Prev  

86. Surah At-Târiq سورة الطارق

  Next  




1st Ayah  1  الأية ١الأولي
بِسْم ِ اللهِ الرَّحْمَٰنِ الرَّحِيمِ
وَالسَّمَاءِ وَالطَّارِقِ
Wassama-i wattariq

Swahili
 
Naapa kwa mbingu na Kinacho kuja usiku!

Ayah  86:2  الأية
وَمَا أَدْرَاكَ مَا الطَّارِقُ
Wama adraka ma attariq

Swahili
 
Na nini kitakacho kujuulisha ni nini hicho Kinacho kuja usiku?

Ayah  86:3  الأية
النَّجْمُ الثَّاقِبُ
Annajmu aththaqib

Swahili
 
Ni Nyota yenye mwanga mkali.

Ayah  86:4  الأية
إِن كُلُّ نَفْسٍ لَّمَّا عَلَيْهَا حَافِظٌ
In kullu nafsin lamma AAalayha hafith

Swahili
 
Hapana nafsi ila inayo mwangalizi.

Ayah  86:5  الأية
فَلْيَنظُرِ الْإِنسَانُ مِمَّ خُلِقَ
Falyanthuri al-insanumimma khuliq

Swahili
 
Hebu naajitazame mwanaadamu ameumbwa kwa kitu gani?

Ayah  86:6  الأية
خُلِقَ مِن مَّاءٍ دَافِقٍ
Khuliqa min ma-in dafiq

Swahili
 
Ameumbwa kwa maji yatokayo kwa kuchupa,

Ayah  86:7  الأية
يَخْرُجُ مِن بَيْنِ الصُّلْبِ وَالتَّرَائِبِ
Yakhruju min bayni assulbi wattara-ib

Swahili
 
Yatokayo baina ya mifupa ya mgongo na mbavu.

Ayah  86:8  الأية
إِنَّهُ عَلَىٰ رَجْعِهِ لَقَادِرٌ
Innahu AAala rajAAihi laqadir

Swahili
 
Hakika Yeye ana uweza wa kumrudisha.

Ayah  86:9  الأية
يَوْمَ تُبْلَى السَّرَائِرُ
Yawma tubla assara-ir

Swahili
 
Siku zitakapo dhihirishwa siri.

Ayah  86:10  الأية
فَمَا لَهُ مِن قُوَّةٍ وَلَا نَاصِرٍ
Fama lahu min quwwatin wala nasir

Swahili
 
Basi hatakuwa na nguvu wala msaidizi.

Ayah  86:11  الأية
وَالسَّمَاءِ ذَاتِ الرَّجْعِ
Wassama-i thati arrajAA

Swahili
 
Naapa kwa mbingu yenye marejeo!

Ayah  86:12  الأية
وَالْأَرْضِ ذَاتِ الصَّدْعِ
Wal-ardi thati assadAA

Swahili
 
Na kwa ardhi inayo pasuka!

Ayah  86:13  الأية
إِنَّهُ لَقَوْلٌ فَصْلٌ
Innahu laqawlun fasl

Swahili
 
Hakika hii ni kauli ya kupambanua.

Ayah  86:14  الأية
وَمَا هُوَ بِالْهَزْلِ
Wama huwa bilhazl

Swahili
 
Wala si mzaha.

Ayah  86:15  الأية
إِنَّهُمْ يَكِيدُونَ كَيْدًا
Innahum yakeedoona kayda

Swahili
 
Hakika wao wanapanga mpango.

Ayah  86:16  الأية
وَأَكِيدُ كَيْدًا
Waakeedu kayda

Swahili
 
Na Mimi napanga mpango.

Ayah  86:17  الأية
فَمَهِّلِ الْكَافِرِينَ أَمْهِلْهُمْ رُوَيْدًا
Famahhili alkafireena amhilhum ruwayda

Swahili
 
Basi wape muhula makafiri - wape muhula pole pole.





© EsinIslam.Com Designed & produced by The Awqaf London. Please pray for us