« Prev

88. Surah Al-Ghâshiyah سورة الغاشية

Next »




1st Ayah  1  الأية ١الأولي
بِسْم ِ اللهِ الرَّحْمَٰنِ الرَّحِيمِ
هَلْ أَتَاكَ حَدِيثُ الْغَاشِيَةِ
Hal ataka hadeethu alghashiyat

Swahili
 
Je! Imekufikia khabari ya msiba wa kufudikiza?

Ayah  88:2  الأية
وُجُوهٌ يَوْمَئِذٍ خَاشِعَةٌ
Wujoohun yawma-ithin khashiAAa

Swahili
 
Siku hiyo nyuso zitainama,

Ayah  88:3  الأية
عَامِلَةٌ نَّاصِبَةٌ
AAamilatun nasiba

Swahili
 
Zikifanya kazi, nazo taabani.

Ayah  88:4  الأية
تَصْلَىٰ نَارًا حَامِيَةً
Tasla naran hamiya

Swahili
 
Ziingie katika Moto unao waka -

Ayah  88:5  الأية
تُسْقَىٰ مِنْ عَيْنٍ آنِيَةٍ
Tusqa min AAaynin aniya

Swahili
 
Zikinyweshwa kutoka chemchem inayo chemka.

Ayah  88:6  الأية
لَّيْسَ لَهُمْ طَعَامٌ إِلَّا مِن ضَرِيعٍ
Laysa lahum taAAamun illamin dareeAA

Swahili
 
Hawatakuwa na chakula isipo kuwa kichungu chenye miba.

Ayah  88:7  الأية
لَّا يُسْمِنُ وَلَا يُغْنِي مِن جُوعٍ
La yusminu wala yughnee minjooAA

Swahili
 
Hakinenepeshi wala hakiondoi njaa.

Ayah  88:8  الأية
وُجُوهٌ يَوْمَئِذٍ نَّاعِمَةٌ
Wujoohun yawma-ithin naAAima

Swahili
 
Siku hiyo nyuso nyengine zitakuwa kunjufu.

Ayah  88:9  الأية
لِّسَعْيِهَا رَاضِيَةٌ
LisaAAyiha radiya

Swahili
 
Zitakuwa radhi kwa juhudi yao,

Ayah  88:10  الأية
فِي جَنَّةٍ عَالِيَةٍ
Fee jannatin AAaliya

Swahili
 
Katika Bustani ya juu.

Ayah  88:11  الأية
لَّا تَسْمَعُ فِيهَا لَاغِيَةً
La tasmaAAu feeha laghiya

Swahili
 
Hawatasikia humo upuuzi.

Ayah  88:12  الأية
فِيهَا عَيْنٌ جَارِيَةٌ
Feeha AAaynun jariya

Swahili
 
Humo imo chemchem inayo miminika.

Ayah  88:13  الأية
فِيهَا سُرُرٌ مَّرْفُوعَةٌ
Feeha sururun marfooAAa

Swahili
 
Humo vimo viti vilivyo nyanyuliwa,

Ayah  88:14  الأية
وَأَكْوَابٌ مَّوْضُوعَةٌ
Waakwabun mawdooAAa

Swahili
 
Na bilauri zilizo pangwa,

Ayah  88:15  الأية
وَنَمَارِقُ مَصْفُوفَةٌ
Wanamariqu masfoofa

Swahili
 
Na matakia safu safu,

Ayah  88:16  الأية
وَزَرَابِيُّ مَبْثُوثَةٌ
Wazarabiyyu mabthootha

Swahili
 
Na mazulia yaliyo tandikwa.

Ayah  88:17  الأية
أَفَلَا يَنظُرُونَ إِلَى الْإِبِلِ كَيْفَ خُلِقَتْ
Afala yanthuroona ilaal-ibili kayfa khuliqat

Swahili
 
Je! Hawamtazami ngamia jinsi alivyo umbwa?

Ayah  88:18  الأية
وَإِلَى السَّمَاءِ كَيْفَ رُفِعَتْ
Wa-ila assama-i kayfarufiAAat

Swahili
 
Na mbingu jinsi ilivyo inuliwa?

Ayah  88:19  الأية
وَإِلَى الْجِبَالِ كَيْفَ نُصِبَتْ
Wa-ila aljibali kayfa nusibat

Swahili
 
Na milima jinsi ilivyo thibitishwa?

Ayah  88:20  الأية
وَإِلَى الْأَرْضِ كَيْفَ سُطِحَتْ
Wa-ila al-ardi kayfa sutihat

Swahili
 
Na ardhi jinsi ilivyo tandazwa?

Ayah  88:21  الأية
فَذَكِّرْ إِنَّمَا أَنتَ مُذَكِّرٌ
Fathakkir innama anta muthakkir

Swahili
 
Basi kumbusha! Hakika wewe ni Mkumbushaji.

Ayah  88:22  الأية
لَّسْتَ عَلَيْهِم بِمُصَيْطِرٍ
Lasta AAalayhim bimusaytir

Swahili
 
Wewe si mwenye kuwatawalia.

Ayah  88:23  الأية
إِلَّا مَن تَوَلَّىٰ وَكَفَرَ
Illa man tawalla wakafar

Swahili
 
Lakini anaye rudi nyuma na kukataa,

Ayah  88:24  الأية
فَيُعَذِّبُهُ اللهُ الْعَذَابَ الْأَكْبَرَ
FayuAAaththibuhu Allahu alAAathabaal-akbar

Swahili
 
Basi Mwenyezi Mungu atamuadhibu kwa adhabu iliyo kubwa kabisa!

Ayah  88:25  الأية
إِنَّ إِلَيْنَا إِيَابَهُمْ
Inna ilayna iyabahum

Swahili
 
Hakika ni kwetu Sisi ndio marejeo yao.

Ayah  88:26  الأية
ثُمَّ إِنَّ عَلَيْنَا حِسَابَهُم
Thumma inna AAalayna hisabahum

Swahili
 
Kisha hakika ni juu yetu Sisi hisabu yao!





© EsinIslam.Com Designed & produced by The Awqaf London. Please pray for us