Prev  

26. Surah Ash-Shu'arâ' سورة الشعراء

  Next  



1st Ayah  1  الأية ١الأولي
بِسْم ِ اللهِ الرَّحْمَٰنِ الرَّحِيمِ
طسم
Ta-seen-meem

Swahili
 
T'aa Siin Miim. (T'.S.M.)

Ayah  26:2  الأية
تِلْكَ آيَاتُ الْكِتَابِ الْمُبِينِ
Tilka ayatu alkitabialmubeen

Swahili
 
Hizi ni Aya za Kitabu kinacho bainisha.

Ayah  26:3  الأية
لَعَلَّكَ بَاخِعٌ نَّفْسَكَ أَلَّا يَكُونُوا مُؤْمِنِينَ
LaAAallaka bakhiAAun nafsaka allayakoonoo mu/mineen

Swahili
 
Huenda labda ukajikera nafsi yako kwa kuwa hawawi Waumini.

Ayah  26:4  الأية
إِن نَّشَأْ نُنَزِّلْ عَلَيْهِم مِّنَ السَّمَاءِ آيَةً فَظَلَّتْ أَعْنَاقُهُمْ لَهَا خَاضِعِينَ
In nasha/ nunazzil AAalayhim mina assama-iayatan fathallat aAAnaquhum lahakhadiAAeen

Swahili
 
Tunge penda tungeli wateremshia kutoka mbinguni Ishara zikanyenyekea shingo zao.

Ayah  26:5  الأية
وَمَا يَأْتِيهِم مِّن ذِكْرٍ مِّنَ الرَّحْمَٰنِ مُحْدَثٍ إِلَّا كَانُوا عَنْهُ مُعْرِضِينَ
Wama ya/teehim min thikrin minaarrahmani muhdathin illa kanooAAanhu muAArideen

Swahili
 
Wala hauwafikii ukumbusho mpya kutoka kwa Arrahman ila wao hujitenga nao.

Ayah  26:6  الأية
فَقَدْ كَذَّبُوا فَسَيَأْتِيهِمْ أَنبَاءُ مَا كَانُوا بِهِ يَسْتَهْزِئُونَ
Faqad kaththaboo fasaya/teehim anbaoma kanoo bihi yastahzi-oon

Swahili
 
Kwa yakini wamekanusha; kwa hivyo zitakuja wafikia khabari za yale waliyo kuwa wakiyafanyia mzaha.

Ayah  26:7  الأية
أَوَلَمْ يَرَوْا إِلَى الْأَرْضِ كَمْ أَنبَتْنَا فِيهَا مِن كُلِّ زَوْجٍ كَرِيمٍ
Awa lam yaraw ila al-ardi kamanbatna feeha min kulli zawjin kareem

Swahili
 
Je! Hawakuiona ardhi, mimea mingapi tumeiotesha humo, ya kila namna nzuri?

Ayah  26:8  الأية
إِنَّ فِي ذَٰلِكَ لَآيَةً ۖ وَمَا كَانَ أَكْثَرُهُم مُّؤْمِنِينَ
Inna fee thalika laayatan wamakana aktharuhum mu/mineen

Swahili
 
Hakika katika haya zipo Ishara. Lakini wengi wao hawakuwa wenye kuamini.

Ayah  26:9  الأية
وَإِنَّ رَبَّكَ لَهُوَ الْعَزِيزُ الرَّحِيمُ
Wa-inna rabbaka lahuwa alAAazeezu arraheem

Swahili
 
Na hakika Mola wako Mlezi ndiye Yeye Mwenye nguvu Mwenye kurehemu.

Ayah  26:10  الأية
وَإِذْ نَادَىٰ رَبُّكَ مُوسَىٰ أَنِ ائْتِ الْقَوْمَ الظَّالِمِينَ
Wa-ith nada rabbukamoosa ani i/ti alqawma aththalimeen

Swahili
 
Na Mola wako Mlezi, alipo mwita Musa, akamwambia: Fika kwa watu madhaalimu,

Ayah  26:11  الأية
قَوْمَ فِرْعَوْنَ ۚ أَلَا يَتَّقُونَ
Qawma firAAawna ala yattaqoon

Swahili
 
Watu wa Firauni. Hawaogopi?

Ayah  26:12  الأية
قَالَ رَبِّ إِنِّي أَخَافُ أَن يُكَذِّبُونِ
Qala rabbi innee akhafu anyukaththiboon

Swahili
 
Akasema: Hakika mimi nachelea wasinikanushe.

Ayah  26:13  الأية
وَيَضِيقُ صَدْرِي وَلَا يَنطَلِقُ لِسَانِي فَأَرْسِلْ إِلَىٰ هَارُونَ
Wayadeequ sadree walayantaliqu lisanee faarsil ila haroon

Swahili
 
Na kifua changu kina dhiki, na ulimi wangu haukunjuki vyema. Basi mtumie ujumbe Harun.

Ayah  26:14  الأية
وَلَهُمْ عَلَيَّ ذَنبٌ فَأَخَافُ أَن يَقْتُلُونِ
Walahum AAalayya thanbun faakhafuan yaqtuloon

Swahili
 
Na wao wana kisasi juu yangu, kwa hivyo naogopa wasije kuniuwa.

Ayah  26:15  الأية
قَالَ كَلَّا ۖ فَاذْهَبَا بِآيَاتِنَا ۖ إِنَّا مَعَكُم مُّسْتَمِعُونَ
Qala kalla fathhababi-ayatina inna maAAakum mustamiAAoon

Swahili
 
Akasema: Siyo hivyo kabisa! Nendeni na miujiza yetu. Hakika Sisi tu pamoja nanyi, tunasikiliza.

Ayah  26:16  الأية
فَأْتِيَا فِرْعَوْنَ فَقُولَا إِنَّا رَسُولُ رَبِّ الْعَالَمِينَ
Fa/tiya firAAawna faqoola innarasoolu rabbi alAAalameen

Swahili
 
Basi mfikieni Firauni na mwambieni: Hakika sisi ni Mitume wa Mola Mlezi wa walimwengu wote.

Ayah  26:17  الأية
أَنْ أَرْسِلْ مَعَنَا بَنِي إِسْرَائِيلَ
An arsil maAAana banee isra-eel

Swahili
 
Waachilie Wana wa Israili wende nasi.

Ayah  26:18  الأية
قَالَ أَلَمْ نُرَبِّكَ فِينَا وَلِيدًا وَلَبِثْتَ فِينَا مِنْ عُمُرِكَ سِنِينَ
Qala alam nurabbika feenawaleedan walabithta feena min AAumurika sineen

Swahili
 
(Firauni) akasema: Sisi hatukukulea wewe utotoni, na ukakaa kwetu katika umri wako miaka mingi?

Ayah  26:19  الأية
وَفَعَلْتَ فَعْلَتَكَ الَّتِي فَعَلْتَ وَأَنتَ مِنَ الْكَافِرِينَ
WafaAAalta faAAlataka allatee faAAaltawaanta mina alkafireen

Swahili
 
Na ukatenda kitendo chako ulicho tenda, nawe ukawa miongoni mwa wasio na shukrani?

Ayah  26:20  الأية
قَالَ فَعَلْتُهَا إِذًا وَأَنَا مِنَ الضَّالِّينَ
Qala faAAaltuha ithanwaana mina addalleen

Swahili
 
(Musa) akasema: Nilitenda hayo hapo nilipo kuwa miongoni mwa wale walio potea.

Ayah  26:21  الأية
فَفَرَرْتُ مِنكُمْ لَمَّا خِفْتُكُمْ فَوَهَبَ لِي رَبِّي حُكْمًا وَجَعَلَنِي مِنَ الْمُرْسَلِينَ
Fafarartu minkum lamma khiftukumfawahaba lee rabbee hukman wajaAAalanee mina almursaleen

Swahili
 
Basi nikakukimbieni nilipo kuogopeni, tena Mola wangu Mlezi akanitunukia hukumu, na akanijaalia niwe miongoni mwa Mitume.

Ayah  26:22  الأية
وَتِلْكَ نِعْمَةٌ تَمُنُّهَا عَلَيَّ أَنْ عَبَّدتَّ بَنِي إِسْرَائِيلَ
Watilka niAAmatun tamunnuha AAalayyaan AAabbadta banee isra-eel

Swahili
 
Na hiyo ndiyo neema ya kunisumbulia, na wewe umewatia utumwani Wana wa Israili?

Ayah  26:23  الأية
قَالَ فِرْعَوْنُ وَمَا رَبُّ الْعَالَمِينَ
Qala firAAawnu wama rabbu alAAalameen

Swahili
 
Firauni akasema: Na nani huyo Mola Mlezi wa walimwengu wote?

Ayah  26:24  الأية
قَالَ رَبُّ السَّمَاوَاتِ وَالْأَرْضِ وَمَا بَيْنَهُمَا ۖ إِن كُنتُم مُّوقِنِينَ
Qala rabbu assamawatiwal-ardi wama baynahuma in kuntummooqineen

Swahili
 
Akasema: Ndiye Mola Mlezi wa mbingu na ardhi, na viliomo baina yao, ikiwa nyinyi ni wenye yakini.

Ayah  26:25  الأية
قَالَ لِمَنْ حَوْلَهُ أَلَا تَسْتَمِعُونَ
Qala liman hawlahu alatastamiAAoon

Swahili
 
(Firauni) akawaambia walio mzunguka: Hamsikilizi?

Ayah  26:26  الأية
قَالَ رَبُّكُمْ وَرَبُّ آبَائِكُمُ الْأَوَّلِينَ
Qala rabbukum warabbu aba-ikumual-awwaleen

Swahili
 
(Musa) akasema: Ndiye Mola wenu Mlezi, na Mola Mlezi wa baba zenu wa kwanza.

Ayah  26:27  الأية
قَالَ إِنَّ رَسُولَكُمُ الَّذِي أُرْسِلَ إِلَيْكُمْ لَمَجْنُونٌ
Qala inna rasoolakumu allatheeorsila ilaykum lamajnoon

Swahili
 
(Firauni) akasema: Hakika huyu Mtume wenu aliye tumwa kwenu ni mwendawazimu.

Ayah  26:28  الأية
قَالَ رَبُّ الْمَشْرِقِ وَالْمَغْرِبِ وَمَا بَيْنَهُمَا ۖ إِن كُنتُمْ تَعْقِلُونَ
Qala rabbu almashriqi walmaghribiwama baynahuma in kuntum taAAqiloon

Swahili
 
(Musa) akasema: Ndiye Mola Mlezi wa Mashariki na Magharibi na viliomo baina yao, ikiwa nyinyi mnatia akilini.

Ayah  26:29  الأية
قَالَ لَئِنِ اتَّخَذْتَ إِلَٰهًا غَيْرِي لَأَجْعَلَنَّكَ مِنَ الْمَسْجُونِينَ
Qala la-ini ittakhathta ilahanghayree laajAAalannaka mina almasjooneen

Swahili
 
(Firauni) akasema: Ukimfuata mungu mwengine asiye kuwa mimi, basi bila ya shaka nitakufunga gerezani.

Ayah  26:30  الأية
قَالَ أَوَلَوْ جِئْتُكَ بِشَيْءٍ مُّبِينٍ
Qala awa law ji/tuka bishay-in mubeen

Swahili
 
Akasema: Je! Ijapo kuwa nitakuletea kitu cha kubainisha wazi?

Ayah  26:31  الأية
قَالَ فَأْتِ بِهِ إِن كُنتَ مِنَ الصَّادِقِينَ
Qala fa/ti bihi in kunta mina assadiqeen

Swahili
 
Akasema: Kilete basi, kama wewe ni katika wasemao kweli.

Ayah  26:32  الأية
فَأَلْقَىٰ عَصَاهُ فَإِذَا هِيَ ثُعْبَانٌ مُّبِينٌ
Faalqa AAasahu fa-ithahiya thuAAbanun mubeen

Swahili
 
Basi akaitupa fimbo yake, mara ikawa nyoka wa kuonekana dhaahiri.

Ayah  26:33  الأية
وَنَزَعَ يَدَهُ فَإِذَا هِيَ بَيْضَاءُ لِلنَّاظِرِينَ
WanazaAAa yadahu fa-itha hiya baydaolinnathireen

Swahili
 
Na akautoa mkono wake, na mara ukawa mweupe kwa watazamao.

Ayah  26:34  الأية
قَالَ لِلْمَلَإِ حَوْلَهُ إِنَّ هَٰذَا لَسَاحِرٌ عَلِيمٌ
Qala lilmala-i hawlahu inna hathalasahirun AAaleem

Swahili
 
(Firauni) akawaambia waheshimiwa walio mzunguka: Hakika huyu ni mchawi mtaalamu.

Ayah  26:35  الأية
يُرِيدُ أَن يُخْرِجَكُم مِّنْ أَرْضِكُم بِسِحْرِهِ فَمَاذَا تَأْمُرُونَ
Yureedu an yukhrijakum min ardikumbisihrihi famatha ta/muroon

Swahili
 
Anataka kukutoeni katika nchi yenu kwa uchawi wake. Basi mna shauri gani?

Ayah  26:36  الأية
قَالُوا أَرْجِهْ وَأَخَاهُ وَابْعَثْ فِي الْمَدَائِنِ حَاشِرِينَ
Qaloo arjih waakhahu wabAAathfee almada-ini hashireen

Swahili
 
Wakasema: Mpe muda yeye na nduguye na uwatume mijini wapigao mbiu ya mgambo.

Ayah  26:37  الأية
يَأْتُوكَ بِكُلِّ سَحَّارٍ عَلِيمٍ
Ya/tooka bikulli sahharin AAaleem

Swahili
 
Wakuletee kila mchawi bingwa mtaalamu.

Ayah  26:38  الأية
فَجُمِعَ السَّحَرَةُ لِمِيقَاتِ يَوْمٍ مَّعْلُومٍ
FajumiAAa assaharatu limeeqatiyawmin maAAloom

Swahili
 
Basi wakakusanywa wachawi wakati na siku maalumu.

Ayah  26:39  الأية
وَقِيلَ لِلنَّاسِ هَلْ أَنتُم مُّجْتَمِعُونَ
Waqeela linnasi hal antummujtamiAAoon

Swahili
 
Na watu wakaambiwa: Je! Mtakusanyika?

Ayah  26:40  الأية
لَعَلَّنَا نَتَّبِعُ السَّحَرَةَ إِن كَانُوا هُمُ الْغَالِبِينَ
LaAAallana nattabiAAu assaharatain kanoo humu alghalibeen

Swahili
 
Huenda tutawafuata wachawi wakiwa wao ndio watakao shinda.

Ayah  26:41  الأية
فَلَمَّا جَاءَ السَّحَرَةُ قَالُوا لِفِرْعَوْنَ أَئِنَّ لَنَا لَأَجْرًا إِن كُنَّا نَحْنُ الْغَالِبِينَ
Falamma jaa assaharatuqaloo lifirAAawna a-inna lana laajran in kunnanahnu alghalibeen

Swahili
 
Basi walipo kuja wachawi wakamwambia Firauni: Je! Tutapata ujira tukiwa sisi ndio tulio shinda?

Ayah  26:42  الأية
قَالَ نَعَمْ وَإِنَّكُمْ إِذًا لَّمِنَ الْمُقَرَّبِينَ
Qala naAAam wa-innakum ithanlamina almuqarrabeen

Swahili
 
Naam! Na hakika mtakuwa katika watu wa mbele.

Ayah  26:43  الأية
قَالَ لَهُم مُّوسَىٰ أَلْقُوا مَا أَنتُم مُّلْقُونَ
Qala lahum moosa alqoo maantum mulqoon

Swahili
 
Musa akwaambia: Tupeni mnavyo taka kutupa.

Ayah  26:44  الأية
فَأَلْقَوْا حِبَالَهُمْ وَعِصِيَّهُمْ وَقَالُوا بِعِزَّةِ فِرْعَوْنَ إِنَّا لَنَحْنُ الْغَالِبُونَ
Faalqaw hibalahum waAAisiyyahumwaqaloo biAAizzati firAAawna inna lanahnualghaliboon

Swahili
 
Basi wakatupa kamba zao na fimbo zao, na wakasema: Kwa nguvu za Firauni hakika sisi hapana shaka ni wenye kushinda.

Ayah  26:45  الأية
فَأَلْقَىٰ مُوسَىٰ عَصَاهُ فَإِذَا هِيَ تَلْقَفُ مَا يَأْفِكُونَ
Faalqa moosa AAasahufa-itha hiya talqafu ma ya/fikoon

Swahili
 
Musa tena akatupa fimbo yake, nayo mara ikavimeza walivyo vizua.

Ayah  26:46  الأية
فَأُلْقِيَ السَّحَرَةُ سَاجِدِينَ
Faolqiya assaharatu sajideen

Swahili
 
Hapo wachawi walipinduka wakasujudu.

Ayah  26:47  الأية
قَالُوا آمَنَّا بِرَبِّ الْعَالَمِينَ
Qaloo amanna birabbialAAalameen

Swahili
 
Wakasema: Tunamuamini Mola Mlezi wa walimwengu wote.

Ayah  26:48  الأية
رَبِّ مُوسَىٰ وَهَارُونَ
Rabbi moosa waharoon

Swahili
 
Mola Mlezi wa Musa na Harun.

Ayah  26:49  الأية
قَالَ آمَنتُمْ لَهُ قَبْلَ أَنْ آذَنَ لَكُمْ ۖ إِنَّهُ لَكَبِيرُكُمُ الَّذِي عَلَّمَكُمُ السِّحْرَ فَلَسَوْفَ تَعْلَمُونَ ۚ لَأُقَطِّعَنَّ أَيْدِيَكُمْ وَأَرْجُلَكُم مِّنْ خِلَافٍ وَلَأُصَلِّبَنَّكُمْ أَجْمَعِينَ
Qala amantum lahu qabla an athanalakum innahu lakabeerukumu allathee AAallamakumu assihrafalasawfa taAAlamoona laoqattiAAanna aydiyakum waarjulakummin khilafin walaosallibannakum ajmaAAeen

Swahili
 
(Firauni) akasema: Je! Mmemuamini kabla sijakuruhusuni? Bila ya shaka yeye basi ndiye mkubwa wenu aliye kufunzeni uchawi. Basi mtakuja jua! Nitakata mikono yenu na miguu yenu kwa kutafautisha. Na nitakubandikeni misalabani nyote.

Ayah  26:50  الأية
قَالُوا لَا ضَيْرَ ۖ إِنَّا إِلَىٰ رَبِّنَا مُنقَلِبُونَ
Qaloo la dayra innaila rabbina munqaliboon

Swahili
 
Wakasema: Haidhuru, kwani sisi ni wenye kurejea kwa Mola wetu Mlezi.

Ayah  26:51  الأية
إِنَّا نَطْمَعُ أَن يَغْفِرَ لَنَا رَبُّنَا خَطَايَانَا أَن كُنَّا أَوَّلَ الْمُؤْمِنِينَ
Inna natmaAAu an yaghfira lanarabbuna khatayana an kunnaawwala almu/mineen

Swahili
 
Hakika sisi tunatumai Mola wetu Mlezi atatusamehe makosa yetu, kwa kuwa ndio wa kwanza wa kuamini.

Ayah  26:52  الأية
وَأَوْحَيْنَا إِلَىٰ مُوسَىٰ أَنْ أَسْرِ بِعِبَادِي إِنَّكُم مُّتَّبَعُونَ
Waawhayna ila moosaan asri biAAibadee innakum muttabaAAoon

Swahili
 
Na tulimuamrisha Musa kwa wahyi: Nenda na waja wangu wakati wa usiku. Kwa hakika mtafuatwa.

Ayah  26:53  الأية
فَأَرْسَلَ فِرْعَوْنُ فِي الْمَدَائِنِ حَاشِرِينَ
Faarsala firAAawnu fee almada-ini hashireen

Swahili
 
Basi Firauni akawatuma mijini wapiga mbiu za mgambo.

Ayah  26:54  الأية
إِنَّ هَٰؤُلَاءِ لَشِرْذِمَةٌ قَلِيلُونَ
Inna haola-i lashirthimatunqaleeloon

Swahili
 
(Wakieneza): Hakika hawa ni kikundi kidogo.

Ayah  26:55  الأية
وَإِنَّهُمْ لَنَا لَغَائِظُونَ
Wa-innahum lana lagha-ithoon

Swahili
 
Nao wanatuudhi.

Ayah  26:56  الأية
وَإِنَّا لَجَمِيعٌ حَاذِرُونَ
Wa-inna lajameeAAun hathiroon

Swahili
 
Na sisi ni wengi, wenye kuchukua hadhari.

Ayah  26:57  الأية
فَأَخْرَجْنَاهُم مِّن جَنَّاتٍ وَعُيُونٍ
Faakhrajnahum min jannatinwaAAuyoon

Swahili
 
Basi tukawatoa katika mabustani na chemchem,

Ayah  26:58  الأية
وَكُنُوزٍ وَمَقَامٍ كَرِيمٍ
Wakunoozin wamaqamin kareem

Swahili
 
Na makhazina, na vyeo vya hishima,

Ayah  26:59  الأية
كَذَٰلِكَ وَأَوْرَثْنَاهَا بَنِي إِسْرَائِيلَ
Kathalika waawrathnahabanee isra-eel

Swahili
 
Kadhaalika; na tukawarithisha hayo Wana wa Israili.

Ayah  26:60  الأية
فَأَتْبَعُوهُم مُّشْرِقِينَ
FaatbaAAoohum mushriqeen

Swahili
 
Basi wakawafuata lilipo chomoza jua.

Ayah  26:61  الأية
فَلَمَّا تَرَاءَى الْجَمْعَانِ قَالَ أَصْحَابُ مُوسَىٰ إِنَّا لَمُدْرَكُونَ
Falamma taraa aljamAAaniqala as-habu moosa innalamudrakoon

Swahili
 
Na yalipo onana majeshi mawili haya, watu wa Musa wakasema: Hakika sisi bila ya shaka tumepatikana!

Ayah  26:62  الأية
قَالَ كَلَّا ۖ إِنَّ مَعِيَ رَبِّي سَيَهْدِينِ
Qala kalla inna maAAiya rabbeesayahdeen

Swahili
 
(Musa) akasema: Hasha! Hakika yu pamoja nami Mola wangu Mlezi. Yeye ataniongoa!

Ayah  26:63  الأية
فَأَوْحَيْنَا إِلَىٰ مُوسَىٰ أَنِ اضْرِب بِّعَصَاكَ الْبَحْرَ ۖ فَانفَلَقَ فَكَانَ كُلُّ فِرْقٍ كَالطَّوْدِ الْعَظِيمِ
Faawhayna ila moosaani idrib biAAasaka albahra fanfalaqafakana kullu firqin kattawdi alAAatheem

Swahili
 
Tulimletea wahyi Musa tukamwambia: Piga bahari kwa fimbo yako. Basi ikatengana, na kila sehemu ikawa kama mlima mkubwa.

Ayah  26:64  الأية
وَأَزْلَفْنَا ثَمَّ الْآخَرِينَ
Waazlafna thamma al-akhareen

Swahili
 
Na tukawajongeza hapo wale wengine.

Ayah  26:65  الأية
وَأَنجَيْنَا مُوسَىٰ وَمَن مَّعَهُ أَجْمَعِينَ
Waanjayna moosa waman maAAahuajmaAAeen

Swahili
 
Tukawaokoa Musa na walio kuwa pamoja naye wote.

Ayah  26:66  الأية
ثُمَّ أَغْرَقْنَا الْآخَرِينَ
Thumma aghraqna al-akhareen

Swahili
 
Kisha tukawazamisha hao wengine.

Ayah  26:67  الأية
إِنَّ فِي ذَٰلِكَ لَآيَةً ۖ وَمَا كَانَ أَكْثَرُهُم مُّؤْمِنِينَ
Inna fee thalika laayatan wamakana aktharuhum mu/mineen

Swahili
 
Hakika bila ya shaka katika hayo ipo Ishara; lakini wengi wao si katika wenye kuamini.

Ayah  26:68  الأية
وَإِنَّ رَبَّكَ لَهُوَ الْعَزِيزُ الرَّحِيمُ
Wa-inna rabbaka lahuwa alAAazeezu arraheem

Swahili
 
Na kwa hakika Mola wako Mlezi ndiye Mwenye nguvu Mwenye kurehemu.

Ayah  26:69  الأية
وَاتْلُ عَلَيْهِمْ نَبَأَ إِبْرَاهِيمَ
Watlu AAalayhim nabaa ibraheem

Swahili
 
Na wasomee khabari za Ibrahim.

Ayah  26:70  الأية
إِذْ قَالَ لِأَبِيهِ وَقَوْمِهِ مَا تَعْبُدُونَ
Ith qala li-abeehi waqawmihi mataAAbudoon

Swahili
 
Alipo mwambia baba yake na kaumu yake: Mnaabudu nini?

Ayah  26:71  الأية
قَالُوا نَعْبُدُ أَصْنَامًا فَنَظَلُّ لَهَا عَاكِفِينَ
Qaloo naAAbudu asnamanfanathallu laha AAakifeen

Swahili
 
Wakasema: Tunaabudu masanamu, daima tunayanyenyekea.

Ayah  26:72  الأية
قَالَ هَلْ يَسْمَعُونَكُمْ إِذْ تَدْعُونَ
Qala hal yasmaAAoonakum ithtadAAoon

Swahili
 
Akasema: Je! Yanakusikieni mnapo yaita?

Ayah  26:73  الأية
أَوْ يَنفَعُونَكُمْ أَوْ يَضُرُّونَ
Aw yanfaAAoonakum aw yadurroon

Swahili
 
Au yanakufaeni, au yanakudhuruni?

Ayah  26:74  الأية
قَالُوا بَلْ وَجَدْنَا آبَاءَنَا كَذَٰلِكَ يَفْعَلُونَ
Qaloo bal wajadna abaanakathalika yafAAaloon

Swahili
 
Wakasema: Bali tumewakuta baba zetu wakifanya hivyo hivyo.

Ayah  26:75  الأية
قَالَ أَفَرَأَيْتُم مَّا كُنتُمْ تَعْبُدُونَ
Qala afaraaytum ma kuntumtaAAbudoon

Swahili
 
Je! Mmewaona hawa mnao waabudu-

Ayah  26:76  الأية
أَنتُمْ وَآبَاؤُكُمُ الْأَقْدَمُونَ
Antum waabaokumu al-aqdamoon

Swahili
 
Nyinyi na baba zenu wa zamani?

Ayah  26:77  الأية
فَإِنَّهُمْ عَدُوٌّ لِّي إِلَّا رَبَّ الْعَالَمِينَ
Fa-innahum AAaduwwun lee illa rabbaalAAalameen

Swahili
 
Kwani hakika hao ni adui zangu, isipo kuwa Mola Mlezi wa walimwengu wote.

Ayah  26:78  الأية
الَّذِي خَلَقَنِي فَهُوَ يَهْدِينِ
Allathee khalaqanee fahuwa yahdeen

Swahili
 
Ambaye ndiye aliye niumba, na Yeye ndiye ananiongoa,

Ayah  26:79  الأية
وَالَّذِي هُوَ يُطْعِمُنِي وَيَسْقِينِ
Wallathee huwa yutAAimuneewayasqeen

Swahili
 
Na ambaye ndiye ananilisha na kuninywesha.

Ayah  26:80  الأية
وَإِذَا مَرِضْتُ فَهُوَ يَشْفِينِ
Wa-itha maridtu fahuwayashfeen

Swahili
 
Na ninapo ugua ni Yeye ndiye anaye niponesha.

Ayah  26:81  الأية
وَالَّذِي يُمِيتُنِي ثُمَّ يُحْيِينِ
Wallathee yumeetunee thummayuhyeen

Swahili
 
Na ambaye atanifisha, na kisha atanihuisha.

Ayah  26:82  الأية
وَالَّذِي أَطْمَعُ أَن يَغْفِرَ لِي خَطِيئَتِي يَوْمَ الدِّينِ
Wallathee atmaAAu anyaghfira lee khatee-atee yawma addeen

Swahili
 
Na ambaye ndiye ninaye mtumai kunisamehe makosa yangu Siku ya Malipo.

Ayah  26:83  الأية
رَبِّ هَبْ لِي حُكْمًا وَأَلْحِقْنِي بِالصَّالِحِينَ
Rabbi hab lee hukman waalhiqneebissaliheen

Swahili
 
Mola wangu Mlezi! Nitunukie hukumu na uniunganishe na watendao mema.

Ayah  26:84  الأية
وَاجْعَل لِّي لِسَانَ صِدْقٍ فِي الْآخِرِينَ
WajAAal lee lisana sidqinfee al-akhireen

Swahili
 
Na unijaalie nitajwe kwa wema na watu watakao kuja baadaye.

Ayah  26:85  الأية
وَاجْعَلْنِي مِن وَرَثَةِ جَنَّةِ النَّعِيمِ
WajAAalnee min warathati jannati annaAAeem

Swahili
 
Na unijaalie katika warithi wa Bustani za neema.

Ayah  26:86  الأية
وَاغْفِرْ لِأَبِي إِنَّهُ كَانَ مِنَ الضَّالِّينَ
Waghfir li-abee innahu kanamina addalleen

Swahili
 
Na umsamehe baba yangu, kwani hakika alikuwa miongoni mwa wapotovu.

Ayah  26:87  الأية
وَلَا تُخْزِنِي يَوْمَ يُبْعَثُونَ
Wala tukhzinee yawma yubAAathoon

Swahili
 
Wala usinihizi Siku watapo fufuliwa.

Ayah  26:88  الأية
يَوْمَ لَا يَنفَعُ مَالٌ وَلَا بَنُونَ
Yawma la yanfaAAu malun walabanoon

Swahili
 
Siku ambayo kwamba mali hayato faa kitu wala wana.

Ayah  26:89  الأية
إِلَّا مَنْ أَتَى اللهَ بِقَلْبٍ سَلِيمٍ
Illa man ata Allahabiqalbin saleem

Swahili
 
Isipo kuwa mwenye kumjia Mwenyezi Mungu na moyo safi.

Ayah  26:90  الأية
وَأُزْلِفَتِ الْجَنَّةُ لِلْمُتَّقِينَ
Waozlifati aljannatu lilmuttaqeen

Swahili
 
Na Pepo itasogezwa kwa wachamngu.

Ayah  26:91  الأية
وَبُرِّزَتِ الْجَحِيمُ لِلْغَاوِينَ
Waburrizati aljaheemu lilghaween

Swahili
 
Na Jahannamu itadhihirishwa kwa wapotovu.

Ayah  26:92  الأية
وَقِيلَ لَهُمْ أَيْنَ مَا كُنتُمْ تَعْبُدُونَ
Waqeela lahum ayna ma kuntumtaAAbudoon

Swahili
 
Na wataambiwa: Wako wapi mlio kuwa mkiwaabudu

Ayah  26:93  الأية
مِن دُونِ اللهِ هَلْ يَنصُرُونَكُمْ أَوْ يَنتَصِرُونَ
Min dooni Allahi hal yansuroonakumaw yantasiroon

Swahili
 
Badala ya Mwenyezi Mungu? Je! Wanakusaidieni, au wanajisaidia wenyewe?

Ayah  26:94  الأية
فَكُبْكِبُوا فِيهَا هُمْ وَالْغَاوُونَ
Fakubkiboo feeha hum walghawoon

Swahili
 
Basi watavurumizwa humo wao na hao wakosefu,

Ayah  26:95  الأية
وَجُنُودُ إِبْلِيسَ أَجْمَعُونَ
Wajunoodu ibleesa ajmaAAoon

Swahili
 
Na majeshi ya Ibilisi yote.

Ayah  26:96  الأية
قَالُوا وَهُمْ فِيهَا يَخْتَصِمُونَ
Qaloo wahum feeha yakhtasimoon

Swahili
 
Watasema, na hali ya kuwa wanazozana humo:

Ayah  26:97  الأية
تَاللهِ إِن كُنَّا لَفِي ضَلَالٍ مُّبِينٍ
Tallahi in kunna lafeedalalin mubeen

Swahili
 
Wallahi! Kwa yakini tulikuwa katika upotovu ulio dhaahiri,

Ayah  26:98  الأية
إِذْ نُسَوِّيكُم بِرَبِّ الْعَالَمِينَ
Ith nusawweekum birabbi alAAalameen

Swahili
 
Tulipo kufanyeni ni sawa na Mola Mlezi wa walimwengu wote.

Ayah  26:99  الأية
وَمَا أَضَلَّنَا إِلَّا الْمُجْرِمُونَ
Wama adallana illaalmujrimoon

Swahili
 
Na hawakutupoteza ila wale wakosefu.

Ayah  26:100  الأية
فَمَا لَنَا مِن شَافِعِينَ
Fama lana min shafiAAeen

Swahili
 
Basi hatuna waombezi.

Ayah  26:101  الأية
وَلَا صَدِيقٍ حَمِيمٍ
Wala sadeeqin hameem

Swahili
 
Wala rafiki wa dhati.

Ayah  26:102  الأية
فَلَوْ أَنَّ لَنَا كَرَّةً فَنَكُونَ مِنَ الْمُؤْمِنِينَ
Falaw anna lana karratan fanakoonamina almu/mineen

Swahili
 
Laiti tungeli pata kurejea tena tungeli kuwa katika Waumini.

Ayah  26:103  الأية
إِنَّ فِي ذَٰلِكَ لَآيَةً ۖ وَمَا كَانَ أَكْثَرُهُم مُّؤْمِنِينَ
Inna fee thalika laayatan wamakana aktharuhum mu/mineen

Swahili
 
Hakika katika haya ipo Ishara, lakini wengi wao hawakuwa wenye kuamini.

Ayah  26:104  الأية
وَإِنَّ رَبَّكَ لَهُوَ الْعَزِيزُ الرَّحِيمُ
Wa-inna rabbaka lahuwa alAAazeezu arraheem

Swahili
 
Na hakika Mola wako Mlezi ndiye Mwenye nguvu Mwenye kurehemu.

Ayah  26:105  الأية
كَذَّبَتْ قَوْمُ نُوحٍ الْمُرْسَلِينَ
Kaththabat qawmu noohinalmursaleen

Swahili
 
Kaumu ya Nuhu waliwakadhibisha Mitume.

Ayah  26:106  الأية
إِذْ قَالَ لَهُمْ أَخُوهُمْ نُوحٌ أَلَا تَتَّقُونَ
Ith qala lahum akhoohum noohunala tattaqoon

Swahili
 
Alipo waambia ndugu yao, Nuhu: Je! Hamchimngu?

Ayah  26:107  الأية
إِنِّي لَكُمْ رَسُولٌ أَمِينٌ
Innee lakum rasoolun ameen

Swahili
 
Hakika mimi kwenu ni Mtume muaminifu.

Ayah  26:108  الأية
فَاتَّقُوا اللهَ وَأَطِيعُونِ
Fattaqoo Allaha waateeAAoon

Swahili
 
Basi Mcheni Mwenyezi Mungu, na nit'iini mimi.

Ayah  26:109  الأية
وَمَا أَسْأَلُكُمْ عَلَيْهِ مِنْ أَجْرٍ ۖ إِنْ أَجْرِيَ إِلَّا عَلَىٰ رَبِّ الْعَالَمِينَ
Wama as-alukum AAalayhi min ajrin inajriya illa AAala rabbi alAAalameen

Swahili
 
Na sikutakini juu yake ujira, kwani ujira wangu hauko ila kwa Mola Mlezi wa walimwengu wote.

Ayah  26:110  الأية
فَاتَّقُوا اللهَ وَأَطِيعُونِ
Fattaqoo Allaha waateeAAoon

Swahili
 
Basi Mcheni Mwenyezi Mungu, na nit'iini mimi.

Ayah  26:111  الأية
قَالُوا أَنُؤْمِنُ لَكَ وَاتَّبَعَكَ الْأَرْذَلُونَ
Qaloo anu/minu laka wattabaAAakaal-arthaloon

Swahili
 
Wakasema: Je! Tukuamini wewe, hali wanao kufuata ni watu wa chini?

Ayah  26:112  الأية
قَالَ وَمَا عِلْمِي بِمَا كَانُوا يَعْمَلُونَ
Qala wama AAilmee bimakanoo yaAAmaloon

Swahili
 
Akasema: Nayajuaje waliyo kuwa wakiyafanya?

Ayah  26:113  الأية
إِنْ حِسَابُهُمْ إِلَّا عَلَىٰ رَبِّي ۖ لَوْ تَشْعُرُونَ
In hisabuhum illa AAalarabbee law tashAAuroon

Swahili
 
Hisabu yao haiko ila kwa Mola wao Mlezi, laiti mngeli tambua!

Ayah  26:114  الأية
وَمَا أَنَا بِطَارِدِ الْمُؤْمِنِينَ
Wama ana bitaridialmu/mineen

Swahili
 
Wala mimi si wa kuwafukuza Waumini.

Ayah  26:115  الأية
إِنْ أَنَا إِلَّا نَذِيرٌ مُّبِينٌ
In ana illa natheerunmubeen

Swahili
 
Mimi si cho chote ila ni Mwonyaji wa dhaahiri shaahiri.

Ayah  26:116  الأية
قَالُوا لَئِن لَّمْ تَنتَهِ يَا نُوحُ لَتَكُونَنَّ مِنَ الْمَرْجُومِينَ
Qaloo la-in lam tantahi yanoohu latakoonanna mina almarjoomeen

Swahili
 
Wakasema: Ikiwa huachi, ewe Nuhu, bila ya shaka utapigwa mawe.

Ayah  26:117  الأية
قَالَ رَبِّ إِنَّ قَوْمِي كَذَّبُونِ
Qala rabbi inna qawmee kaththaboon

Swahili
 
Akasema: Mola wangu Mlezi! Hakika watu wangu wamenikanusha.

Ayah  26:118  الأية
فَافْتَحْ بَيْنِي وَبَيْنَهُمْ فَتْحًا وَنَجِّنِي وَمَن مَّعِيَ مِنَ الْمُؤْمِنِينَ
Faftah baynee wabaynahum fathanwanajjinee waman maAAiya mina almu/mineen

Swahili
 
Basi hukumu baina yangu na wao kwa hukumu yako, na uniokoe mimi na walio pamoja nami, Waumini.

Ayah  26:119  الأية
فَأَنجَيْنَاهُ وَمَن مَّعَهُ فِي الْفُلْكِ الْمَشْحُونِ
Faanjaynahu waman maAAahu feealfulki almashhoon

Swahili
 
Kwa hivyo tukamwokoa yeye na walio kuwa pamoja naye katika marikebu iliyo sheheni.

Ayah  26:120  الأية
ثُمَّ أَغْرَقْنَا بَعْدُ الْبَاقِينَ
Thumma aghraqna baAAdu albaqeen

Swahili
 
Kisha tukawazamisha baadaye walio bakia.

Ayah  26:121  الأية
إِنَّ فِي ذَٰلِكَ لَآيَةً ۖ وَمَا كَانَ أَكْثَرُهُم مُّؤْمِنِينَ
Inna fee thalika laayatan wamakana aktharuhum mu/mineen

Swahili
 
Hakika katika haya ipo Ishara, lakini si wengi wao walio kuwa Waumini.

Ayah  26:122  الأية
وَإِنَّ رَبَّكَ لَهُوَ الْعَزِيزُ الرَّحِيمُ
Wa-inna rabbaka lahuwa alAAazeezu arraheem

Swahili
 
Na hakika Mola wako Mlezi ndiye Yeye Mwenye nguvu Mwenye kurehemu.

Ayah  26:123  الأية
كَذَّبَتْ عَادٌ الْمُرْسَلِينَ
Kaththabat AAadun almursaleen

Swahili
 
Kina A'd waliwakanusha Mitume.

Ayah  26:124  الأية
إِذْ قَالَ لَهُمْ أَخُوهُمْ هُودٌ أَلَا تَتَّقُونَ
Ith qala lahum akhoohumhoodun ala tattaqoon

Swahili
 
Alipo waambia ndugu yao, Hud: Je! Hamchimngu?

Ayah  26:125  الأية
إِنِّي لَكُمْ رَسُولٌ أَمِينٌ
Innee lakum rasoolun ameen

Swahili
 
Hakika mimi kwenu ni Mtume muaminifu.

Ayah  26:126  الأية
فَاتَّقُوا اللهَ وَأَطِيعُونِ
Fattaqoo Allaha waateeAAoon

Swahili
 
Basi mcheni Mwenyezi Mungu, na nit'iini mimi.

Ayah  26:127  الأية
وَمَا أَسْأَلُكُمْ عَلَيْهِ مِنْ أَجْرٍ ۖ إِنْ أَجْرِيَ إِلَّا عَلَىٰ رَبِّ الْعَالَمِينَ
Wama as-alukum AAalayhi min ajrin inajriya illa AAala rabbi alAAalameen

Swahili
 
Wala sikutakeni juu yake ujira, kwani ujira wangu hauko ila kwa Mola Mlezi wa walimwengu wote.

Ayah  26:128  الأية
أَتَبْنُونَ بِكُلِّ رِيعٍ آيَةً تَعْبَثُونَ
Atabnoona bikulli reeAAin ayatantaAAbathoon

Swahili
 
Je! Mnajenga juu ya kila mnyanyuko kumbusho la kufanyia upuuzi?

Ayah  26:129  الأية
وَتَتَّخِذُونَ مَصَانِعَ لَعَلَّكُمْ تَخْلُدُونَ
Watattakhithoona masaniAAalaAAallakum takhludoon

Swahili
 
Na mnajenga majengo ya fakhari kama kwamba mtaishi milele!

Ayah  26:130  الأية
وَإِذَا بَطَشْتُم بَطَشْتُمْ جَبَّارِينَ
Wa-itha batashtum batashtumjabbareen

Swahili
 
Na mnapo tumia nguvu mnatumia nguvu kwa ujabari.

Ayah  26:131  الأية
فَاتَّقُوا اللهَ وَأَطِيعُونِ
Fattaqoo Allaha waateeAAoon

Swahili
 
Basi mcheni Mwenyezi Mungu, na nit'iini.

Ayah  26:132  الأية
وَاتَّقُوا الَّذِي أَمَدَّكُم بِمَا تَعْلَمُونَ
Wattaqoo allathee amaddakumbima taAAlamoon

Swahili
 
Na mcheni aliye kupeni haya mnayo yajua.

Ayah  26:133  الأية
أَمَدَّكُم بِأَنْعَامٍ وَبَنِينَ
Amaddakum bi-anAAamin wabaneen

Swahili
 
Amekupeni wanyama wa kufuga na wana.

Ayah  26:134  الأية
وَجَنَّاتٍ وَعُيُونٍ
Wajannatin waAAuyoon

Swahili
 
Na mabustani na chemchem.

Ayah  26:135  الأية
إِنِّي أَخَافُ عَلَيْكُمْ عَذَابَ يَوْمٍ عَظِيمٍ
Innee akhafu AAalaykum AAathabayawmin AAatheem

Swahili
 
Hakika mimi ninakukhofieni adhabu ya Siku Kubwa.

Ayah  26:136  الأية
قَالُوا سَوَاءٌ عَلَيْنَا أَوَعَظْتَ أَمْ لَمْ تَكُن مِّنَ الْوَاعِظِينَ
Qaloo sawaon AAalaynaawaAAathta am lam takun mina alwaAAitheen

Swahili
 
Wakasema: Ni mamoja kwetu, ukitupa mawaidha au hukuwa miongoni mwa watoao mawaidha.

Ayah  26:137  الأية
إِنْ هَٰذَا إِلَّا خُلُقُ الْأَوَّلِينَ
In hatha illa khuluqual-awwaleen

Swahili
 
Haya si chochote ila ni mtindo wa watu wa tokea zamani.

Ayah  26:138  الأية
وَمَا نَحْنُ بِمُعَذَّبِينَ
Wama nahnu bimuAAaththabeen

Swahili
 
Wala sisi hatutaadhibiwa.

Ayah  26:139  الأية
فَكَذَّبُوهُ فَأَهْلَكْنَاهُمْ ۗ إِنَّ فِي ذَٰلِكَ لَآيَةً ۖ وَمَا كَانَ أَكْثَرُهُم مُّؤْمِنِينَ
Fakaththaboohu faahlaknahuminna fee thalika laayatan wama kanaaktharuhum mu/mineen

Swahili
 
Wakamkanusha; nasi tukawaangamiza. Hakika bila ya shaka katika haya ipo Ishara. Lakini hawakuwa wengi wao wenye kuamini.

Ayah  26:140  الأية
وَإِنَّ رَبَّكَ لَهُوَ الْعَزِيزُ الرَّحِيمُ
Wa-inna rabbaka lahuwa alAAazeezu arraheem

Swahili
 
Na hakika Mola wako Mlezi ndiye Mwenye nguvu Mwenye kurehemu.

Ayah  26:141  الأية
كَذَّبَتْ ثَمُودُ الْمُرْسَلِينَ
Kaththabat thamoodu almursaleen

Swahili
 
Kina Thamud waliwakanusha Mitume.

Ayah  26:142  الأية
إِذْ قَالَ لَهُمْ أَخُوهُمْ صَالِحٌ أَلَا تَتَّقُونَ
Ith qala lahum akhoohum salihunala tattaqoon

Swahili
 
Alipo waambia ndugu yao Saleh: Je! Hamumchimngu?

Ayah  26:143  الأية
إِنِّي لَكُمْ رَسُولٌ أَمِينٌ
Innee lakum rasoolun ameen

Swahili
 
Hakika mimi kwenu ni Mtume muaminifu.

Ayah  26:144  الأية
فَاتَّقُوا اللهَ وَأَطِيعُونِ
Fattaqoo Allaha waateeAAoon

Swahili
 
Basi mcheni Mwenyezi Mungu, na nit'iini.

Ayah  26:145  الأية
وَمَا أَسْأَلُكُمْ عَلَيْهِ مِنْ أَجْرٍ ۖ إِنْ أَجْرِيَ إِلَّا عَلَىٰ رَبِّ الْعَالَمِينَ
Wama as-alukum AAalayhi min ajrin inajriya illa AAala rabbi alAAalameen

Swahili
 
Wala sikutakini ujira juu yake. Ujira wangu hauko ila kwa Mola Mlezi wa walimwengu wote.

Ayah  26:146  الأية
أَتُتْرَكُونَ فِي مَا هَاهُنَا آمِنِينَ
Atutrakoona fee ma hahunaamineen

Swahili
 
Je! Mtaachwa salama usalimina katika haya yaliyopo hapa?

Ayah  26:147  الأية
فِي جَنَّاتٍ وَعُيُونٍ
Fee jannatin waAAuyoon

Swahili
 
Katika mabustani, na chemchem?

Ayah  26:148  الأية
وَزُرُوعٍ وَنَخْلٍ طَلْعُهَا هَضِيمٌ
WazurooAAin wanakhlin talAAuhahadeem

Swahili
 
Na konde na mitende yenye makole yaliyo wiva.

Ayah  26:149  الأية
وَتَنْحِتُونَ مِنَ الْجِبَالِ بُيُوتًا فَارِهِينَ
Watanhitoona mina aljibalibuyootan fariheen

Swahili
 
Na mnachonga milimani majumba kwa ustadi.

Ayah  26:150  الأية
فَاتَّقُوا اللهَ وَأَطِيعُونِ
Fattaqoo Allaha waateeAAoon

Swahili
 
Basi mcheni Mwenyezi Mungu, na nit'iini mimi.

Ayah  26:151  الأية
وَلَا تُطِيعُوا أَمْرَ الْمُسْرِفِينَ
Wala tuteeAAoo amraalmusrifeen

Swahili
 
Wala msit'ii amri za walio pindukia mipaka,

Ayah  26:152  الأية
الَّذِينَ يُفْسِدُونَ فِي الْأَرْضِ وَلَا يُصْلِحُونَ
Allatheena yufsidoona fee al-ardiwala yuslihoon

Swahili
 
Ambao wanafanya ufisadi katika nchi, wala hawatengenezi.

Ayah  26:153  الأية
قَالُوا إِنَّمَا أَنتَ مِنَ الْمُسَحَّرِينَ
Qaloo innama anta mina almusahhareen

Swahili
 
Wakasema: Hakika wewe ni miongoni mwa walio rogwa.

Ayah  26:154  الأية
مَا أَنتَ إِلَّا بَشَرٌ مِّثْلُنَا فَأْتِ بِآيَةٍ إِن كُنتَ مِنَ الصَّادِقِينَ
Ma anta illa basharun mithlunafa/ti bi-ayatin in kunta mina assadiqeena

Swahili
 
Wewe si chochote ila ni mtu kama sisi. Basi lete Ishara ukiwa wewe ni miongoni mwa wasemao kweli.

Ayah  26:155  الأية
قَالَ هَٰذِهِ نَاقَةٌ لَّهَا شِرْبٌ وَلَكُمْ شِرْبُ يَوْمٍ مَّعْلُومٍ
Qala hathihi naqatunlaha shirbun walakum shirbu yawmin maAAloom

Swahili
 
Akasema: Huyu ngamia jike; awe na zamu yake ya kunywa, na nyinyi muwe na zamu yenu ya kunywa katika siku maalumu.

Ayah  26:156  الأية
وَلَا تَمَسُّوهَا بِسُوءٍ فَيَأْخُذَكُمْ عَذَابُ يَوْمٍ عَظِيمٍ
Wala tamassooha bisoo-infaya/khuthakum AAathabu yawmin AAatheem

Swahili
 
Wala msimguse kwa uwovu, isije ikakushikeni adhabu ya Siku Kubwa.

Ayah  26:157  الأية
فَعَقَرُوهَا فَأَصْبَحُوا نَادِمِينَ
FaAAaqarooha faasbahoonadimeen

Swahili
 
Lakini wakamuuwa, na wakawa wenye kujuta.

Ayah  26:158  الأية
فَأَخَذَهُمُ الْعَذَابُ ۗ إِنَّ فِي ذَٰلِكَ لَآيَةً ۖ وَمَا كَانَ أَكْثَرُهُم مُّؤْمِنِينَ
Faakhathahumu alAAathabu innafee thalika laayatan wama kanaaktharuhum mu/mineen

Swahili
 
Basi ikawapata adhabu. Hakika katika hayo ipo Ishara. Lakini hawakuwa wengi wao wenye kuamini.

Ayah  26:159  الأية
وَإِنَّ رَبَّكَ لَهُوَ الْعَزِيزُ الرَّحِيمُ
Wa-inna rabbaka lahuwa alAAazeezu arraheem

Swahili
 
Na hakika Mola wako Mlezi ndiye Mwenye nguvu Mwenye kurehemu.

Ayah  26:160  الأية
كَذَّبَتْ قَوْمُ لُوطٍ الْمُرْسَلِينَ
Kaththabat qawmu lootinalmursaleen

Swahili
 
Watu wa Lut'i waliwakanusha Mitume.

Ayah  26:161  الأية
إِذْ قَالَ لَهُمْ أَخُوهُمْ لُوطٌ أَلَا تَتَّقُونَ
Ith qala lahum akhoohum lootunala tattaqoon

Swahili
 
Alipo waambia ndugu yao, Lut'i: Je! Hamumchimngu?

Ayah  26:162  الأية
إِنِّي لَكُمْ رَسُولٌ أَمِينٌ
Innee lakum rasoolun ameen

Swahili
 
Hakika mimi kwenu ni Mtume muaminifu kwenu.

Ayah  26:163  الأية
فَاتَّقُوا اللهَ وَأَطِيعُونِ
Fattaqoo Allaha waateeAAoon

Swahili
 
Basi mcheni Mwenyezi Mungu na nit'iini mimi.

Ayah  26:164  الأية
وَمَا أَسْأَلُكُمْ عَلَيْهِ مِنْ أَجْرٍ ۖ إِنْ أَجْرِيَ إِلَّا عَلَىٰ رَبِّ الْعَالَمِينَ
Wama as-alukum AAalayhi min ajrin inajriya illa AAala rabbi alAAalameen

Swahili
 
Wala mimi sikutakini ujira juu yake; ujira wangu hauko ila kwa Mola Mlezi wa walimwengu wote.

Ayah  26:165  الأية
أَتَأْتُونَ الذُّكْرَانَ مِنَ الْعَالَمِينَ
Ata/toona aththukranamina alAAalameen

Swahili
 
Je! Katika viumbe vyote mnawaingilia wanaume?

Ayah  26:166  الأية
وَتَذَرُونَ مَا خَلَقَ لَكُمْ رَبُّكُم مِّنْ أَزْوَاجِكُم ۚ بَلْ أَنتُمْ قَوْمٌ عَادُونَ
Watatharoona ma khalaqa lakumrabbukum min azwajikum bal antum qawmun AAadoon

Swahili
 
Na mnaacha alicho kuumbieni Mola wenu Mlezi katika wake zenu? Ama kweli nyinyi ni watu mnao ruka mipaka!

Ayah  26:167  الأية
قَالُوا لَئِن لَّمْ تَنتَهِ يَا لُوطُ لَتَكُونَنَّ مِنَ الْمُخْرَجِينَ
Qaloo la-in lam tantahi yalootu latakoonanna mina almukhrajeen

Swahili
 
Wakasema: Ewe Lut'i! Usipo acha, hapana shaka utakuwa miongoni mwa wanao tolewa mji!

Ayah  26:168  الأية
قَالَ إِنِّي لِعَمَلِكُم مِّنَ الْقَالِينَ
Qala innee liAAamalikum mina alqaleen

Swahili
 
Akasema: Hakika mimi ni katika wanao kichukia hichi kitendo chenu.

Ayah  26:169  الأية
رَبِّ نَجِّنِي وَأَهْلِي مِمَّا يَعْمَلُونَ
Rabbi najjinee waahlee mimmayaAAmaloon

Swahili
 
Mola wangu Mlezi! Niokoe mimi na ahali zangu na haya wayatendayo.

Ayah  26:170  الأية
فَنَجَّيْنَاهُ وَأَهْلَهُ أَجْمَعِينَ
Fanajjaynahu waahlahu ajmaAAeen

Swahili
 
Basi tukamwokoa yeye na ahali zake wote,

Ayah  26:171  الأية
إِلَّا عَجُوزًا فِي الْغَابِرِينَ
Illa AAajoozan fee alghabireen

Swahili
 
Isipo kuwa kikongwe katika walio kaa nyuma.

Ayah  26:172  الأية
ثُمَّ دَمَّرْنَا الْآخَرِينَ
Thumma dammarna al-akhareen

Swahili
 
Kisha tukawaangamiza wale wengine.

Ayah  26:173  الأية
وَأَمْطَرْنَا عَلَيْهِم مَّطَرًا ۖ فَسَاءَ مَطَرُ الْمُنذَرِينَ
Waamtarna AAalayhim mataranfasaa mataru almunthareen

Swahili
 
Na tukawanyeshea mvua, basi ni ovu mno mvua ya waliyo onywa.

Ayah  26:174  الأية
إِنَّ فِي ذَٰلِكَ لَآيَةً ۖ وَمَا كَانَ أَكْثَرُهُم مُّؤْمِنِينَ
Inna fee thalika laayatan wamakana aktharuhum mu/mineen

Swahili
 
Hakika katika hayo ipo Ishara. Na hawakuwa wengi wao wenye kuamini.

Ayah  26:175  الأية
وَإِنَّ رَبَّكَ لَهُوَ الْعَزِيزُ الرَّحِيمُ
Wa-inna rabbaka lahuwa alAAazeezu arraheem

Swahili
 
Na hakika Mola wako Mlezi bila ya shaka ndiye Mwenye nguvu, Mwenye kurehemu.

Ayah  26:176  الأية
كَذَّبَ أَصْحَابُ الْأَيْكَةِ الْمُرْسَلِينَ
Kaththaba as-habual-aykati almursaleen

Swahili
 
Watu wa Machakani waliwakanusha Mitume.

Ayah  26:177  الأية
إِذْ قَالَ لَهُمْ شُعَيْبٌ أَلَا تَتَّقُونَ
Ith qala lahum shuAAaybun alatattaqoon

Swahili
 
Shuaibu alipo waambia: Je! Hamfanyi mkamchamngu?

Ayah  26:178  الأية
إِنِّي لَكُمْ رَسُولٌ أَمِينٌ
Innee lakum rasoolun ameen

Swahili
 
Hakika mimi kwenu ni Mtume muaminifu.

Ayah  26:179  الأية
فَاتَّقُوا اللهَ وَأَطِيعُونِ
Fattaqoo Allaha waateeAAoon

Swahili
 
Basi mcheni Mwenyezi Mungu, na nit'iini mimi.

Ayah  26:180  الأية
وَمَا أَسْأَلُكُمْ عَلَيْهِ مِنْ أَجْرٍ ۖ إِنْ أَجْرِيَ إِلَّا عَلَىٰ رَبِّ الْعَالَمِينَ
Wama as-alukum AAalayhi min ajrin inajriya illa AAala rabbi alAAalameen

Swahili
 
Wala sikutakini ujira juu yake. Ujira wangu hauko ila kwa Mola Mlezi wa walimwengu wote.

Ayah  26:181  الأية
أَوْفُوا الْكَيْلَ وَلَا تَكُونُوا مِنَ الْمُخْسِرِينَ
Awfoo alkayla wala takoonoo minaalmukhsireen

Swahili
 
Timizeni kipimo sawa sawa, wala msiwe katika wanao punja.

Ayah  26:182  الأية
وَزِنُوا بِالْقِسْطَاسِ الْمُسْتَقِيمِ
Wazinoo bilqistasialmustaqeem

Swahili
 
Na pimeni kwa haki iliyo nyooka;

Ayah  26:183  الأية
وَلَا تَبْخَسُوا النَّاسَ أَشْيَاءَهُمْ وَلَا تَعْثَوْا فِي الْأَرْضِ مُفْسِدِينَ
Wala tabkhasoo annasaashyaahum wala taAAthaw fee al-ardimufsideen

Swahili
 
Wala msiwapunje watu vitu vyao, wala msifanye jeuri kwa ufisadi.

Ayah  26:184  الأية
وَاتَّقُوا الَّذِي خَلَقَكُمْ وَالْجِبِلَّةَ الْأَوَّلِينَ
Wattaqoo allathee khalaqakumwaljibillata al-awwaleen

Swahili
 
Na mcheni aliye kuumbeni nyinyi na vizazi vilivyo tangulia.

Ayah  26:185  الأية
قَالُوا إِنَّمَا أَنتَ مِنَ الْمُسَحَّرِينَ
Qaloo innama anta mina almusahhareen

Swahili
 
Wakasema: Hakika wewe ni katika walio rogwa.

Ayah  26:186  الأية
وَمَا أَنتَ إِلَّا بَشَرٌ مِّثْلُنَا وَإِن نَّظُنُّكَ لَمِنَ الْكَاذِبِينَ
Wama anta illa basharunmithluna wa-in nathunnuka lamina alkathibeen

Swahili
 
Na wewe si chochote ila ni mtu tu kama sisi, na kwa yakini tunakuona wewe ni katika waongo.

Ayah  26:187  الأية
فَأَسْقِطْ عَلَيْنَا كِسَفًا مِّنَ السَّمَاءِ إِن كُنتَ مِنَ الصَّادِقِينَ
Faasqit AAalayna kisafan minaassama-i in kunta mina assadiqeen

Swahili
 
Hebu tuangushie vipande kutoka mbinguni ikiwa wewe ni miongoni mwa wasemao kweli.

Ayah  26:188  الأية
قَالَ رَبِّي أَعْلَمُ بِمَا تَعْمَلُونَ
Qala rabbee aAAlamu bimataAAmaloon

Swahili
 
Akasema: Mola wangu Mlezi anajua zaidi mnayo yatenda.

Ayah  26:189  الأية
فَكَذَّبُوهُ فَأَخَذَهُمْ عَذَابُ يَوْمِ الظُّلَّةِ ۚ إِنَّهُ كَانَ عَذَابَ يَوْمٍ عَظِيمٍ
Fakaththaboohu faakhathahumAAathabu yawmi aththullati innahu kanaAAathaba yawmin AAatheem

Swahili
 
Basi walimkanusha, na ikawashika adhabu ya siku ya kivuli. Hakika hiyo ilikuwa adhabu ya siku kubwa.

Ayah  26:190  الأية
إِنَّ فِي ذَٰلِكَ لَآيَةً ۖ وَمَا كَانَ أَكْثَرُهُم مُّؤْمِنِينَ
Inna fee thalika laayatan wamakana aktharuhum mu/mineen

Swahili
 
Hakika katika hayo ipo Ishara, lakini hawakuwa wengi wao wenye kuamini.

Ayah  26:191  الأية
وَإِنَّ رَبَّكَ لَهُوَ الْعَزِيزُ الرَّحِيمُ
Wa-inna rabbaka lahuwa alAAazeezu arraheem

Swahili
 
Na hakika Mola wako Mlezi bila ya shaka ndiye Yeye Mwenye nguvu Mwenye kurehemu.

Ayah  26:192  الأية
وَإِنَّهُ لَتَنزِيلُ رَبِّ الْعَالَمِينَ
Wa-innahu latanzeelu rabbi alAAalameen

Swahili
 
Na bila ya shaka hii ni Uteremsho wa Mola Mlezi wa walimwengu wote.

Ayah  26:193  الأية
نَزَلَ بِهِ الرُّوحُ الْأَمِينُ
Nazala bihi arroohu al-ameen

Swahili
 
Ameuteremsha Roho muaminifu,

Ayah  26:194  الأية
عَلَىٰ قَلْبِكَ لِتَكُونَ مِنَ الْمُنذِرِينَ
AAala qalbika litakoona mina almunthireen

Swahili
 
Juu ya moyo wako, ili uwe katika Waonyaji,

Ayah  26:195  الأية
بِلِسَانٍ عَرَبِيٍّ مُّبِينٍ
Bilisanin AAarabiyyin mubeen

Swahili
 
Kwa ulimi wa Kiarabu ulio wazi.

Ayah  26:196  الأية
وَإِنَّهُ لَفِي زُبُرِ الْأَوَّلِينَ
Wa-innahu lafee zuburi al-awwaleen

Swahili
 
Na hakika bila ya shaka haya yamo katika Vitabu vya kale.

Ayah  26:197  الأية
أَوَلَمْ يَكُن لَّهُمْ آيَةً أَن يَعْلَمَهُ عُلَمَاءُ بَنِي إِسْرَائِيلَ
Awa lam yakun lahum ayatan anyaAAlamahu AAulamao banee isra-eel

Swahili
 
Je! Haikuwa kwao ni Ishara kwamba wanayajua haya wanazuoni wa Wana wa Israili?

Ayah  26:198  الأية
وَلَوْ نَزَّلْنَاهُ عَلَىٰ بَعْضِ الْأَعْجَمِينَ
Walaw nazzalnahu AAala baAAdial-aAAjameen

Swahili
 
Na lau kuwa tungeli iteremsha juu ya mmoja wa wasio kuwa Waarabu,

Ayah  26:199  الأية
فَقَرَأَهُ عَلَيْهِم مَّا كَانُوا بِهِ مُؤْمِنِينَ
Faqaraahu AAalayhim ma kanoobihi mu/mineen

Swahili
 
Na akawasomea, wasingeli kuwa wenye kuamini.

Ayah  26:200  الأية
كَذَٰلِكَ سَلَكْنَاهُ فِي قُلُوبِ الْمُجْرِمِينَ
Kathalika salaknahu feequloobi almujrimeen

Swahili
 
Namna hivi tunaingiza katika nyoyo za wakosefu.

Ayah  26:201  الأية
لَا يُؤْمِنُونَ بِهِ حَتَّىٰ يَرَوُا الْعَذَابَ الْأَلِيمَ
La yu/minoona bihi hattayarawoo alAAathaba al-aleem

Swahili
 
Hawataiamini mpaka waione adhabu chungu.

Ayah  26:202  الأية
فَيَأْتِيَهُم بَغْتَةً وَهُمْ لَا يَشْعُرُونَ
Faya/tiyahum baghtatan wahum layashAAuroon

Swahili
 
Basi itawafikia kwa ghafla, na hali hawana khabari.

Ayah  26:203  الأية
فَيَقُولُوا هَلْ نَحْنُ مُنظَرُونَ
Fayaqooloo hal nahnu muntharoon

Swahili
 
Na watasema: Je, tutapewa muhula?

Ayah  26:204  الأية
أَفَبِعَذَابِنَا يَسْتَعْجِلُونَ
AfabiAAathabina yastaAAjiloon

Swahili
 
Basi, je, wanaihimiza adhabu yetu?

Ayah  26:205  الأية
أَفَرَأَيْتَ إِن مَّتَّعْنَاهُمْ سِنِينَ
Afaraayta in mattaAAnahum sineen

Swahili
 
Waonaje kama tukiwastarehesha kwa miaka,

Ayah  26:206  الأية
ثُمَّ جَاءَهُم مَّا كَانُوا يُوعَدُونَ
Thumma jaahum ma kanooyooAAadoon

Swahili
 
Kisha yakawafikia waliyo kuwa wakiahidiwa,

Ayah  26:207  الأية
مَا أَغْنَىٰ عَنْهُم مَّا كَانُوا يُمَتَّعُونَ
Ma aghna AAanhum ma kanooyumattaAAoon

Swahili
 
Yatawafaa nini yale waliyo stareheshewa?

Ayah  26:208  الأية
وَمَا أَهْلَكْنَا مِن قَرْيَةٍ إِلَّا لَهَا مُنذِرُونَ
Wama ahlakna min qaryatin illalaha munthiroon

Swahili
 
Wala hatukuangamiza mji wo wote ila ulikuwa na waonyaji -

Ayah  26:209  الأية
ذِكْرَىٰ وَمَا كُنَّا ظَالِمِينَ
Thikra wama kunnathalimeen

Swahili
 
Kuwa ni ukumbusho. Wala Sisi hatukuwa wenye kudhulumu.

Ayah  26:210  الأية
وَمَا تَنَزَّلَتْ بِهِ الشَّيَاطِينُ
Wama tanazzalat bihi ashshayateen

Swahili
 
Wala Mashet'ani hawakuteremka nayo,

Ayah  26:211  الأية
وَمَا يَنبَغِي لَهُمْ وَمَا يَسْتَطِيعُونَ
Wama yanbaghee lahum wamayastateeAAoon

Swahili
 
Wala haitakiwi kwao, na wala hawawezi.

Ayah  26:212  الأية
إِنَّهُمْ عَنِ السَّمْعِ لَمَعْزُولُونَ
Innahum AAani assamAAilamaAAzooloona

Swahili
 
Hakika hao wametengwa na kusikia.

Ayah  26:213  الأية
فَلَا تَدْعُ مَعَ اللهِ إِلَٰهًا آخَرَ فَتَكُونَ مِنَ الْمُعَذَّبِينَ
Fala tadAAu maAAa Allahi ilahanakhara fatakoona mina almuAAaththabeen

Swahili
 
Basi usimwombe mungu mwingine pamoja na Mwenyezi Mungu ukawa miongoni mwa watakao adhibiwa.

Ayah  26:214  الأية
وَأَنذِرْ عَشِيرَتَكَ الْأَقْرَبِينَ
Waanthir AAasheerataka al-aqrabeen

Swahili
 
Na uwaonye jamaa zako walio karibu nawe.

Ayah  26:215  الأية
وَاخْفِضْ جَنَاحَكَ لِمَنِ اتَّبَعَكَ مِنَ الْمُؤْمِنِينَ
Wakhfid janahakalimani ittabaAAaka mina almu/mineen

Swahili
 
Na watwae kwa upole wanao kufuata miongoni mwa Waumini.

Ayah  26:216  الأية
فَإِنْ عَصَوْكَ فَقُلْ إِنِّي بَرِيءٌ مِّمَّا تَعْمَلُونَ
Fa-in AAasawka faqul innee baree-onmimma taAAmaloon

Swahili
 
Na ikiwa watakuasi basi sema: Mimi najitenga mbali na hayo mnayo yatenda.

Ayah  26:217  الأية
وَتَوَكَّلْ عَلَى الْعَزِيزِ الرَّحِيمِ
Watawakkal AAala alAAazeezi arraheem

Swahili
 
Na umtegemee Mtukufu Mwenye nguvu Mwenye kurehemu.

Ayah  26:218  الأية
الَّذِي يَرَاكَ حِينَ تَقُومُ
Allathee yaraka heenataqoom

Swahili
 
Ambaye anakuona unapo simama,

Ayah  26:219  الأية
وَتَقَلُّبَكَ فِي السَّاجِدِينَ
Wataqallubaka fee assajideen

Swahili
 
Na mageuko yako kati ya wanao sujudu.

Ayah  26:220  الأية
إِنَّهُ هُوَ السَّمِيعُ الْعَلِيمُ
Innahu huwa assameeAAu alAAaleem

Swahili
 
Hakika Yeye ndiye Mwenye kusikia Mwenye kujua.

Ayah  26:221  الأية
هَلْ أُنَبِّئُكُمْ عَلَىٰ مَن تَنَزَّلُ الشَّيَاطِينُ
Hal onabbi-okum AAala man tanazzaluashshayateen

Swahili
 
Je! Nikwambieni nani wanawashukia Mashet'ani?

Ayah  26:222  الأية
تَنَزَّلُ عَلَىٰ كُلِّ أَفَّاكٍ أَثِيمٍ
Tanazzalu AAala kulli affakinatheem

Swahili
 
Wanamshukia kila mzushi mkubwa mwingi wa dhambi.

Ayah  26:223  الأية
يُلْقُونَ السَّمْعَ وَأَكْثَرُهُمْ كَاذِبُونَ
Yulqoona assamAAa waaktharuhum kathiboon

Swahili
 
Wanawapelekea yale wanayo yasikia; na wengi wao ni waongo.

Ayah  26:224  الأية
وَالشُّعَرَاءُ يَتَّبِعُهُمُ الْغَاوُونَ
WashshuAAaraoyattabiAAuhumu alghawoon

Swahili
 
Na watungaji mashairi ni wapotofu ndio wanawafuata.

Ayah  26:225  الأية
أَلَمْ تَرَ أَنَّهُمْ فِي كُلِّ وَادٍ يَهِيمُونَ
Alam tara annahum fee kulli wadinyaheemoon

Swahili
 
Je! Huwaoni kwamba wao wanatangatanga katika kila bonde?

Ayah  26:226  الأية
وَأَنَّهُمْ يَقُولُونَ مَا لَا يَفْعَلُونَ
Waannahum yaqooloona ma layafAAaloon

Swahili
 
Na kwamba wao husema wasiyo yatenda?

Ayah  26:227  الأية
إِلَّا الَّذِينَ آمَنُوا وَعَمِلُوا الصَّالِحَاتِ وَذَكَرُوا اللهَ كَثِيرًا وَانتَصَرُوا مِن بَعْدِ مَا ظُلِمُوا ۗ وَسَيَعْلَمُ الَّذِينَ ظَلَمُوا أَيَّ مُنقَلَبٍ يَنقَلِبُونَ
Illa allatheena amanoowaAAamiloo assalihati wathakaroo Allahakatheeran wantasaroo min baAAdi ma thulimoowasayaAAlamu allatheena thalamoo ayyamunqalabin yanqaliboon

Swahili
 
Isipo kuwa wale walio amini, na wakatenda mema, na wakamkumbuka Mwenyezi Mungu kwa wingi, na wakajitetea wanapo dhulumiwa. Na wanao dhulumu watakuja jua mgeuko gani watakao geuka.
 


© EsinIslam.Com Designed & produced by The Awqaf London. Please pray for us