First Ayah 1 الأية الأوليبِسْم ِ اللَّهِ الرَّحْمَٰنِ الرَّحِيمِ
وَالْمُرْسَلَاتِ عُرْفًا
Walmursalati AAurfa
Swahili
Naapa kwa zinazo tumwa kwa upole!
|
Ayah 77:2 الأية
فَالْعَاصِفَاتِ عَصْفًا
FalAAasifati AAasfa
Swahili
Na zinazo vuma kwa kasi!
|
Ayah 77:3 الأية
وَالنَّاشِرَاتِ نَشْرًا
Wannashirati nashra
Swahili
Na zikaeneza maeneo yote!
|
Ayah 77:4 الأية
فَالْفَارِقَاتِ فَرْقًا
Falfariqati farqa
Swahili
Na zinazo farikisha zikatawanya!
|
Ayah 77:5 الأية
فَالْمُلْقِيَاتِ ذِكْرًا
Falmulqiyati thikra
Swahili
Na zinazo peleka mawaidha!
|
Ayah 77:6 الأية
عُذْرًا أَوْ نُذْرًا
AAuthran aw nuthra
Swahili
Kwa kuudhuru au kuonya,
|
Ayah 77:7 الأية
إِنَّمَا تُوعَدُونَ لَوَاقِعٌ
Innama tooAAadoona lawaqiAA
Swahili
Hakika mnayo ahidiwa bila ya shaka yatakuwa!
|
Ayah 77:8 الأية
فَإِذَا النُّجُومُ طُمِسَتْ
Fa-itha annujoomu tumisat
Swahili
Wakati nyota zitakapo futwa,
|
Ayah 77:9 الأية
وَإِذَا السَّمَاءُ فُرِجَتْ
Wa-itha assamao furijat
Swahili
Na mbingu zitakapo pasuliwa,
|
Ayah 77:10 الأية
وَإِذَا الْجِبَالُ نُسِفَتْ
Wa-itha aljibalu nusifat
Swahili
Na milima itakapo peperushwa,
|
Ayah 77:11 الأية
وَإِذَا الرُّسُلُ أُقِّتَتْ
Wa-itha arrusulu oqqitat
Swahili
Na Mitume watakapo wekewa wakati wao,
|
Ayah 77:12 الأية
لِأَيِّ يَوْمٍ أُجِّلَتْ
Li-ayyi yawmin ojjilat
Swahili
Kwa siku gani hiyo wamewekewa muda huo?
|
Ayah 77:13 الأية
لِيَوْمِ الْفَصْلِ
Liyawmi alfasl
Swahili
Kwa siku ya kupambanua!
|
Ayah 77:14 الأية
وَمَا أَدْرَاكَ مَا يَوْمُ الْفَصْلِ
Wama adraka ma yawmualfasl
Swahili
Na nini kitakacho kujuulisha siku ya kupambanua ni nini?
|
Ayah 77:15 الأية
وَيْلٌ يَوْمَئِذٍ لِّلْمُكَذِّبِينَ
Waylun yawma-ithin lilmukaththibeen
Swahili
Ole wao, siku hiyo hao wanao kanusha!
|
Ayah 77:16 الأية
أَلَمْ نُهْلِكِ الْأَوَّلِينَ
Alam nuhliki al-awwaleen
Swahili
Kwani hatukuwaangamiza walio tangulia?
|
Ayah 77:17 الأية
ثُمَّ نُتْبِعُهُمُ الْآخِرِينَ
Thumma nutbiAAuhumu al-akhireen
Swahili
Kisha tukawafuatilizia walio fuatia?
|
Ayah 77:18 الأية
كَذَٰلِكَ نَفْعَلُ بِالْمُجْرِمِينَ
Kathalika nafAAalu bilmujrimeen
Swahili
Ndio kama hivi tuwatendavyo wakosefu!
|
Ayah 77:19 الأية
وَيْلٌ يَوْمَئِذٍ لِّلْمُكَذِّبِينَ
Waylun yawma-ithin lilmukaththibeen
Swahili
Ole wao siku hiyo hao wanao kanusha!
|
Ayah 77:20 الأية
أَلَمْ نَخْلُقكُّم مِّن مَّاءٍ مَّهِينٍ
Alam nakhluqkum min ma-in maheen
Swahili
Kwani hatukukuumbeni kwa maji ya kudharauliwa?
|
Ayah 77:21 الأية
فَجَعَلْنَاهُ فِي قَرَارٍ مَّكِينٍ
FajaAAalnahu fee qararinmakeen
Swahili
Kisha tukayaweka mahali pa utulivu madhubuti?
|
Ayah 77:22 الأية
إِلَىٰ قَدَرٍ مَّعْلُومٍ
Ila qadarin maAAloom
Swahili
Mpaka muda maalumu?
|
Ayah 77:23 الأية
فَقَدَرْنَا فَنِعْمَ الْقَادِرُونَ
Faqadarna faniAAma alqadiroon
Swahili
Tukakadiria na Sisi ni wabora wa kukadiria.
|
Ayah 77:24 الأية
وَيْلٌ يَوْمَئِذٍ لِّلْمُكَذِّبِينَ
Waylun yawma-ithin lilmukaththibeen
Swahili
Ole wao siku hiyo hao wanao kanusha!
|
Ayah 77:25 الأية
أَلَمْ نَجْعَلِ الْأَرْضَ كِفَاتًا
Alam najAAali al-arda kifata
Swahili
Kwani hatukuifanya ardhi yenye kukusanya
|
Ayah 77:26 الأية
أَحْيَاءً وَأَمْوَاتًا
Ahyaan waamwata
Swahili
Walio hai na maiti?
|
Ayah 77:27 الأية
وَجَعَلْنَا فِيهَا رَوَاسِيَ شَامِخَاتٍ وَأَسْقَيْنَاكُم مَّاءً فُرَاتًا
WajaAAalna feeha rawasiyashamikhatin waasqaynakum maan furata
Swahili
Na ndani yake tukaweka milima mirefu yenye kuthibiti, na tunakunywesheni maji
matamu?
|
Ayah 77:28 الأية
وَيْلٌ يَوْمَئِذٍ لِّلْمُكَذِّبِينَ
Waylun yawma-ithin lilmukaththibeen
Swahili
Ole wao siku hiyo hao wanao kanusha!
|
Ayah 77:29 الأية
انطَلِقُوا إِلَىٰ مَا كُنتُم بِهِ تُكَذِّبُونَ
Intaliqoo ila ma kuntumbihi tukaththiboon
Swahili
Nendeni kwenye adhabu mliyo kuwa mkiikanusha!
|
Ayah 77:30 الأية
انطَلِقُوا إِلَىٰ ظِلٍّ ذِي ثَلَاثِ شُعَبٍ
Intaliqoo ila thillinthee thalathi shuAAab
Swahili
Nendeni kwenye kivuli chenye mapande matatu!
|
Ayah 77:31 الأية
لَّا ظَلِيلٍ وَلَا يُغْنِي مِنَ اللَّهَبِ
La thaleelin walayughnee mina allahab
Swahili
Hakikingi moto, wala hakiwaepushi na mwako.
|
Ayah 77:32 الأية
إِنَّهَا تَرْمِي بِشَرَرٍ كَالْقَصْرِ
Innaha tarmee bishararin kalqasr
Swahili
Hakika Moto huo unatoa macheche kama majumba!
|
Ayah 77:33 الأية
كَأَنَّهُ جِمَالَتٌ صُفْرٌ
Kaannahu jimalatun sufr
Swahili
Kama kwamba ni ngamia wa rangi ya manjano!
|
Ayah 77:34 الأية
وَيْلٌ يَوْمَئِذٍ لِّلْمُكَذِّبِينَ
Waylun yawma-ithin lilmukaththibeen
Swahili
Ole wao siku hiyo hao wanao kanusha!
|
Ayah 77:35 الأية
هَٰذَا يَوْمُ لَا يَنطِقُونَ
Hatha yawmu la yantiqoon
Swahili
Hii ni siku ambayo hawatatamka kitu,
|
Ayah 77:36 الأية
وَلَا يُؤْذَنُ لَهُمْ فَيَعْتَذِرُونَ
Wala yu/thanu lahum fayaAAtathiroon
Swahili
Wala hawataruhusiwa kutoa udhuru.
|
Ayah 77:37 الأية
وَيْلٌ يَوْمَئِذٍ لِّلْمُكَذِّبِينَ
Waylun yawma-ithin lilmukaththibeen
Swahili
Ole wao siku hiyo hao walio kanusha!
|
Ayah 77:38 الأية
هَٰذَا يَوْمُ الْفَصْلِ ۖ جَمَعْنَاكُمْ وَالْأَوَّلِينَ
Hatha yawmu alfasli jamaAAnakumwal-awwaleen
Swahili
Hii ndiyo siku ya kupambanua. Tumekukusanyeni nyinyi na walio tangulia.
|
Ayah 77:39 الأية
فَإِن كَانَ لَكُمْ كَيْدٌ فَكِيدُونِ
Fa-in kana lakum kaydun fakeedoon
Swahili
Ikiwa mnayo hila, nifanyieni hila Mimi!
|
Ayah 77:40 الأية
وَيْلٌ يَوْمَئِذٍ لِّلْمُكَذِّبِينَ
Waylun yawma-ithin lilmukaththibeen
Swahili
Ole wao siku hiyo hao walio kanusha!
|
Ayah 77:41 الأية
إِنَّ الْمُتَّقِينَ فِي ظِلَالٍ وَعُيُونٍ
Inna almuttaqeena fee thilalinwaAAuyoon
Swahili
Hakika wachamngu watakuwa katika vivuli na chemchem,
|
Ayah 77:42 الأية
وَفَوَاكِهَ مِمَّا يَشْتَهُونَ
Wafawakiha mimma yashtahoon
Swahili
Na matunda wanayo yapenda,
|
Ayah 77:43 الأية
كُلُوا وَاشْرَبُوا هَنِيئًا بِمَا كُنتُمْ تَعْمَلُونَ
Kuloo washraboo hanee-an bimakuntum taAAmaloon
Swahili
Kuleni na kunyweni kwa furaha kwa yale mliyo kuwa mkiyatenda.
|
Ayah 77:44 الأية
إِنَّا كَذَٰلِكَ نَجْزِي الْمُحْسِنِينَ
Inna kathalika najzee almuhsineen
Swahili
Hakika ndio kama hivyo tunavyo walipa watendao mema.
|
Ayah 77:45 الأية
وَيْلٌ يَوْمَئِذٍ لِّلْمُكَذِّبِينَ
Waylun yawma-ithin lilmukaththibeen
Swahili
Ole wao siku hiyo hao wanao kanusha!
|
Ayah 77:46 الأية
كُلُوا وَتَمَتَّعُوا قَلِيلًا إِنَّكُم مُّجْرِمُونَ
Kuloo watamattaAAoo qaleelan innakummujrimoon
Swahili
Kuleni na mjifurahishe kidogo tu. Hakika nyinyi ni wakosefu!
|
Ayah 77:47 الأية
وَيْلٌ يَوْمَئِذٍ لِّلْمُكَذِّبِينَ
Waylun yawma-ithin lilmukaththibeen
Swahili
Ole wao siku hiyo hao wanao kanusha!
|
Ayah 77:48 الأية
وَإِذَا قِيلَ لَهُمُ ارْكَعُوا لَا يَرْكَعُونَ
Wa-itha qeela lahumu irkaAAoo layarkaAAoon
Swahili
Na wakiambiwa: Inameni! Hawainami.
|
Ayah 77:49 الأية
وَيْلٌ يَوْمَئِذٍ لِّلْمُكَذِّبِينَ
Waylun yawma-ithin lilmukaththibeen
Swahili
Ole wao siku hiyo hao wanao kanusha!
|
Ayah 77:50 الأية
فَبِأَيِّ حَدِيثٍ بَعْدَهُ يُؤْمِنُونَ
Fabi-ayyi hadeethin baAAdahuyu/minoon
Swahili
Basi maneno gani baada ya haya watayaamini?
|
|