Prev  

90. Surah Al-Balad سورة البلد

  Next  




1st Ayah  1  الأية ١الأولي
بِسْم ِ اللهِ الرَّحْمَٰنِ الرَّحِيمِ
لَا أُقْسِمُ بِهَٰذَا الْبَلَدِ
La oqsimu bihatha albalad

Swahili
 
Naapa kwa Mji huu!

Ayah  90:2  الأية
وَأَنتَ حِلٌّ بِهَٰذَا الْبَلَدِ
Waanta hillun bihatha albalad

Swahili
 
Nawe unaukaa Mji huu.

Ayah  90:3  الأية
وَوَالِدٍ وَمَا وَلَدَ
Wawalidin wama walad

Swahili
 
Na naapa kwa mzazi na alicho kizaa.

Ayah  90:4  الأية
لَقَدْ خَلَقْنَا الْإِنسَانَ فِي كَبَدٍ
Laqad khalaqna al-insana feekabad

Swahili
 
Hakika tumemuumba mtu katika taabu.

Ayah  90:5  الأية
أَيَحْسَبُ أَن لَّن يَقْدِرَ عَلَيْهِ أَحَدٌ
Ayahsabu an lan yaqdira AAalayhi ahad

Swahili
 
Ati anadhani hapana yeyote ataye muweza?

Ayah  90:6  الأية
يَقُولُ أَهْلَكْتُ مَالًا لُّبَدًا
Yaqoolu ahlaktu malan lubada

Swahili
 
Anasema: Nimeteketeza chungu ya mali.

Ayah  90:7  الأية
أَيَحْسَبُ أَن لَّمْ يَرَهُ أَحَدٌ
Ayahsabu an lam yarahu ahad

Swahili
 
Ati anadhani ya kuwa hapana yeyote anaye mwona?

Ayah  90:8  الأية
أَلَمْ نَجْعَل لَّهُ عَيْنَيْنِ
Alam najAAal lahu AAaynayn

Swahili
 
Kwani hatukumpa macho mawili?

Ayah  90:9  الأية
وَلِسَانًا وَشَفَتَيْنِ
Walisanan washafatayn

Swahili
 
Na ulimi, na midomo miwili?

Ayah  90:10  الأية
وَهَدَيْنَاهُ النَّجْدَيْنِ
Wahadaynahu annajdayn

Swahili
 
Na tukambainishia zote njia mbili?

Ayah  90:11  الأية
فَلَا اقْتَحَمَ الْعَقَبَةَ
Fala iqtahama alAAaqaba

Swahili
 
Lakini hakujitoma kwenye njia ya vikwazo vya milimani.

Ayah  90:12  الأية
وَمَا أَدْرَاكَ مَا الْعَقَبَةُ
Wama adraka maalAAaqaba

Swahili
 
Na nini kitakujuvya ni nini njia ya vikwazo vya milimani?

Ayah  90:13  الأية
فَكُّ رَقَبَةٍ
Fakku raqaba

Swahili
 
Kumkomboa mtumwa;

Ayah  90:14  الأية
أَوْ إِطْعَامٌ فِي يَوْمٍ ذِي مَسْغَبَةٍ
Aw itAAamun fee yawmin theemasghaba

Swahili
 
Au kumlisha siku ya njaa

Ayah  90:15  الأية
يَتِيمًا ذَا مَقْرَبَةٍ
Yateeman tha maqraba

Swahili
 
Yatima aliye jamaa,

Ayah  90:16  الأية
أَوْ مِسْكِينًا ذَا مَتْرَبَةٍ
Aw miskeenan tha matraba

Swahili
 
Au masikini aliye vumbini.

Ayah  90:17  الأية
ثُمَّ كَانَ مِنَ الَّذِينَ آمَنُوا وَتَوَاصَوْا بِالصَّبْرِ وَتَوَاصَوْا بِالْمَرْحَمَةِ
Thumma kana mina allatheena amanoowatawasaw bissabri watawasaw bilmarhama

Swahili
 
Tena awe miongoni mwa walio amini na wakausiana kusubiri na wakausiana kuhurumiana.

Ayah  90:18  الأية
أُولَٰئِكَ أَصْحَابُ الْمَيْمَنَةِ
Ola-ika as-habualmaymana

Swahili
 
Hao ndio watu wa kheri wa kuliani.

Ayah  90:19  الأية
وَالَّذِينَ كَفَرُوا بِآيَاتِنَا هُمْ أَصْحَابُ الْمَشْأَمَةِ
Wallatheena kafaroo bi-ayatinahum as-habu almash-ama

Swahili
 
Lakini walio zikataa Ishara zetu, hao ndio watu wa shari wa kushotoni.

Ayah  90:20  الأية
عَلَيْهِمْ نَارٌ مُّؤْصَدَةٌ
AAalayhim narun mu/sada

Swahili
 
Juu yao utakuwa Moto ulio fungiwa kila upande.





© EsinIslam.Com Designed & produced by The Awqaf London. Please pray for us