First Ayah 1 الأية الأوليبِسْم ِ اللَّهِ الرَّحْمَٰنِ الرَّحِيمِ
يَسْأَلُونَكَ عَنِ الْأَنفَالِ ۖ قُلِ الْأَنفَالُ لِلَّهِ وَالرَّسُولِ ۖ
فَاتَّقُوا اللَّهَ وَأَصْلِحُوا ذَاتَ بَيْنِكُمْ ۖ وَأَطِيعُوا اللَّهَ
وَرَسُولَهُ إِن كُنتُم مُّؤْمِنِينَ
Yas-aloonaka AAani al-anfali qulial-anfalu lillahi warrasooli fattaqooAllaha
waaslihoo thata baynikum waateeAAooAllaha warasoolahu in kuntum mu/mineen
Swahili
Wanakuuliza juu ya Ngawira. Sema: Ngawira ni ya Mwenyezi Mungu na Mtume. Basi
mcheni Mwenyezi Mungu na suluhisheni mambo baina yenu, na mt'iini Mwenyezi Mungu
na Mtume wake ikiwa nyinyi ni Waumini.
|
Ayah 8:2 الأية
إِنَّمَا الْمُؤْمِنُونَ الَّذِينَ إِذَا ذُكِرَ اللَّهُ وَجِلَتْ قُلُوبُهُمْ
وَإِذَا تُلِيَتْ عَلَيْهِمْ آيَاتُهُ زَادَتْهُمْ إِيمَانًا وَعَلَىٰ رَبِّهِمْ
يَتَوَكَّلُونَ
Innama almu/minoona allatheenaitha thukira Allahu wajilat quloobuhum
wa-ithatuliyat AAalayhim ayatuhu zadat-hum eemananwaAAala rabbihim yatawakkaloon
Swahili
Hakika Waumini ni wale ambao anapo tajwa Mwenyezi Mungu nyoyo zao hujaa khofu,
na wanapo somewa Aya zake huwazidisha Imani, na wakamtegemea Mola wao Mlezi.
|
Ayah 8:3 الأية
الَّذِينَ يُقِيمُونَ الصَّلَاةَ وَمِمَّا رَزَقْنَاهُمْ يُنفِقُونَ
Allatheena yuqeemoona assalatawamimma razaqnahum yunfiqoon
Swahili
Hao ambao wanashika Sala na wanatoa katika yale tunayo waruzuku.
|
Ayah 8:4 الأية
أُولَٰئِكَ هُمُ الْمُؤْمِنُونَ حَقًّا ۚ لَّهُمْ دَرَجَاتٌ عِندَ رَبِّهِمْ
وَمَغْفِرَةٌ وَرِزْقٌ كَرِيمٌ
Ola-ika humu almu/minoona haqqanlahum darajatun AAinda rabbihim wamaghfiratun
warizqunkareem
Swahili
Hao kweli ndio Waumini. Wao wana vyeo, na maghfira, na riziki bora, kwa Mola wao
Mlezi.
|
Ayah 8:5 الأية
كَمَا أَخْرَجَكَ رَبُّكَ مِن بَيْتِكَ بِالْحَقِّ وَإِنَّ فَرِيقًا مِّنَ
الْمُؤْمِنِينَ لَكَارِهُونَ
Kama akhrajaka rabbuka min baytika bilhaqqiwa-inna fareeqan mina almu/mineena
lakarihoon
Swahili
Kama Mola wako Mlezi alivyo kutoa nyumbani kwako kwa Haki, na hakika kundi moja
la Waumini linachukia.
|
Ayah 8:6 الأية
يُجَادِلُونَكَ فِي الْحَقِّ بَعْدَمَا تَبَيَّنَ كَأَنَّمَا يُسَاقُونَ إِلَى
الْمَوْتِ وَهُمْ يَنظُرُونَ
Yujadiloonaka fee alhaqqibaAAda ma tabayyana kaannama yusaqoona ilaalmawti wahum
yanthuroon
Swahili
Wanajadiliana nawe kwa jambo la Haki baada ya kwisha bainika, kama kwamba
wanasukumwa kwenye mauti nao wanaona.
|
Ayah 8:7 الأية
وَإِذْ يَعِدُكُمُ اللَّهُ إِحْدَى الطَّائِفَتَيْنِ أَنَّهَا لَكُمْ وَتَوَدُّونَ
أَنَّ غَيْرَ ذَاتِ الشَّوْكَةِ تَكُونُ لَكُمْ وَيُرِيدُ اللَّهُ أَن يُحِقَّ
الْحَقَّ بِكَلِمَاتِهِ وَيَقْطَعَ دَابِرَ الْكَافِرِينَ
Wa-ith yaAAidukumu Allahu ihdaatta-ifatayni annaha lakum watawaddoonaanna ghayra
thati ashshawkati takoonu lakumwayureedu Allahu an yuhiqqa alhaqqa
bikalimatihiwayaqtaAAa dabira alkafireen
Swahili
Na Mwenyezi Mungu alipo kuahidini kuwa moja katika makundi mawili ni lenu. Nanyi
mkapenda lisilo na nguvu ndio liwe lenu; na Mwenyezi Mungu anapenda ahakikishe
Haki kwa maneno yake, na aikate mizizi ya makafiri.
|
Ayah 8:8 الأية
لِيُحِقَّ الْحَقَّ وَيُبْطِلَ الْبَاطِلَ وَلَوْ كَرِهَ الْمُجْرِمُونَ
Liyuhiqqa alhaqqa wayubtilaalbatila walaw kariha almujrimoon
Swahili
Ili ahakikishe Haki na auvunje upotovu na wangachukia wakosefu.
|
Ayah 8:9 الأية
إِذْ تَسْتَغِيثُونَ رَبَّكُمْ فَاسْتَجَابَ لَكُمْ أَنِّي مُمِدُّكُم بِأَلْفٍ
مِّنَ الْمَلَائِكَةِ مُرْدِفِينَ
Ith tastagheethoona rabbakum fastajabalakum annee mumiddukum bi-alfin mina
almala-ikatimurdifeen
Swahili
Mlipo kuwa mkimuomba msaada Mola wenu Mlezi, naye akakujibuni kuwa: Kwa yakini
Mimi nitakusaidieni kwa Malaika elfu wanao fuatana mfululizo.
|
Ayah 8:10 الأية
وَمَا جَعَلَهُ اللَّهُ إِلَّا بُشْرَىٰ وَلِتَطْمَئِنَّ بِهِ قُلُوبُكُمْ ۚ وَمَا
النَّصْرُ إِلَّا مِنْ عِندِ اللَّهِ ۚ إِنَّ اللَّهَ عَزِيزٌ حَكِيمٌ
Wama jaAAalahu Allahu illabushra walitatma-inna bihi quloobukum wama annasruilla
min AAindi Allahi inna Allaha AAazeezunhakeem
Swahili
Na Mwenyezi Mungu hakufanya haya ila kuwa ni bishara na ili nyoyo zenu zituwe.
Na haupatikani ushindi ila kutoka kwa Mwenyezi Mungu. Hakika Mwenyezi Mungu ni
Mwenye nguvu, na Mwenye hikima.
|
Ayah 8:11 الأية
إِذْ يُغَشِّيكُمُ النُّعَاسَ أَمَنَةً مِّنْهُ وَيُنَزِّلُ عَلَيْكُم مِّنَ
السَّمَاءِ مَاءً لِّيُطَهِّرَكُم بِهِ وَيُذْهِبَ عَنكُمْ رِجْزَ الشَّيْطَانِ
وَلِيَرْبِطَ عَلَىٰ قُلُوبِكُمْ وَيُثَبِّتَ بِهِ الْأَقْدَامَ
Ith yughashsheekumu annuAAasaamanatan minhu wayunazzilu AAalaykum mina
assama-imaan liyutahhirakum bihi wayuthhiba AAankumrijza ashshaytani waliyarbita
AAalaquloobikum wayuthabbita bihi al-aqdam
Swahili
Alipo kufunikeni kwa usingizi uwe ni uaminisho kutoka kwake, na akakuteremshieni
maji kutoka mbinguni ili kukusafisheni kwayo na kukuondoleeni uchafu wa
Shet'ani, na kuzipa nguvu nyoyo zenu, na kuitia imara miguu yenu.
|
Ayah 8:12 الأية
إِذْ يُوحِي رَبُّكَ إِلَى الْمَلَائِكَةِ أَنِّي مَعَكُمْ فَثَبِّتُوا الَّذِينَ
آمَنُوا ۚ سَأُلْقِي فِي قُلُوبِ الَّذِينَ كَفَرُوا الرُّعْبَ فَاضْرِبُوا فَوْقَ
الْأَعْنَاقِ وَاضْرِبُوا مِنْهُمْ كُلَّ بَنَانٍ
Ith yoohee rabbuka ilaalmala-ikati annee maAAakum fathabbitoo allatheena
amanoosaolqee fee quloobi allatheena kafaroo arruAAba fadriboofawqa al-aAAnaqi
wadriboo minhum kulla banan
Swahili
Mola wako Mlezi alipo wafunulia Malaika: Hakika Mimi ni pamoja nanyi, basi
watieni nguvu walio amini. Nitatia woga katika nyoyo za walio kufuru. Basi
wapigeni juu ya shingo na wapigeni kwenye kila ncha za vidole.
|
Ayah 8:13 الأية
ذَٰلِكَ بِأَنَّهُمْ شَاقُّوا اللَّهَ وَرَسُولَهُ ۚ وَمَن يُشَاقِقِ اللَّهَ
وَرَسُولَهُ فَإِنَّ اللَّهَ شَدِيدُ الْعِقَابِ
Thalika bi-annahum shaqqoo Allahawarasoolahu waman yushaqiqi Allaha
warasoolahufa-inna Allaha shadeedu alAAiqab
Swahili
Hayo ni kwa sababu wamemuasi Mwenyezi Mungu na Mtume wake. Na mwenye kumuasi
Mwenyezi Mungu na Mtume wake basi Mwenyezi Mungu ni Mkali wa kuadhibu.
|
Ayah 8:14 الأية
ذَٰلِكُمْ فَذُوقُوهُ وَأَنَّ لِلْكَافِرِينَ عَذَابَ النَّارِ
Thalikum fathooqoohu waannalilkafireena AAathaba annar
Swahili
Ndio hivyo! Basi ionjeni! Na bila ya shaka makafiri wana adhabu ya Moto.
|
Ayah 8:15 الأية
يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا إِذَا لَقِيتُمُ الَّذِينَ كَفَرُوا زَحْفًا فَلَا
تُوَلُّوهُمُ الْأَدْبَارَ
Ya ayyuha allatheena amanooitha laqeetumu allatheena kafaroo zahfan
falatuwalloohumu al-adbar
Swahili
Enyi Mlio amini! Mkikutana na walio kufuru vitani msiwageuzie mgongo.
|
Ayah 8:16 الأية
وَمَن يُوَلِّهِمْ يَوْمَئِذٍ دُبُرَهُ إِلَّا مُتَحَرِّفًا لِّقِتَالٍ أَوْ
مُتَحَيِّزًا إِلَىٰ فِئَةٍ فَقَدْ بَاءَ بِغَضَبٍ مِّنَ اللَّهِ وَمَأْوَاهُ
جَهَنَّمُ ۖ وَبِئْسَ الْمَصِيرُ
Waman yuwallihim yawma-ithin duburahuilla mutaharrifan liqitalin aw
mutahayyizanila fi-atin faqad baa bighadabin mina Allahiwama/wahu jahannamu
wabi/sa almaseer
Swahili
Na atakaye wageuzia mgongo wake siku hiyo - isipo kuwa kwa mbinu za vita au
kuungana na kikosi - basi atakuwa amestahiki ghadhabu ya Mwenyezi Mungu. Na
pahala pake ni Jahannamu, na huo ni mwisho muovu.
|
Ayah 8:17 الأية
فَلَمْ تَقْتُلُوهُمْ وَلَٰكِنَّ اللَّهَ قَتَلَهُمْ ۚ وَمَا رَمَيْتَ إِذْ
رَمَيْتَ وَلَٰكِنَّ اللَّهَ رَمَىٰ ۚ وَلِيُبْلِيَ الْمُؤْمِنِينَ مِنْهُ بَلَاءً
حَسَنًا ۚ إِنَّ اللَّهَ سَمِيعٌ عَلِيمٌ
Falam taqtuloohum walakinna Allahaqatalahum wama ramayta ith ramayta
walakinnaAllaha rama waliyubliya almu/mineena minhu balaanhasanan inna Allaha
sameeAAun AAaleem
Swahili
Hamkuwauwa nyinyi lakini Mwenyezi Mungu ndiye aliye wauwa. Na wewe hukutupa,
walakini Mwenyezi Mungu ndiye aliye tupa, ili awajaribu Waumini majaribio mema
yatokayo kwake. Hakika Mwenyezi Mungu ndiye Msikizi na Mjuzi.
|
Ayah 8:18 الأية
ذَٰلِكُمْ وَأَنَّ اللَّهَ مُوهِنُ كَيْدِ الْكَافِرِينَ
Thalikum waanna Allaha moohinukaydi alkafireen
Swahili
Ndio hivyo! Na hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kudhoofisha vitimbi vya makafiri.
|
Ayah 8:19 الأية
إِن تَسْتَفْتِحُوا فَقَدْ جَاءَكُمُ الْفَتْحُ ۖ وَإِن تَنتَهُوا فَهُوَ خَيْرٌ
لَّكُمْ ۖ وَإِن تَعُودُوا نَعُدْ وَلَن تُغْنِيَ عَنكُمْ فِئَتُكُمْ شَيْئًا
وَلَوْ كَثُرَتْ وَأَنَّ اللَّهَ مَعَ الْمُؤْمِنِينَ
In tastaftihoo faqad jaakumualfathu wa-in tantahoo fahuwa khayrun lakum
wa-intaAAoodoo naAAud walan tughniya AAankum fi-atukum shay-an walawkathurat
waanna Allaha maAAa almu/mineen
Swahili
Kama mnataka hukumu basi hukumu imekwisha kujieni. Na mkiacha itakuwa ndio kheri
kwenu. Na mkirejea Sisi pia tutarejea. Na jeshi lenu halitakufaeni kitu, japo
likiwa kubwa. Kwani hakika Mwenyezi yu pamoja na Waumini.
|
Ayah 8:20 الأية
يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا أَطِيعُوا اللَّهَ وَرَسُولَهُ وَلَا تَوَلَّوْا
عَنْهُ وَأَنتُمْ تَسْمَعُونَ
Ya ayyuha allatheena amanooateeAAoo Allaha warasoolahu wala tawallawAAanhu
waantum tasmaAAoon
Swahili
Enyi mlio amini! Mt'iini Mwenyezi Mungu na Mtume wake, wala msijiepushe naye,
nanyi mnasikia.
|
Ayah 8:21 الأية
وَلَا تَكُونُوا كَالَّذِينَ قَالُوا سَمِعْنَا وَهُمْ لَا يَسْمَعُونَ
Wala takoonoo kallatheenaqaloo samiAAna wahum la yasmaAAoon
Swahili
Wala msiwe kama wale wanao sema: Tumesikia, na kumbe hawasikii.
|
Ayah 8:22 الأية
إِنَّ شَرَّ الدَّوَابِّ عِندَ اللَّهِ الصُّمُّ الْبُكْمُ الَّذِينَ لَا
يَعْقِلُونَ
Inna sharra addawabbi AAindaAllahi assummu albukmu allatheena layaAAqiloon
Swahili
Hakika vinyama viovu mbele ya Mwenyezi Mungu ni vile viziwi na bubu visio tumia
akili zao.
|
Ayah 8:23 الأية
وَلَوْ عَلِمَ اللَّهُ فِيهِمْ خَيْرًا لَّأَسْمَعَهُمْ ۖ وَلَوْ أَسْمَعَهُمْ
لَتَوَلَّوا وَّهُم مُّعْرِضُونَ
Walaw AAalima Allahu feehim khayranlaasmaAAahum walaw asmaAAahum latawallaw
wahum muAAridoon
Swahili
Na Mwenyezi Mungu angeli jua wema wowote kwao ange wasikilizisha, na lau ange
wasikilizisha wangeli geuka wakapuuza.
|
Ayah 8:24 الأية
يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا اسْتَجِيبُوا لِلَّهِ وَلِلرَّسُولِ إِذَا
دَعَاكُمْ لِمَا يُحْيِيكُمْ ۖ وَاعْلَمُوا أَنَّ اللَّهَ يَحُولُ بَيْنَ الْمَرْءِ
وَقَلْبِهِ وَأَنَّهُ إِلَيْهِ تُحْشَرُونَ
Yaayyuha allatheena amanooistajeeboo lillahi walirrasooli itha daAAakumlima
yuhyeekum waAAlamoo anna Allahayahoolu bayna almar-i waqalbihi waannahu ilayhi
tuhsharoon
Swahili
Enyi mlio amini! Muitikieni Mwenyezi Mungu na Mtume anapo kuitieni jambo la
kukupeni uzima wa milele. Na jueni kuwa Mwenyezi Mungu huingia kati ya mtu na
moyo wake, na kwamba hakika kwake Yeye tu mtakusanywa.
|
Ayah 8:25 الأية
وَاتَّقُوا فِتْنَةً لَّا تُصِيبَنَّ الَّذِينَ ظَلَمُوا مِنكُمْ خَاصَّةً ۖ
وَاعْلَمُوا أَنَّ اللَّهَ شَدِيدُ الْعِقَابِ
Wattaqoo fitnatan la tuseebannaallatheena thalamoo minkum khassatanwaAAlamoo
anna Allaha shadeedu alAAiqab
Swahili
Na jikingeni na Fitna ambayo haitowasibu walio dhulumu peke yao kati yenu. Na
jueni kuwa Mwenyezi Mungu ni Mkali wa kuadhibu.
|
Ayah 8:26 الأية
وَاذْكُرُوا إِذْ أَنتُمْ قَلِيلٌ مُّسْتَضْعَفُونَ فِي الْأَرْضِ تَخَافُونَ أَن
يَتَخَطَّفَكُمُ النَّاسُ فَآوَاكُمْ وَأَيَّدَكُم بِنَصْرِهِ وَرَزَقَكُم مِّنَ
الطَّيِّبَاتِ لَعَلَّكُمْ تَشْكُرُونَ
Wathkuroo ith antumqaleelun mustadAAafoona fee al-ardi takhafoonaan
yatakhattafakumu annasu faawakumwaayyadakum binasrihi warazaqakum mina
attayyibatilaAAallakum tashkuroon
Swahili
Na kumbukeni mlipo kuwa wachache, mkionekana wanyonge katika nchi, mnaogopa watu
wasikunyakueni, naye akakupeni pahala pazuri pa kukaa, na akakutieni nguvu kwa
nusura yake, na akakupeni riziki nzuri ili mpate kushukuru.
|
Ayah 8:27 الأية
يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا لَا تَخُونُوا اللَّهَ وَالرَّسُولَ وَتَخُونُوا
أَمَانَاتِكُمْ وَأَنتُمْ تَعْلَمُونَ
Ya ayyuha allatheena amanoola takhoonoo Allaha warrasoola watakhoonooamanatikum
waantum taAAlamoon
Swahili
Enyi mlio amini! Msimfanyie khiana Mwenyezi Mungu na Mtume, wala msikhini amana
zenu, nanyi mnajua.
|
Ayah 8:28 الأية
وَاعْلَمُوا أَنَّمَا أَمْوَالُكُمْ وَأَوْلَادُكُمْ فِتْنَةٌ وَأَنَّ اللَّهَ
عِندَهُ أَجْرٌ عَظِيمٌ
WaAAlamoo annama amwalukumwaawladukum fitnatun waanna Allaha AAindahu
ajrunAAatheem
Swahili
Na jueni ya kwamba mali zenu na wana wenu ni Fitna (mtihani), na kwamba kwa
Mwenyezi Mungu upo ujira mkubwa.
|
Ayah 8:29 الأية
يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا إِن تَتَّقُوا اللَّهَ يَجْعَل لَّكُمْ فُرْقَانًا
وَيُكَفِّرْ عَنكُمْ سَيِّئَاتِكُمْ وَيَغْفِرْ لَكُمْ ۗ وَاللَّهُ ذُو الْفَضْلِ
الْعَظِيمِ
Ya ayyuha allatheena amanooin tattaqoo Allaha yajAAal lakum furqananwayukaffir
AAankum sayyi-atikum wayaghfir lakum wallahuthoo alfadli alAAatheem
Swahili
Enyi mlio amini! Mkimcha Mwenyezi Mungu atakupeni kipambanuo, na atakufutieni
makosa, na atakusameheni, na Mwenyezi Mungu ni Mwenye fadhila kubwa.
|
Ayah 8:30 الأية
وَإِذْ يَمْكُرُ بِكَ الَّذِينَ كَفَرُوا لِيُثْبِتُوكَ أَوْ يَقْتُلُوكَ أَوْ
يُخْرِجُوكَ ۚ وَيَمْكُرُونَ وَيَمْكُرُ اللَّهُ ۖ وَاللَّهُ خَيْرُ الْمَاكِرِينَ
Wa-ith yamkuru bika allatheenakafaroo liyuthbitooka aw yaqtulooka aw yukhrijooka
wayamkuroonawayamkuru Allahu wallahu khayru almakireen
Swahili
Na walipo kupangia mpango walio kufuru wakufunge, au wakuuwe, au wakutoe.
Wakapanga mipango yao, na Mwenyezi Mungu akapanga yake. Na Mwenyezi Mungu ndiye
mbora wa mipango.
|
Ayah 8:31 الأية
وَإِذَا تُتْلَىٰ عَلَيْهِمْ آيَاتُنَا قَالُوا قَدْ سَمِعْنَا لَوْ نَشَاءُ
لَقُلْنَا مِثْلَ هَٰذَا ۙ إِنْ هَٰذَا إِلَّا أَسَاطِيرُ الْأَوَّلِينَ
Wa-itha tutla AAalayhim ayatunaqaloo qad samiAAna law nashao laqulnamithla hatha
in hatha illa asateerual-awwaleen
Swahili
Na wanapo somewa Aya zetu, wao husema: Tumesikia. Na lau tungeli penda tunge
sema kama haya. Haya si chochote ila hadithi za watu wa kale tu.
|
Ayah 8:32 الأية
وَإِذْ قَالُوا اللَّهُمَّ إِن كَانَ هَٰذَا هُوَ الْحَقَّ مِنْ عِندِكَ فَأَمْطِرْ
عَلَيْنَا حِجَارَةً مِّنَ السَّمَاءِ أَوِ ائْتِنَا بِعَذَابٍ أَلِيمٍ
Wa-ith qaloo allahummain kana hatha huwa alhaqqa min AAindika faamtirAAalayna
hijaratan mina assama-iawi i/tina biAAathabin aleem
Swahili
Na walipo sema: Ee Mwenyezi Mungu! Ikiwa haya ni kweli itokayo kwako basi
tunyeshee mawe kutoka mbinguni, au tuletee adhabu yoyote iliyo chungu.
|
Ayah 8:33 الأية
وَمَا كَانَ اللَّهُ لِيُعَذِّبَهُمْ وَأَنتَ فِيهِمْ ۚ وَمَا كَانَ اللَّهُ
مُعَذِّبَهُمْ وَهُمْ يَسْتَغْفِرُونَ
Wama kana AllahuliyuAAaththibahum waanta feehim wama kanaAllahu muAAaththibahum
wahum yastaghfiroon
Swahili
Na Mwenyezi Mungu hakuwa wa kuwaadhibu nawe umo pamoja nao, wala Mwenyezi Mungu
si wa kuwaadhibu na hali ya kuwa wanaomba msamaha.
|
Ayah 8:34 الأية
وَمَا لَهُمْ أَلَّا يُعَذِّبَهُمُ اللَّهُ وَهُمْ يَصُدُّونَ عَنِ الْمَسْجِدِ
الْحَرَامِ وَمَا كَانُوا أَوْلِيَاءَهُ ۚ إِنْ أَوْلِيَاؤُهُ إِلَّا الْمُتَّقُونَ
وَلَٰكِنَّ أَكْثَرَهُمْ لَا يَعْلَمُونَ
Wama lahum alla yuAAaththibahumuAllahu wahum yasuddoona AAani almasjidi
alharamiwama kanoo awliyaahu in awliyaohu illaalmuttaqoona walakinna aktharahum
la yaAAlamoon
Swahili
Lakini wana jambo gani hata Mwenyezi Mungu asiwaadhibu, na hali ya kuwa
wanawazuilia watu Msikiti Mtakatifu? Wala wao hawakuwa ndio walinzi wake, bali
walinzi wake hawakuwa ila wacha-Mngu tu. Lakini wengi katika wao hawajui.
|
Ayah 8:35 الأية
وَمَا كَانَ صَلَاتُهُمْ عِندَ الْبَيْتِ إِلَّا مُكَاءً وَتَصْدِيَةً ۚ فَذُوقُوا
الْعَذَابَ بِمَا كُنتُمْ تَكْفُرُونَ
Wama kana salatuhumAAinda albayti illa mukaan watasdiyatan fathooqooalAAathaba
bima kuntum takfuroon
Swahili
Na haikuwa ibada yao kwenye hiyo Nyumba (Al Kaaba) ila ni kupiga miunzi na
makofi. Basi onjeni adhabu kwa vile mlivyo kuwa mkikufuru.
|
Ayah 8:36 الأية
إِنَّ الَّذِينَ كَفَرُوا يُنفِقُونَ أَمْوَالَهُمْ لِيَصُدُّوا عَن سَبِيلِ
اللَّهِ ۚ فَسَيُنفِقُونَهَا ثُمَّ تَكُونُ عَلَيْهِمْ حَسْرَةً ثُمَّ يُغْلَبُونَ
ۗ وَالَّذِينَ كَفَرُوا إِلَىٰ جَهَنَّمَ يُحْشَرُونَ
Inna allatheena kafaroo yunfiqoonaamwalahum liyasuddoo AAan sabeeli
Allahifasayunfiqoonaha thumma takoonu AAalayhim hasratanthumma yughlaboona
wallatheena kafaroo ilajahannama yuhsharoon
Swahili
Hakika wale walio kufuru hutoa mali yao ili kuzuilia Njia ya Mwenyezi Mungu.
Basi watayatoa, kisha yatakuwa juu yao majuto, na kisha watashindwa. Na wale
walio kufuru watakusanywa kwenye Jahannam.
|
Ayah 8:37 الأية
لِيَمِيزَ اللَّهُ الْخَبِيثَ مِنَ الطَّيِّبِ وَيَجْعَلَ الْخَبِيثَ بَعْضَهُ
عَلَىٰ بَعْضٍ فَيَرْكُمَهُ جَمِيعًا فَيَجْعَلَهُ فِي جَهَنَّمَ ۚ أُولَٰئِكَ هُمُ
الْخَاسِرُونَ
Liyameeza Allahu alkhabeetha mina attayyibiwayajAAala alkhabeetha baAAdahu AAala
baAAdinfayarkumahu jameeAAan fayajAAalahu fee jahannama ola-ikahumu alkhasiroon
Swahili
Ili Mwenyezi Mungu apate kuwa pambanua walio waovu na walio wema, na kuwaweka
waovu juu ya waovu wengine, na kuwarundika wote pamoja, na kuwatupa katika
Jahannam. Hao ndio walio khasirika.
|
Ayah 8:38 الأية
قُل لِّلَّذِينَ كَفَرُوا إِن يَنتَهُوا يُغْفَرْ لَهُم مَّا قَدْ سَلَفَ وَإِن
يَعُودُوا فَقَدْ مَضَتْ سُنَّتُ الْأَوَّلِينَ
Qul lillatheena kafaroo in yantahooyughfar lahum ma qad salafa wa-in yaAAoodoo
faqad madatsunnatu al-awwaleen
Swahili
Waambie wale walio kufuru: Wakikoma watasamehewa yaliyo kwisha pita. Na
wakiyarudia basi imekwisha pita mifano ya wa zamani.
|
Ayah 8:39 الأية
وَقَاتِلُوهُمْ حَتَّىٰ لَا تَكُونَ فِتْنَةٌ وَيَكُونَ الدِّينُ كُلُّهُ لِلَّهِ ۚ
فَإِنِ انتَهَوْا فَإِنَّ اللَّهَ بِمَا يَعْمَلُونَ بَصِيرٌ
Waqatiloohum hatta latakoona fitnatun wayakoona addeenu kulluhu lillahifa-ini
intahaw fa-inna Allaha bima yaAAmaloona baseer
Swahili
Na piganeni nao mpaka isiwepo fitna na mateso, na Dini yote iwe kwa ajili ya
Mwenyezi Mungu. Lakini wakiacha, basi hakika Mwenyezi Mungu anayaona wanayo
yatenda.
|
Ayah 8:40 الأية
وَإِن تَوَلَّوْا فَاعْلَمُوا أَنَّ اللَّهَ مَوْلَاكُمْ ۚ نِعْمَ الْمَوْلَىٰ
وَنِعْمَ النَّصِيرُ
Wa-in tawallaw faAAlamoo anna Allahamawlakum niAAma almawla waniAAma annaseer
Swahili
Na kama wakigeuka basi jueni kwamba Mwenyezi Mungu ndiye Mola wenu, ni Mola
Mwema na Msaidizi Mwema.
|
Ayah 8:41 الأية
وَاعْلَمُوا أَنَّمَا غَنِمْتُم مِّن شَيْءٍ فَأَنَّ لِلَّهِ خُمُسَهُ
وَلِلرَّسُولِ وَلِذِي الْقُرْبَىٰ وَالْيَتَامَىٰ وَالْمَسَاكِينِ وَابْنِ
السَّبِيلِ إِن كُنتُمْ آمَنتُم بِاللَّهِ وَمَا أَنزَلْنَا عَلَىٰ عَبْدِنَا
يَوْمَ الْفُرْقَانِ يَوْمَ الْتَقَى الْجَمْعَانِ ۗ وَاللَّهُ عَلَىٰ كُلِّ شَيْءٍ
قَدِيرٌ
WaAAlamoo annama ghanimtummin shay-in faanna lillahi khumusahu
walirrasooliwalithee alqurba walyatama walmasakeeniwabni assabeeli in kuntum
amantum billahiwama anzalna AAala AAabdina yawmaalfurqani yawma iltaqa
aljamAAani wallahuAAala kulli shay-in qadeer
Swahili
NA JUENI ya kwamba ngawira mnayo ipata, basi khums (sehemu moja katika tano) ni
kwa ajili ya Mwenyezi Mungu na Mtume, na jamaa, na mayatima, na masikini, na
wasafiri, ikiwa nyinyi mmemuamini Mwenyezi Mungu na tuliyo yateremsha kwa mja
wetu siku ya kipambanuo, siku yalipo kutana majeshi mawili. Na Mwenyezi Mungu ni
Muweza wa kila kitu.
|
Ayah 8:42 الأية
إِذْ أَنتُم بِالْعُدْوَةِ الدُّنْيَا وَهُم بِالْعُدْوَةِ الْقُصْوَىٰ وَالرَّكْبُ
أَسْفَلَ مِنكُمْ ۚ وَلَوْ تَوَاعَدتُّمْ لَاخْتَلَفْتُمْ فِي الْمِيعَادِ ۙ
وَلَٰكِن لِّيَقْضِيَ اللَّهُ أَمْرًا كَانَ مَفْعُولًا لِّيَهْلِكَ مَنْ هَلَكَ
عَن بَيِّنَةٍ وَيَحْيَىٰ مَنْ حَيَّ عَن بَيِّنَةٍ ۗ وَإِنَّ اللَّهَ لَسَمِيعٌ
عَلِيمٌ
Ith antum bilAAudwati addunyawahum bilAAudwati alquswa warrakbuasfala minkum
walaw tawaAAadtum lakhtalaftum feealmeeAAadi walakin liyaqdiya Allahuamran kana
mafAAoolan liyahlika man halaka AAan bayyinatinwayahya man hayya AAan bayyinatin
wa-innaAllaha lasameeAAun AAaleem
Swahili
Kumbukeni pale mlipo kuwa nyinyi kwenye ng'ambo ya karibu ya bonde, na wao
wakawa ng'ambo ya mbali, na msafara ulipo kuwa chini yenu. Na ingeli kuwa
mmeagana mngeli khitalifiana katika miadi. Lakini (mkakutana) ili Mwenyezi Mungu
atimize jambo lilio kuwa lazima litendeke, kwa sababu aangamie wa kuangamia kwa
dalili zilizo dhaahiri, na asalimike wa kusalimika kwa dalili zilizo dhaahiri.
Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusikia Mwenye kujua.
|
Ayah 8:43 الأية
إِذْ يُرِيكَهُمُ اللَّهُ فِي مَنَامِكَ قَلِيلًا ۖ وَلَوْ أَرَاكَهُمْ كَثِيرًا
لَّفَشِلْتُمْ وَلَتَنَازَعْتُمْ فِي الْأَمْرِ وَلَٰكِنَّ اللَّهَ سَلَّمَ ۗ
إِنَّهُ عَلِيمٌ بِذَاتِ الصُّدُورِ
Ith yureekahumu Allahu fee manamikaqaleelan walaw arakahum katheeran lafashiltum
walatanazaAAtumfee al-amri walakinna Allaha sallama innahuAAaleemun bithati
assudoor
Swahili
Kumbuka alipo kuonyesha usingizini mwako kwamba wao ni wachache - na lau angeli
kuonyesha kuwa ni wengi, mngeli ingiwa na woga, na mngeli zozana katika jambo
hilo. Lakini Mwenyezi Mungu kakuvueni. Hakika Yeye ni Mwenye kuyajua yalio
vifuani.
|
Ayah 8:44 الأية
وَإِذْ يُرِيكُمُوهُمْ إِذِ الْتَقَيْتُمْ فِي أَعْيُنِكُمْ قَلِيلًا
وَيُقَلِّلُكُمْ فِي أَعْيُنِهِمْ لِيَقْضِيَ اللَّهُ أَمْرًا كَانَ مَفْعُولًا ۗ
وَإِلَى اللَّهِ تُرْجَعُ الْأُمُورُ
Wa-ith yureekumoohum ithiiltaqaytum fee aAAyunikum qaleelan wayuqallilukum fee
aAAyunihimliyaqdiya Allahu amran kana mafAAoolan wa-ilaAllahi turjaAAu al-omoor
Swahili
Na mlipo kutana akakuonyesheni machoni mwenu kuwa wao ni wachache, na
akakufanyeni nyinyi ni wachache machoni mwao, ili Mwenyezi Mungu atimize jambo
lilio kuwa liwe. Na mambo yote hurejezwa kwa Mwenyezi Mungu.
|
Ayah 8:45 الأية
يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا إِذَا لَقِيتُمْ فِئَةً فَاثْبُتُوا وَاذْكُرُوا
اللَّهَ كَثِيرًا لَّعَلَّكُمْ تُفْلِحُونَ
Ya ayyuha allatheena amanooitha laqeetum fi-atan fathbutoo wathkurooAllaha
katheeran laAAallakum tuflihoon
Swahili
Enyi mlio amini! Mkikutana na jeshi, basi kueni imara, na mkumbukeni Mwenyezi
Mungu sana ili mpate kufanikiwa.
|
Ayah 8:46 الأية
وَأَطِيعُوا اللَّهَ وَرَسُولَهُ وَلَا تَنَازَعُوا فَتَفْشَلُوا وَتَذْهَبَ
رِيحُكُمْ ۖ وَاصْبِرُوا ۚ إِنَّ اللَّهَ مَعَ الصَّابِرِينَ
WaateeAAoo Allaha warasoolahuwala tanazaAAoo fatafshaloo watathhaba
reehukumwasbiroo inna Allaha maAAa assabireen
Swahili
Na mt'iini Mwenyezi Mungu na Mtume wake, wala msizozane mkaingiwa woga, na
zikapotea nguvu zenu. Na subirini. Hakika Mwenyezi Mungu yu pamoja na wanao
subiri.
|
Ayah 8:47 الأية
وَلَا تَكُونُوا كَالَّذِينَ خَرَجُوا مِن دِيَارِهِم بَطَرًا وَرِئَاءَ النَّاسِ
وَيَصُدُّونَ عَن سَبِيلِ اللَّهِ ۚ وَاللَّهُ بِمَا يَعْمَلُونَ مُحِيطٌ
Wala takoonoo kallatheenakharajoo min diyarihim bataran wari-aa
annasiwayasuddoona AAan sabeeli Allahi wallahubima yaAAmaloona muheet
Swahili
Wala msiwe kama wale walio toka majumbani mwao kwa fakhari na kujionyesha kwa
watu, na wakawazuilia watu Njia ya Mwenyezi Mungu. Na Mwenyezi Mungu
ameyazunguka yote wanayo yafanya.
|
Ayah 8:48 الأية
وَإِذْ زَيَّنَ لَهُمُ الشَّيْطَانُ أَعْمَالَهُمْ وَقَالَ لَا غَالِبَ لَكُمُ
الْيَوْمَ مِنَ النَّاسِ وَإِنِّي جَارٌ لَّكُمْ ۖ فَلَمَّا تَرَاءَتِ الْفِئَتَانِ
نَكَصَ عَلَىٰ عَقِبَيْهِ وَقَالَ إِنِّي بَرِيءٌ مِّنكُمْ إِنِّي أَرَىٰ مَا لَا
تَرَوْنَ إِنِّي أَخَافُ اللَّهَ ۚ وَاللَّهُ شَدِيدُ الْعِقَابِ
Wa-ith zayyana lahumu ashshaytanuaAAmalahum waqala la ghaliba lakumualyawma mina
annasi wa-innee jarun lakumfalamma taraati alfi-atani nakasaAAala AAaqibayhi
waqala innee baree-on minkum inneeara ma la tarawna innee akhafu Allahawallahu
shadeedu alAAiqab
Swahili
Na pale Shet'ani alipo wapambia vitendo vyao, na akawaambia: Hapana watu wa
kukushindeni hii leo, na hali mimi ni mlinzi wenu. Yalipo onana majeshi mawili,
akarudi nyuma, na akasema: Mimi si pamoja nanyi. Mimi naona msiyo yaona. Mimi
namwogopa Mwenyezi Mungu, na Mwenyezi Mungu ni mkali wa kuadhibu.
|
Ayah 8:49 الأية
إِذْ يَقُولُ الْمُنَافِقُونَ وَالَّذِينَ فِي قُلُوبِهِم مَّرَضٌ غَرَّ هَٰؤُلَاءِ
دِينُهُمْ ۗ وَمَن يَتَوَكَّلْ عَلَى اللَّهِ فَإِنَّ اللَّهَ عَزِيزٌ حَكِيمٌ
Ith yaqoolu almunafiqoona wallatheenafee quloobihim maradun gharra
haola-ideenuhum waman yatawakkal AAala Allahi fa-inna AllahaAAazeezun hakeem
Swahili
Na walipo sema wanaafiki, na wale wenye ugonjwa nyoyoni mwao: Watu hawa dini yao
imewadanganya. Na Mwenye kumtegemea Mwenyezi Mungu basi hakika Mwenyezi Mungu ni
Mwenye nguvu Ametukuka, na Mwenye hikima.
|
Ayah 8:50 الأية
وَلَوْ تَرَىٰ إِذْ يَتَوَفَّى الَّذِينَ كَفَرُوا ۙ الْمَلَائِكَةُ يَضْرِبُونَ
وُجُوهَهُمْ وَأَدْبَارَهُمْ وَذُوقُوا عَذَابَ الْحَرِيقِ
Walaw tara ith yatawaffaallatheena kafaroo almala-ikatu yadriboonawujoohahum
waadbarahum wathooqoo AAathaba alhareeq
Swahili
Na laiti ungeli ona Malaika wanapo wafisha wale walio kufuru wakiwapiga nyuso
zao na migongo yao, na kuwaambia: Ionjeni adhabu ya Moto!
|
Ayah 8:51 الأية
ذَٰلِكَ بِمَا قَدَّمَتْ أَيْدِيكُمْ وَأَنَّ اللَّهَ لَيْسَ بِظَلَّامٍ
لِّلْعَبِيدِ
Thalika bima qaddamat aydeekumwaanna Allaha laysa bithallaminlilAAabeed
Swahili
Hayo ni kwa sababu ya yale yaliyo kwisha tangulizwa na mikono yenu, na hakika
Mwenyezi Mungu si mwenye kuwadhulumu waja.
|
Ayah 8:52 الأية
كَدَأْبِ آلِ فِرْعَوْنَ ۙ وَالَّذِينَ مِن قَبْلِهِمْ ۚ كَفَرُوا بِآيَاتِ اللَّهِ
فَأَخَذَهُمُ اللَّهُ بِذُنُوبِهِمْ ۗ إِنَّ اللَّهَ قَوِيٌّ شَدِيدُ الْعِقَابِ
Kada/bi ali firAAawna wallatheenamin qablihim kafaroo bi-ayati Allahi
faakhathahumuAllahu bithunoobihim inna Allaha qawiyyunshadeedu alAAiqab
Swahili
Kama ada ya watu wa Firauni na walio kuwa kabla yao - walizikataa Ishara za
Mwenyezi Mungu. Basi Mwenyezi Mungu aliwashika kwa sababu ya madhambi yao. Na
hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye nguvu na mkali wa kuadhibu.
|
Ayah 8:53 الأية
ذَٰلِكَ بِأَنَّ اللَّهَ لَمْ يَكُ مُغَيِّرًا نِّعْمَةً أَنْعَمَهَا عَلَىٰ قَوْمٍ
حَتَّىٰ يُغَيِّرُوا مَا بِأَنفُسِهِمْ ۙ وَأَنَّ اللَّهَ سَمِيعٌ عَلِيمٌ
Thalika bi-anna Allaha lamyaku mughayyiran niAAmatan anAAamaha AAala qawmin
hattayughayyiroo ma bi-anfusihim waanna Allaha sameeAAunAAaleem
Swahili
Hayo ni kwa sababu Mwenyezi Mungu habadilishi kabisa neema alizo waneemesha
watu, mpaka wao wabadilishe yaliyomo ndani ya nafsi zao. Na hakika Mwwnyezi
Mungu ni Mwenye kusikia, Mwenye kujua.
|
Ayah 8:54 الأية
كَدَأْبِ آلِ فِرْعَوْنَ ۙ وَالَّذِينَ مِن قَبْلِهِمْ ۚ كَذَّبُوا بِآيَاتِ
رَبِّهِمْ فَأَهْلَكْنَاهُم بِذُنُوبِهِمْ وَأَغْرَقْنَا آلَ فِرْعَوْنَ ۚ وَكُلٌّ
كَانُوا ظَالِمِينَ
Kada/bi ali firAAawna wallatheenamin qablihim kaththaboo bi-ayati
rabbihimfaahlaknahum bithunoobihim waaghraqna alafirAAawna wakullun kanoo
thalimeen
Swahili
Ni kama ada ya watu wa Firauni na walio kabla yao - walizikanusha Ishara za Mola
wao Mlezi, basi tukawateketeza kwa madhambi yao. Na tukawazamisha watu wa
Firauni. Na wote walikuwa wenye kudhulumu.
|
Ayah 8:55 الأية
إِنَّ شَرَّ الدَّوَابِّ عِندَ اللَّهِ الَّذِينَ كَفَرُوا فَهُمْ لَا يُؤْمِنُونَ
Inna sharra addawabbi AAindaAllahi allatheena kafaroo fahum la yu/minoon
Swahili
Hakika vinyama vilio viovu kabisa mbele ya Mwenyezi Mungu ni wale wanao kufuru,
basi hao hawaamini;
|
Ayah 8:56 الأية
الَّذِينَ عَاهَدتَّ مِنْهُمْ ثُمَّ يَنقُضُونَ عَهْدَهُمْ فِي كُلِّ مَرَّةٍ
وَهُمْ لَا يَتَّقُونَ
Allatheena AAahadta minhumthumma yanqudoona AAahdahum fee kulli marratin wahum
layattaqoon
Swahili
Wale ambao miongoni mwao umepatana nao ahadi, kisha wanavunja ahadi yao kila
mara, wala hawamchi Mungu.
|
Ayah 8:57 الأية
فَإِمَّا تَثْقَفَنَّهُمْ فِي الْحَرْبِ فَشَرِّدْ بِهِم مَّنْ خَلْفَهُمْ
لَعَلَّهُمْ يَذَّكَّرُونَ
Fa-imma tathqafannahum fee alharbifasharrid bihim man khalfahum laAAallahum
yaththakkaroon
Swahili
Basi ukiwakuta vitani wakimbize walio nyuma yao ili wapate kukumbuka.
|
Ayah 8:58 الأية
وَإِمَّا تَخَافَنَّ مِن قَوْمٍ خِيَانَةً فَانبِذْ إِلَيْهِمْ عَلَىٰ سَوَاءٍ ۚ
إِنَّ اللَّهَ لَا يُحِبُّ الْخَائِنِينَ
Wa-imma takhafanna min qawminkhiyanatan fanbith ilayhim AAalasawa-in inna Allaha
la yuhibbu alkha-ineen
Swahili
Na ukichelea khiana kwa watu fulani basi watupilie ahadi yao kwa usawa. Hakika
Mwenyezi Mungu hawapendi makhaini.
|
Ayah 8:59 الأية
وَلَا يَحْسَبَنَّ الَّذِينَ كَفَرُوا سَبَقُوا ۚ إِنَّهُمْ لَا يُعْجِزُونَ
Wala yahsabanna allatheenakafaroo sabaqoo innahum la yuAAjizoon
Swahili
Wala wasidhanie wale walio kufuru kwamba wao wametangulia mbele. La, wao
hawatashinda.
|
Ayah 8:60 الأية
وَأَعِدُّوا لَهُم مَّا اسْتَطَعْتُم مِّن قُوَّةٍ وَمِن رِّبَاطِ الْخَيْلِ
تُرْهِبُونَ بِهِ عَدُوَّ اللَّهِ وَعَدُوَّكُمْ وَآخَرِينَ مِن دُونِهِمْ لَا
تَعْلَمُونَهُمُ اللَّهُ يَعْلَمُهُمْ ۚ وَمَا تُنفِقُوا مِن شَيْءٍ فِي سَبِيلِ
اللَّهِ يُوَفَّ إِلَيْكُمْ وَأَنتُمْ لَا تُظْلَمُونَ
WaaAAiddoo lahum ma istataAAtummin quwwatin wamin ribati alkhayli turhiboona
bihiAAaduwwa Allahi waAAaduwwakum waakhareena mindoonihim la taAAlamoonahumu
Allahu yaAAlamuhum wamatunfiqoo min shay-in fee sabeeli Allahi yuwaffa
ilaykumwaantum la tuthlamoon
Swahili
Basi waandalieni nguvu kama muwezavyo, na kwa farasi walio fungwa tayari-tayari,
ili kuwatishia maadui wa Mwenyezi Mungu na maadui zenu, na wengineo ambao
hamwajui, lakini Mwenyezi Mungu anawajua. Na mkitoa chochote katika Njia ya
Mwenyezi Mungu mtarudishiwa, na wala nyinyi hamtadhulumiwa.
|
Ayah 8:61 الأية
وَإِن جَنَحُوا لِلسَّلْمِ فَاجْنَحْ لَهَا وَتَوَكَّلْ عَلَى اللَّهِ ۚ إِنَّهُ
هُوَ السَّمِيعُ الْعَلِيمُ
Wa-in janahoo lissalmi fajnahlaha watawakkal AAala Allahi innahu huwa
assameeAAualAAaleem
Swahili
Na wakielekea amani nawe pia elekea, na mtegemee Mwenyezi Mungu. Hakika Yeye
ndiye Mwenye kusikia Mwenye kujua.
|
Ayah 8:62 الأية
وَإِن يُرِيدُوا أَن يَخْدَعُوكَ فَإِنَّ حَسْبَكَ اللَّهُ ۚ هُوَ الَّذِي
أَيَّدَكَ بِنَصْرِهِ وَبِالْمُؤْمِنِينَ
Wa-in yureedoo an yakhdaAAooka fa-inna hasbakaAllahu huwa allathee ayyadaka
binasrihi wabilmu/mineen
Swahili
Na wakitaka kukukhadaa basi Mwenyezi Mungu atakutosheleza. Kwani Yeye ndiye
aliye kuunga mkono kwa nusura yake na kwa Waumini.
|
Ayah 8:63 الأية
وَأَلَّفَ بَيْنَ قُلُوبِهِمْ ۚ لَوْ أَنفَقْتَ مَا فِي الْأَرْضِ جَمِيعًا مَّا
أَلَّفْتَ بَيْنَ قُلُوبِهِمْ وَلَٰكِنَّ اللَّهَ أَلَّفَ بَيْنَهُمْ ۚ إِنَّهُ
عَزِيزٌ حَكِيمٌ
Waallafa bayna quloobihim law anfaqta mafee al-ardi jameeAAan ma allafta bayna
quloobihimwalakinna Allaha allafa baynahum innahu AAazeezun hakeem
Swahili
Na akaziunga nyoyo zao. Na lau wewe ungeli toa vyote viliomo duniani usingeli
weza kuziunga nyoyo zao, lakini Mwenyezi Mungu ndiye aliye waunganisha. Hakika
Yeye ndiye Mtukufu Mwenye nguvu na Mwenye hikima.
|
Ayah 8:64 الأية
يَا أَيُّهَا النَّبِيُّ حَسْبُكَ اللَّهُ وَمَنِ اتَّبَعَكَ مِنَ الْمُؤْمِنِينَ
Ya ayyuha annabiyyu hasbukaAllahu wamani ittabaAAaka mina almu/mineen
Swahili
Ewe Nabii! Mwenyezi Mungu anakutoshelezea wewe na Waumini walio kufuata.
|
Ayah 8:65 الأية
يَا أَيُّهَا النَّبِيُّ حَرِّضِ الْمُؤْمِنِينَ عَلَى الْقِتَالِ ۚ إِن يَكُن
مِّنكُمْ عِشْرُونَ صَابِرُونَ يَغْلِبُوا مِائَتَيْنِ ۚ وَإِن يَكُن مِّنكُم
مِّائَةٌ يَغْلِبُوا أَلْفًا مِّنَ الَّذِينَ كَفَرُوا بِأَنَّهُمْ قَوْمٌ لَّا
يَفْقَهُونَ
Ya ayyuha annabiyyu harridialmu/mineena AAala alqitali in yakun minkumAAishroona
sabiroona yaghliboo mi-atayni wa-in yakunminkum mi-atun yaghliboo alfan mina
allatheena kafaroobi-annahum qawmun la yafqahoon
Swahili
Ewe Nabii! Wahimize Waumini wende vitani. Wakiwapo kati yenu ishirini wanao
subiri watawashinda mia mbili. Na wakiwapo kati yenu mia watawashinda elfu moja
katika walio kufuru. Kwa sababu wao ni watu wasio fahamu.
|
Ayah 8:66 الأية
الْآنَ خَفَّفَ اللَّهُ عَنكُمْ وَعَلِمَ أَنَّ فِيكُمْ ضَعْفًا ۚ فَإِن يَكُن
مِّنكُم مِّائَةٌ صَابِرَةٌ يَغْلِبُوا مِائَتَيْنِ ۚ وَإِن يَكُن مِّنكُمْ أَلْفٌ
يَغْلِبُوا أَلْفَيْنِ بِإِذْنِ اللَّهِ ۗ وَاللَّهُ مَعَ الصَّابِرِينَ
Al-ana khaffafa Allahu AAankumwaAAalima anna feekum daAAfan fa-in yakun minkum
mi-atun sabiratunyaghliboo mi-atayni wa-in yakun minkum alfun yaghliboo
alfaynibi-ithni Allahi wallahu maAAa assabireen
Swahili
Sasa Mwenyezi Mungu amekupunguzieni, na anajua kuwa upo udhaifu kwenu. Kwa hivyo
wakiwa wapo watu mia moja kati yenu wenye kusubiri watawashinda mia mbili. Na
wakiwapo elfu moja watawashinda elfu mbili, kwa idhini ya Mwenyezi Mungu. Na
Mwenyezi Mungu yu pamoja na wenye kusubiri.
|
Ayah 8:67 الأية
مَا كَانَ لِنَبِيٍّ أَن يَكُونَ لَهُ أَسْرَىٰ حَتَّىٰ يُثْخِنَ فِي الْأَرْضِ ۚ
تُرِيدُونَ عَرَضَ الدُّنْيَا وَاللَّهُ يُرِيدُ الْآخِرَةَ ۗ وَاللَّهُ عَزِيزٌ
حَكِيمٌ
Ma kana linabiyyin an yakoonalahu asra hatta yuthkhina fee al-arditureedoona
AAarada addunya wallahuyureedu al-akhirata wallahu AAazeezun hakeem
Swahili
Haimfalii Nabii yeyote kuwa na mateka mpaka awe ameshinda baraabara katika nchi.
Mnataka vitu vya dunia, na Mwenyezi Mungu anataka Akhera. Na Mwenyezi Mungu ni
Mtukufu Mwenye nguvu Mwenye hikima.
|
Ayah 8:68 الأية
لَّوْلَا كِتَابٌ مِّنَ اللَّهِ سَبَقَ لَمَسَّكُمْ فِيمَا أَخَذْتُمْ عَذَابٌ
عَظِيمٌ
Lawla kitabun mina Allahisabaqa lamassakum feema akhathtum AAathabunAAatheem
Swahili
Lau isingeli kuwa hukumu iliyo kwisha tangulia kutoka kwa Mwenyezi Mungu ingeli
kupateni adhabu kubwa kwa vile mlivyo chukua.
|
Ayah 8:69 الأية
فَكُلُوا مِمَّا غَنِمْتُمْ حَلَالًا طَيِّبًا ۚ وَاتَّقُوا اللَّهَ ۚ إِنَّ
اللَّهَ غَفُورٌ رَّحِيمٌ
Fakuloo mimma ghanimtum halalantayyiban wattaqoo Allaha inna Allahaghafoorun
raheem
Swahili
Basi kuleni katika mlivyo teka, ni halali na vizuri, na mcheni Mwenyezi Mungu.
Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe na Mwenye kurehemu.
|
Ayah 8:70 الأية
يَا أَيُّهَا النَّبِيُّ قُل لِّمَن فِي أَيْدِيكُم مِّنَ الْأَسْرَىٰ إِن يَعْلَمِ
اللَّهُ فِي قُلُوبِكُمْ خَيْرًا يُؤْتِكُمْ خَيْرًا مِّمَّا أُخِذَ مِنكُمْ
وَيَغْفِرْ لَكُمْ ۗ وَاللَّهُ غَفُورٌ رَّحِيمٌ
Ya ayyuha annabiyyuqul liman fee aydeekum mina al-asra in yaAAlami Allahufee
quloobikum khayran yu/tikum khayran mimma okhithaminkum wayaghfir lakum wallahu
ghafoorun raheem
Swahili
Ewe Nabii! Waambie mateka waliomo mikononi mwenu: Kama Mwenyezi akiona kheri
yoyote nyoyoni mwenu atakupeni bora kuliko vilivyo chukuliwa kwenu, na
atakusameheni. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe Mwenye kurehemu.
|
Ayah 8:71 الأية
وَإِن يُرِيدُوا خِيَانَتَكَ فَقَدْ خَانُوا اللَّهَ مِن قَبْلُ فَأَمْكَنَ
مِنْهُمْ ۗ وَاللَّهُ عَلِيمٌ حَكِيمٌ
Wa-in yureedoo khiyanataka faqad khanooAllaha min qablu faamkana minhum
wallahuAAaleemun hakeem
Swahili
Ikiwa wanataka kukufanyia khiana, wao walikwisha mfanyia khiana Mwenyezi Mungu
kabla yake, na Yeye akakuwezesha kuwashinda. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye kujua
Mwenye hikima.
|
Ayah 8:72 الأية
إِنَّ الَّذِينَ آمَنُوا وَهَاجَرُوا وَجَاهَدُوا بِأَمْوَالِهِمْ وَأَنفُسِهِمْ
فِي سَبِيلِ اللَّهِ وَالَّذِينَ آوَوا وَّنَصَرُوا أُولَٰئِكَ بَعْضُهُمْ
أَوْلِيَاءُ بَعْضٍ ۚ وَالَّذِينَ آمَنُوا وَلَمْ يُهَاجِرُوا مَا لَكُم مِّن
وَلَايَتِهِم مِّن شَيْءٍ حَتَّىٰ يُهَاجِرُوا ۚ وَإِنِ اسْتَنصَرُوكُمْ فِي
الدِّينِ فَعَلَيْكُمُ النَّصْرُ إِلَّا عَلَىٰ قَوْمٍ بَيْنَكُمْ وَبَيْنَهُم
مِّيثَاقٌ ۗ وَاللَّهُ بِمَا تَعْمَلُونَ بَصِيرٌ
Inna allatheena amanoo wahajaroowajahadoo bi-amwalihim waanfusihim fee sabeeli
Allahiwallatheena awaw wanasaroo ola-ikabaAAduhum awliyao baAAdin
wallatheenaamanoo walam yuhajiroo ma lakum min walayatihimmin shay-in hatta
yuhajiroo wa-ini istansarookumfee addeeni faAAalaykumu annasru illaAAala qawmin
baynakum wabaynahum meethaqun wallahubima taAAmaloona baseer
Swahili
Hakika wale walio amini na wakahama na wakapigania Njia ya Mwenyezi Mungu kwa
mali yao na nafsi zao, na wale walio toa mahala pa kukaa, na wakanusuru, hao ni
marafiki na walinzi wao kwa wao. Na wale walio amini lakini hawakuhama, nyinyi
hamna waajibu wa ulinzi kwao hata kidogo mpaka wahame. Lakini wakiomba msaada
kwenu katika Dini, basi ni juu yenu kuwasaidia, isipo kuwa juu ya watu ambao
yapo mapatano baina yenu na wao. Na Mwenyezi Mungu anayaona mnayo yatenda.
|
Ayah 8:73 الأية
وَالَّذِينَ كَفَرُوا بَعْضُهُمْ أَوْلِيَاءُ بَعْضٍ ۚ إِلَّا تَفْعَلُوهُ تَكُن
فِتْنَةٌ فِي الْأَرْضِ وَفَسَادٌ كَبِيرٌ
Wallatheena kafaroo baAAduhumawliyao baAAdin illa tafAAaloohu takunfitnatun fee
al-ardi wafasadun kabeer
Swahili
Na wale walio kufuru ni marafiki wenyewe kwa wenyewe. Msipo fanya hivi itakuwako
fitna katika nchi na fisadi kubwa.
|
Ayah 8:74 الأية
وَالَّذِينَ آمَنُوا وَهَاجَرُوا وَجَاهَدُوا فِي سَبِيلِ اللَّهِ وَالَّذِينَ
آوَوا وَّنَصَرُوا أُولَٰئِكَ هُمُ الْمُؤْمِنُونَ حَقًّا ۚ لَّهُم مَّغْفِرَةٌ
وَرِزْقٌ كَرِيمٌ
Wallatheena amanoo wahajaroowajahadoo fee sabeeli Allahi wallatheenaawaw
wanasaroo ola-ika humu almu/minoona haqqanlahum maghfiratun warizqun kareem
Swahili
Na walio amini wakahama na wakapigana Jihadi katika Njia ya Mwenyezi Mungu, na
walio toa mahala pa kukaa na wakanusuru, hao ndio Waumini wa kweli. Watapata
msamaha wa Mwenyezi Mungu na kuruzukiwa kwema.
|
Ayah 8:75 الأية
وَالَّذِينَ آمَنُوا مِن بَعْدُ وَهَاجَرُوا وَجَاهَدُوا مَعَكُمْ فَأُولَٰئِكَ
مِنكُمْ ۚ وَأُولُو الْأَرْحَامِ بَعْضُهُمْ أَوْلَىٰ بِبَعْضٍ فِي كِتَابِ اللَّهِ
ۗ إِنَّ اللَّهَ بِكُلِّ شَيْءٍ عَلِيمٌ
Wallatheena amanoo minbaAAdu wahajaroo wajahadoo maAAakum faola-ikaminkum waoloo
al-arhami baAAduhum awlabibaAAdin fee kitabi Allahi inna Allahabikulli shay-in
AAaleem
Swahili
Na watakao amini baadaye na wakahajiri, na wakapigana Jihadi pamoja nanyi, basi
hao ni katika nyinyi. Na jamaa wa nasaba wanastahikiana wenyewe kwa wenyewe
zaidi katika Kitabu cha Mwenyezi Mungu. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kujua
kila kitu.
|
©
EsinIslam.Com Designed & produced by The Awqaf London. Please pray for us
|