمَ وَأَطْغَىٰ
Waqawma noohin min qablu innahum kanoohum athlama waatgha

Swahili
 
Na kabla yao kaumu ya Nuhu. Na hao hakika walikuwa ni madhaalimu zaidi, na waovu zaidi;

Ayah  53:53  الأية
وَالْمُؤْتَفِكَةَ أَهْوَىٰ
Walmu/tafikata ahwa

Swahili
 
Na miji iliyo pinduliwa, ni Yeye aliye ipindua.

Ayah  53:54  الأية
فَغَشَّاهَا مَا غَشَّىٰ
Faghashshaha ma ghashsha

Swahili
 
Vikaifunika vilivyo funika.

Ayah  53:55  الأية
فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكَ تَتَمَارَىٰ
Fabi-ayyi ala-i rabbika tatamara

Swahili
 
Basi neema gani ya Mola wako Mlezi unayo ifanyia shaka?

Ayah  53:56  الأية
هَٰذَا نَذِيرٌ مِّنَ النُّذُرِ الْأُولَىٰ
Hatha natheerun mina annuthurial-oola

Swahili
 
Hili ni Onyo katika maonyo yale yale ya zamani.

Ayah  53:57  الأية
أَزِفَتِ الْآزِفَةُ
Azifati al-azifat

Swahili
 
Kiyama kimekaribia!

Ayah  53:58  الأية
لَيْسَ لَهَا مِن دُونِ اللهِ كَاشِفَةٌ
Laysa laha min dooni Allahi kashifat

Swahili
 
Hapana wa kukifichua isipo kuwa Mwenyezi Mungu.

Ayah  53:59  الأية
أَفَمِنْ هَٰذَا الْحَدِيثِ تَعْجَبُونَ
Afamin hatha alhadeethitaAAjaboon

Swahili
 
Je! Mnayastaajabia maneno haya?

Ayah  53:60  الأية
وَتَضْحَكُونَ وَلَا تَبْكُونَ
Watadhakoona wala tabkoon

Swahili
 
Na mnacheka, wala hamlii?

Ayah  53:61  الأية
وَأَنتُمْ سَامِدُونَ
Waantum samidoon

Swahili
 
Nanyi mmeghafilika?

Ayah  53:62  الأية
فَاسْجُدُوا لِلَّهِ وَاعْبُدُوا ۩
Fasjudoo lillahi waAAbudoo

Swahili
 
Basi msujudieni Mwenyezi Mungu, na mumuabudu.





© EsinIslam.Com Designed & produced by The Awqaf London. Please pray for us