الأية
الرَّحْمَٰنُ
Arrahman
Swahili
Arrah'man, Mwingi wa Rehema
|
Ayah 55:2 الأية
عَلَّمَ الْقُرْآنَ
AAallama alqur-an
Swahili
Amefundisha Qur'ani.
|
Ayah 55:3 الأية
خَلَقَ الْإِنسَانَ
Khalaqa al-insan
Swahili
Amemuumba mwanaadamu,
|
Ayah 55:4 الأية
عَلَّمَهُ الْبَيَانَ
AAallamahu albayan
Swahili
Akamfundisha kubaini.
|
Ayah 55:5 الأية
الشَّمْسُ وَالْقَمَرُ بِحُسْبَانٍ
Ashshamsu walqamaru bihusban
Swahili
Jua na mwezi huenda kwa hisabu.
|
Ayah 55:6 الأية
وَالنَّجْمُ وَالشَّجَرُ يَسْجُدَانِ
Wannajmu washshajaru yasjudan
Swahili
Na mimea yenye kutambaa, na miti, inanyenyekea.
|
Ayah 55:7 الأية
وَالسَّمَاءَ رَفَعَهَا وَوَضَعَ الْمِيزَانَ
Wassamaa rafaAAahawawadaAAa almeezan
Swahili
Na mbingu ameziinua, na ameweka mizani,
|
Ayah 55:8 الأية
أَلَّا تَطْغَوْا فِي الْمِيزَانِ
Alla tatghaw fee almeezan
Swahili
Ili msidhulumu katika mizani.
|
Ayah 55:9 الأية
وَأَقِيمُوا الْوَزْنَ بِالْقِسْطِ وَلَا تُخْسِرُوا الْمِيزَانَ
Waaqeemoo alwazna bilqisti walatukhsiroo almeezan
Swahili
Na wekeni mizani kwa haki, wala msipunje katika mizani.
|
Ayah 55:10 الأية
وَالْأَرْضَ وَضَعَهَا لِلْأَنَامِ
Wal-arda wadaAAahalil-anam
Swahili
Na ardhi ameiweka kwa ajili ya viumbe.
|
Ayah 55:11 الأية
فِيهَا فَاكِهَةٌ وَالنَّخْلُ ذَاتُ الْأَكْمَامِ
Feeha fakihatun wannakhluthatu al-akmam
Swahili
Humo yamo matunda na mitende yenye mafumba.
|
Ayah 55:12 الأية
وَالْحَبُّ ذُو الْعَصْفِ وَالرَّيْحَانُ
Walhabbu thoo alAAasfiwarrayhan
Swahili
Na nafaka zenye makapi, na rehani.
|
Ayah 55:13 الأية
فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Fabi-ayyi ala-i rabbikumatukaththiban
Swahili
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha
|
Ayah 55:14 الأية
خَلَقَ الْإِنسَانَ مِن صَلْصَالٍ كَالْفَخَّارِ
Khalaqa al-insana min salsalinkalfakhkhar
Swahili
Amemuumba mtu kwa udongo wa kinamo..
|
Ayah 55:15 الأية
وَخَلَقَ الْجَانَّ مِن مَّارِجٍ مِّن نَّارٍ
Wakhalaqa aljanna min marijinmin nar
Swahili
Na akawaumba majini kwa ulimi wa moto.
|
Ayah 55:16 الأية
فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Fabi-ayyi ala-i rabbikumatukaththiban
Swahili
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha
|
Ayah 55:17 الأية
رَبُّ الْمَشْرِقَيْنِ وَرَبُّ الْمَغْرِبَيْنِ
Rabbu almashriqayni warabbu almaghribayn
Swahili
Mola Mlezi wa mashariki mbili na wa magharibi mbili.
|
Ayah 55:18 الأية
فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Fabi-ayyi ala-i rabbikumatukaththiban
Swahili
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
|
Ayah 55:19 الأية
مَرَجَ الْبَحْرَيْنِ يَلْتَقِيَانِ
Maraja albahrayni yaltaqiyan
Swahili
Anaziendesha bahari mbili zikutane;
|
Ayah 55:20 الأية
بَيْنَهُمَا بَرْزَخٌ لَّا يَبْغِيَانِ
Baynahuma barzakhun la yabghiyan
Swahili
Baina yao kipo kizuizi, zisiingiliane.
|
Ayah 55:21 الأية
فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Fabi-ayyi ala-i rabbikumatukaththiban
Swahili
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
|
Ayah 55:22 الأية
يَخْرُجُ مِنْهُمَا اللُّؤْلُؤُ وَالْمَرْجَانُ
Yakhruju minhuma allu/luo walmarjan
Swahili
Katika hizo bahari mbili zinatoka lulu na marijani.
|
Ayah 55:23 الأية
فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Fabi-ayyi ala-i rabbikumatukaththibani
Swahili
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
|
Ayah 55:24 الأية
وَلَهُ الْجَوَارِ الْمُنشَآتُ فِي الْبَحْرِ كَالْأَعْلَامِ
Walahu aljawari almunshaatufee albahri kal-aAAlam
Swahili
Na ni vyake Yeye hivi viendavyo baharini vilivyo undwa kama vilima.
|
Ayah 55:25 الأية
فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Fabi-ayyi ala-i rabbikumatukaththiban
Swahili
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
|
Ayah 55:26 الأية
كُلُّ مَنْ عَلَيْهَا فَانٍ
Kullu man AAalayha fan
Swahili
Kila kilioko juu yake kitatoweka.
|
Ayah 55:27 الأية
وَيَبْقَىٰ وَجْهُ رَبِّكَ ذُو الْجَلَالِ وَالْإِكْرَامِ
Wayabqa wajhu rabbika thooaljalali wal-ikram
Swahili
Na atabakia Mwenyewe Mola wako Mlezi Mwenye utukufu na ukarimu.
|
Ayah 55:28 الأية
فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Fabi-ayyi ala-i rabbikumatukaththiban
Swahili
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
|
Ayah 55:29 الأية
يَسْأَلُهُ مَن فِي السَّمَاوَاتِ وَالْأَرْضِ ۚ كُلَّ يَوْمٍ هُوَ فِي شَأْنٍ
Yas-aluhu man fee assamawatiwal-ardi kulla yawmin huwa fee sha/n
Swahili
Vinamwomba Yeye vilivyomo katika mbingu na ardhi. Kila siku Yeye yumo katika
mambo.
|
Ayah 55:30 الأية
فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Fabi-ayyi ala-i rabbikumatukaththiban
Swahili
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
|
Ayah 55:31 الأية
سَنَفْرُغُ لَكُمْ أَيُّهَ الثَّقَلَانِ
Sanafrughu lakum ayyuha aththaqalan
Swahili
Tutakuhisabuni enyi makundi mawili.
|
Ayah 55:32 الأية
فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Fabi-ayyi ala-i rabbikumatukaththiban
Swahili
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
|
Ayah 55:33 الأية
يَا مَعْشَرَ الْجِنِّ وَالْإِنسِ إِنِ اسْتَطَعْتُمْ أَن تَنفُذُوا مِنْ أَقْطَارِ
السَّمَاوَاتِ وَالْأَرْضِ فَانفُذُوا ۚ لَا تَنفُذُونَ إِلَّا بِسُلْطَانٍ
Ya maAAshara aljinni wal-insiini istataAAtum an tanfuthoo min aqtari
assamawatiwal-ardi fanfuthoo la tanfuthoonailla bisultan
Swahili
Enyi makundi ya majini na watu! Mkiweza kupenya kwenye mbingu na ardhi, basi
penyeni! Hamtapenya ila kwa kupewa madaraka.
|
Ayah 55:34 الأية
فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Fabi-ayyi ala-i rabbikumatukaththiban
Swahili
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
|
Ayah 55:35 الأية
يُرْسَلُ عَلَيْكُمَا شُوَاظٌ مِّن نَّارٍ وَنُحَاسٌ فَلَا تَنتَصِرَانِ
Yursalu AAalaykuma shuwathunmin narin wanuhasun fala tantasiran
Swahili
Mtapelekewa muwako wa moto na shaba; wala hamtashinda.
|
Ayah 55:36 الأية
فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Fabi-ayyi ala-i rabbikumatukaththiban
Swahili
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
|
Ayah 55:37 الأية
فَإِذَا انشَقَّتِ السَّمَاءُ فَكَانَتْ وَرْدَةً كَالدِّهَانِ
Fa-itha inshaqqati assamaofakanat wardatan kaddihan
Swahili
Itakapo pasuka mbingu ikawa nyekundu kama mafuta.
|
Ayah 55:38 الأية
فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Fabi-ayyi ala-i rabbikumatukaththiban
Swahili
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
|
Ayah 55:39 الأية
فَيَوْمَئِذٍ لَّا يُسْأَلُ عَن ذَنبِهِ إِنسٌ وَلَا جَانٌّ
Fayawma-ithin la yus-alu AAan thanbihiinsun wala jan
Swahili
Siku hiyo hataulizwa dhambi zake mtu wala jini.
|
Ayah 55:40 الأية
فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Fabi-ayyi ala-i rabbikumatukaththiban
Swahili
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
|
Ayah 55:41 الأية
يُعْرَفُ الْمُجْرِمُونَ بِسِيمَاهُمْ فَيُؤْخَذُ بِالنَّوَاصِي وَالْأَقْدَامِ
YuAArafu almujrimoona biseemahumfayu/khathu binnawasee wal-aqdam
Swahili
Watajuulikana wakosefu kwa alama zao, basi watashikwa kwa nywele zao za utosini
na kwa miguu.
|
Ayah 55:42 الأية
فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Fabi-ayyi ala-i rabbikumatukaththiban
Swahili
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
|
Ayah 55:43 الأية
هَٰذِهِ جَهَنَّمُ الَّتِي يُكَذِّبُ بِهَا الْمُجْرِمُونَ
Hathihi jahannamu allatee yukaththibubiha almujrimoon
Swahili
Hii ndiyo Jahannamu ambayo wakosefu wakiikanusha.
|
Ayah 55:44 الأية
يَطُوفُونَ بَيْنَهَا وَبَيْنَ حَمِيمٍ آنٍ
Yatoofoona baynaha wabayna hameeminan
Swahili
Watakuwa wakizunguka baina ya hiyo na maji ya moto yanayo chemka.
|
Ayah 55:45 الأية
فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Fabi-ayyi ala-i rabbikumatukaththiban
Swahili
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
|
Ayah 55:46 الأية
وَلِمَنْ خَافَ مَقَامَ رَبِّهِ جَنَّتَانِ
Waliman khafa maqama rabbihijannatan
Swahili
Na mwenye kuogopa kusimamishwa mbele ya Mola wake Mlezi atapata Bustani mbili.
|
Ayah 55:47 الأية
فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Fabi-ayyi ala-i rabbikumatukaththiban
Swahili
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
|
Ayah 55:48 الأية
ذَوَاتَا أَفْنَانٍ
Thawata afnan
Swahili
Bustani zenye matawi yaliyo tanda.
|
Ayah 55:49 الأية
فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Fabi-ayyi ala-i rabbikumatukaththiban
Swahili
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
|
Ayah 55:50 الأية
فِيهِمَا عَيْنَانِ تَجْرِيَانِ
Feehima AAaynani tajriyan
Swahili
Ndani yake zimo chemchem mbili zinazo pita.
|
Ayah 55:51 الأية
فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Fabi-ayyi ala-i rabbikumatukaththiban
Swahili
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
|
Ayah 55:52 الأية
فِيهِمَا مِن كُلِّ فَاكِهَةٍ زَوْجَانِ
Feehima min kulli fakihatinzawjan
Swahili
Humo katika kila matunda zimo namna mbili.
|
Ayah 55:53 الأية
فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Fabi-ayyi ala-i rabbikumatukaththiban
Swahili
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
|
Ayah 55:54 الأية
مُتَّكِئِينَ عَلَىٰ فُرُشٍ بَطَائِنُهَا مِنْ إِسْتَبْرَقٍ ۚ وَجَنَى
الْجَنَّتَيْنِ دَانٍ
Muttaki-eena AAala furushin bata-inuhamin istabraqin wajana aljannatayni dan
Swahili
Wawe wameegemea matandiko yenye bit'ana ya hariri nzito; na matunda ya Bustani
hizo yapo karibu.
|
Ayah 55:55 الأية
فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Fabi-ayyi ala-i rabbikumatukaththiban
Swahili
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
|
Ayah 55:56 الأية
فِيهِنَّ قَاصِرَاتُ الطَّرْفِ لَمْ يَطْمِثْهُنَّ إِنسٌ قَبْلَهُمْ وَلَا جَانٌّ
Feehinna qasiratu attarfilam yatmithhunna insun qablahum wala jan
Swahili
Humo watakuwamo wanawake watulizao macho yao; hajawagusa mtu kabla yao wala
jini.
|
Ayah 55:57 الأية
فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Fabi-ayyi ala-i rabbikumatukaththiban
Swahili
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
|
Ayah 55:58 الأية
كَأَنَّهُنَّ الْيَاقُوتُ وَالْمَرْجَانُ
Kaannahunna alyaqootu walmarjan
Swahili
Kama kwamba wao ni yakuti na marijani.
|
Ayah 55:59 الأية
فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Fabi-ayyi ala-i rabbikumatukaththiban
Swahili
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha.
|
Ayah 55:60 الأية
هَلْ جَزَاءُ الْإِحْسَانِ إِلَّا الْإِحْسَانُ
Hal jazao al-ihsani illaal-ihsan
Swahili
Ati yaweza kuwa malipo ya ihsani ila ihsani?
|
Ayah 55:61 الأية
فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Fabi-ayyi ala-i rabbikumatukaththiban
Swahili
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
|
Ayah 55:62 الأية
وَمِن دُونِهِمَا جَنَّتَانِ
Wamin doonihima jannatan
Swahili
Na zaidi ya hizo zipo Bustani nyengine mbili.
|
Ayah 55:63 الأية
فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Fabi-ayyi ala-i rabbikumatukaththiban
Swahili
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
|
Ayah 55:64 الأية
مُدْهَامَّتَانِ
Mudhammatan
Swahili
Za kijani kibivu.
|
Ayah 55:65 الأية
فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Fabi-ayyi ala-i rabbikumatukaththiban
Swahili
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
|
Ayah 55:66 الأية
فِيهِمَا عَيْنَانِ نَضَّاخَتَانِ
Feehima AAaynani naddakhatan
Swahili
Na chemchem mbili zinazo furika.
|
Ayah 55:67 الأية
فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Fabi-ayyi ala-i rabbikumatukaththiban
Swahili
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
|
Ayah 55:68 الأية
فِيهِمَا فَاكِهَةٌ وَنَخْلٌ وَرُمَّانٌ
Feehima fakihatun wanakhlunwarumman
Swahili
Imo humo miti ya matunda, na mitende na mikomamanga.
|
Ayah 55:69 الأية
فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Fabi-ayyi ala-i rabbikumatukaththiban
Swahili
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
|
Ayah 55:70 الأية
فِيهِنَّ خَيْرَاتٌ حِسَانٌ
Feehinna khayratun hisan
Swahili
Humo wamo wanawake wema wazuri.
|
Ayah 55:71 الأية
فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Fabi-ayyi ala-i rabbikumatukaththiban
Swahili
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
|
Ayah 55:72 الأية
حُورٌ مَّقْصُورَاتٌ فِي الْخِيَامِ
Hoorun maqsooratun feealkhiyam
Swahili
Wanawake wazuri wanao tawishwa katika makhema.
|
Ayah 55:73 الأية
فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Fabi-ayyi ala-i rabbikumatukaththiban
Swahili
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
|
Ayah 55:74 الأية
لَمْ يَطْمِثْهُنَّ إِنسٌ قَبْلَهُمْ وَلَا جَانٌّ
Lam yatmithhunna insun qablahum walajan
Swahili
Hajawagusa mtu wala jini kabla yao.
|
Ayah 55:75 الأية
فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Fabi-ayyi ala-i rabbikumatukaththiban
Swahili
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
|
Ayah 55:76 الأية
مُتَّكِئِينَ عَلَىٰ رَفْرَفٍ خُضْرٍ وَعَبْقَرِيٍّ حِسَانٍ
Muttaki-eena AAala rafrafin khudrinwaAAabqariyyin hisan
Swahili
Wameegemea juu ya matakia ya kijani na mazulia mazuri.
|
Ayah 55:77 الأية
فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Fabi-ayyi ala-i rabbikumatukaththiban
Swahili
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
|
Ayah 55:78 الأية
تَبَارَكَ اسْمُ رَبِّكَ ذِي الْجَلَالِ وَالْإِكْرَامِ
Tabaraka ismu rabbika theealjalali wal-ikram
Swahili
Limetukuka jina la Mola wako Mlezi Mwenye utukufu na ukarimu.
|
©
EsinIslam.Com Designed & produced by The Awqaf London. Please pray for us
|
|
|