Prev  

55. Surah Ar-Rahmân سورة الرحمن

Next »

  الأية
الرَّحْمَٰنُ
Arrahman

Swahili
 
Arrah'man, Mwingi wa Rehema

Ayah  55:2  الأية
عَلَّمَ الْقُرْآنَ
AAallama alqur-an

Swahili
 
Amefundisha Qur'ani.

Ayah  55:3  الأية
خَلَقَ الْإِنسَانَ
Khalaqa al-insan

Swahili
 
Amemuumba mwanaadamu,

Ayah  55:4  الأية
عَلَّمَهُ الْبَيَانَ
AAallamahu albayan

Swahili
 
Akamfundisha kubaini.

Ayah  55:5  الأية
الشَّمْسُ وَالْقَمَرُ بِحُسْبَانٍ
Ashshamsu walqamaru bihusban

Swahili
 
Jua na mwezi huenda kwa hisabu.

Ayah  55:6  الأية
وَالنَّجْمُ وَالشَّجَرُ يَسْجُدَانِ
Wannajmu washshajaru yasjudan

Swahili
 
Na mimea yenye kutambaa, na miti, inanyenyekea.

Ayah  55:7  الأية
وَالسَّمَاءَ رَفَعَهَا وَوَضَعَ الْمِيزَانَ
Wassamaa rafaAAahawawadaAAa almeezan

Swahili
 
Na mbingu ameziinua, na ameweka mizani,

Ayah  55:8  الأية
أَلَّا تَطْغَوْا فِي الْمِيزَانِ
Alla tatghaw fee almeezan

Swahili
 
Ili msidhulumu katika mizani.

Ayah  55:9  الأية
وَأَقِيمُوا الْوَزْنَ بِالْقِسْطِ وَلَا تُخْسِرُوا الْمِيزَانَ
Waaqeemoo alwazna bilqisti walatukhsiroo almeezan

Swahili
 
Na wekeni mizani kwa haki, wala msipunje katika mizani.

Ayah  55:10  الأية
وَالْأَرْضَ وَضَعَهَا لِلْأَنَامِ
Wal-arda wadaAAahalil-anam

Swahili
 
Na ardhi ameiweka kwa ajili ya viumbe.

Ayah  55:11  الأية
فِيهَا فَاكِهَةٌ وَالنَّخْلُ ذَاتُ الْأَكْمَامِ
Feeha fakihatun wannakhluthatu al-akmam

Swahili
 
Humo yamo matunda na mitende yenye mafumba.

Ayah  55:12  الأية
وَالْحَبُّ ذُو الْعَصْفِ وَالرَّيْحَانُ
Walhabbu thoo alAAasfiwarrayhan

Swahili
 
Na nafaka zenye makapi, na rehani.

Ayah  55:13  الأية
فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Fabi-ayyi ala-i rabbikumatukaththiban

Swahili
 
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha

Ayah  55:14  الأية
خَلَقَ الْإِنسَانَ مِن صَلْصَالٍ كَالْفَخَّارِ
Khalaqa al-insana min salsalinkalfakhkhar

Swahili
 
Amemuumba mtu kwa udongo wa kinamo..

Ayah  55:15  الأية
وَخَلَقَ الْجَانَّ مِن مَّارِجٍ مِّن نَّارٍ
Wakhalaqa aljanna min marijinmin nar

Swahili
 
Na akawaumba majini kwa ulimi wa moto.

Ayah  55:16  الأية
فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Fabi-ayyi ala-i rabbikumatukaththiban

Swahili
 
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha

Ayah  55:17  الأية
رَبُّ الْمَشْرِقَيْنِ وَرَبُّ الْمَغْرِبَيْنِ
Rabbu almashriqayni warabbu almaghribayn

Swahili
 
Mola Mlezi wa mashariki mbili na wa magharibi mbili.

Ayah  55:18  الأية
فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Fabi-ayyi ala-i rabbikumatukaththiban

Swahili
 
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?

Ayah  55:19  الأية
مَرَجَ الْبَحْرَيْنِ يَلْتَقِيَانِ
Maraja albahrayni yaltaqiyan

Swahili
 
Anaziendesha bahari mbili zikutane;

Ayah  55:20  الأية
بَيْنَهُمَا بَرْزَخٌ لَّا يَبْغِيَانِ
Baynahuma barzakhun la yabghiyan

Swahili
 
Baina yao kipo kizuizi, zisiingiliane.

Ayah  55:21  الأية
فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Fabi-ayyi ala-i rabbikumatukaththiban

Swahili
 
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?

Ayah  55:22  الأية
يَخْرُجُ مِنْهُمَا اللُّؤْلُؤُ وَالْمَرْجَانُ
Yakhruju minhuma allu/luo walmarjan

Swahili
 
Katika hizo bahari mbili zinatoka lulu na marijani.

Ayah  55:23  الأية
فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Fabi-ayyi ala-i rabbikumatukaththibani

Swahili
 
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?

Ayah  55:24  الأية
وَلَهُ الْجَوَارِ الْمُنشَآتُ فِي الْبَحْرِ كَالْأَعْلَامِ
Walahu aljawari almunshaatufee albahri kal-aAAlam

Swahili
 
Na ni vyake Yeye hivi viendavyo baharini vilivyo undwa kama vilima.

Ayah  55:25  الأية
فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Fabi-ayyi ala-i rabbikumatukaththiban

Swahili
 
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?

Ayah  55:26  الأية
كُلُّ مَنْ عَلَيْهَا فَانٍ
Kullu man AAalayha fan

Swahili
 
Kila kilioko juu yake kitatoweka.

Ayah  55:27  الأية
وَيَبْقَىٰ وَجْهُ رَبِّكَ ذُو الْجَلَالِ وَالْإِكْرَامِ
Wayabqa wajhu rabbika thooaljalali wal-ikram

Swahili
 
Na atabakia Mwenyewe Mola wako Mlezi Mwenye utukufu na ukarimu.

Ayah  55:28  الأية
فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Fabi-ayyi ala-i rabbikumatukaththiban

Swahili
 
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?

Ayah  55:29  الأية
يَسْأَلُهُ مَن فِي السَّمَاوَاتِ وَالْأَرْضِ ۚ كُلَّ يَوْمٍ هُوَ فِي شَأْنٍ
Yas-aluhu man fee assamawatiwal-ardi kulla yawmin huwa fee sha/n

Swahili
 
Vinamwomba Yeye vilivyomo katika mbingu na ardhi. Kila siku Yeye yumo katika mambo.

Ayah  55:30  الأية
فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Fabi-ayyi ala-i rabbikumatukaththiban

Swahili
 
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?

Ayah  55:31  الأية
سَنَفْرُغُ لَكُمْ أَيُّهَ الثَّقَلَانِ
Sanafrughu lakum ayyuha aththaqalan

Swahili
 
Tutakuhisabuni enyi makundi mawili.

Ayah  55:32  الأية
فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Fabi-ayyi ala-i rabbikumatukaththiban

Swahili
 
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?

Ayah  55:33  الأية
يَا مَعْشَرَ الْجِنِّ وَالْإِنسِ إِنِ اسْتَطَعْتُمْ أَن تَنفُذُوا مِنْ أَقْطَارِ السَّمَاوَاتِ وَالْأَرْضِ فَانفُذُوا ۚ لَا تَنفُذُونَ إِلَّا بِسُلْطَانٍ
Ya maAAshara aljinni wal-insiini istataAAtum an tanfuthoo min aqtari assamawatiwal-ardi fanfuthoo la tanfuthoonailla bisultan

Swahili
 
Enyi makundi ya majini na watu! Mkiweza kupenya kwenye mbingu na ardhi, basi penyeni! Hamtapenya ila kwa kupewa madaraka.

Ayah  55:34  الأية
فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Fabi-ayyi ala-i rabbikumatukaththiban

Swahili
 
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?

Ayah  55:35  الأية
يُرْسَلُ عَلَيْكُمَا شُوَاظٌ مِّن نَّارٍ وَنُحَاسٌ فَلَا تَنتَصِرَانِ
Yursalu AAalaykuma shuwathunmin narin wanuhasun fala tantasiran

Swahili
 
Mtapelekewa muwako wa moto na shaba; wala hamtashinda.

Ayah  55:36  الأية
فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Fabi-ayyi ala-i rabbikumatukaththiban

Swahili
 
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?

Ayah  55:37  الأية
فَإِذَا انشَقَّتِ السَّمَاءُ فَكَانَتْ وَرْدَةً كَالدِّهَانِ
Fa-itha inshaqqati assamaofakanat wardatan kaddihan

Swahili
 
Itakapo pasuka mbingu ikawa nyekundu kama mafuta.

Ayah  55:38  الأية
فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Fabi-ayyi ala-i rabbikumatukaththiban

Swahili
 
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?

Ayah  55:39  الأية
فَيَوْمَئِذٍ لَّا يُسْأَلُ عَن ذَنبِهِ إِنسٌ وَلَا جَانٌّ
Fayawma-ithin la yus-alu AAan thanbihiinsun wala jan

Swahili
 
Siku hiyo hataulizwa dhambi zake mtu wala jini.

Ayah  55:40  الأية
فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Fabi-ayyi ala-i rabbikumatukaththiban

Swahili
 
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?

Ayah  55:41  الأية
يُعْرَفُ الْمُجْرِمُونَ بِسِيمَاهُمْ فَيُؤْخَذُ بِالنَّوَاصِي وَالْأَقْدَامِ
YuAArafu almujrimoona biseemahumfayu/khathu binnawasee wal-aqdam

Swahili
 
Watajuulikana wakosefu kwa alama zao, basi watashikwa kwa nywele zao za utosini na kwa miguu.

Ayah  55:42  الأية
فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Fabi-ayyi ala-i rabbikumatukaththiban

Swahili
 
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?

Ayah  55:43  الأية
هَٰذِهِ جَهَنَّمُ الَّتِي يُكَذِّبُ بِهَا الْمُجْرِمُونَ
Hathihi jahannamu allatee yukaththibubiha almujrimoon

Swahili
 
Hii ndiyo Jahannamu ambayo wakosefu wakiikanusha.

Ayah  55:44  الأية
يَطُوفُونَ بَيْنَهَا وَبَيْنَ حَمِيمٍ آنٍ
Yatoofoona baynaha wabayna hameeminan

Swahili
 
Watakuwa wakizunguka baina ya hiyo na maji ya moto yanayo chemka.

Ayah  55:45  الأية
فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Fabi-ayyi ala-i rabbikumatukaththiban

Swahili
 
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?

Ayah  55:46  الأية
وَلِمَنْ خَافَ مَقَامَ رَبِّهِ جَنَّتَانِ
Waliman khafa maqama rabbihijannatan

Swahili
 
Na mwenye kuogopa kusimamishwa mbele ya Mola wake Mlezi atapata Bustani mbili.

Ayah  55:47  الأية
فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Fabi-ayyi ala-i rabbikumatukaththiban

Swahili
 
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?

Ayah  55:48  الأية
ذَوَاتَا أَفْنَانٍ
Thawata afnan

Swahili
 
Bustani zenye matawi yaliyo tanda.

Ayah  55:49  الأية
فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Fabi-ayyi ala-i rabbikumatukaththiban

Swahili
 
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?

Ayah  55:50  الأية
فِيهِمَا عَيْنَانِ تَجْرِيَانِ
Feehima AAaynani tajriyan

Swahili
 
Ndani yake zimo chemchem mbili zinazo pita.

Ayah  55:51  الأية
فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Fabi-ayyi ala-i rabbikumatukaththiban

Swahili
 
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?

Ayah  55:52  الأية
فِيهِمَا مِن كُلِّ فَاكِهَةٍ زَوْجَانِ
Feehima min kulli fakihatinzawjan

Swahili
 
Humo katika kila matunda zimo namna mbili.

Ayah  55:53  الأية
فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Fabi-ayyi ala-i rabbikumatukaththiban

Swahili
 
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?

Ayah  55:54  الأية
مُتَّكِئِينَ عَلَىٰ فُرُشٍ بَطَائِنُهَا مِنْ إِسْتَبْرَقٍ ۚ وَجَنَى الْجَنَّتَيْنِ دَانٍ
Muttaki-eena AAala furushin bata-inuhamin istabraqin wajana aljannatayni dan

Swahili
 
Wawe wameegemea matandiko yenye bit'ana ya hariri nzito; na matunda ya Bustani hizo yapo karibu.

Ayah  55:55  الأية
فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Fabi-ayyi ala-i rabbikumatukaththiban

Swahili
 
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?

Ayah  55:56  الأية
فِيهِنَّ قَاصِرَاتُ الطَّرْفِ لَمْ يَطْمِثْهُنَّ إِنسٌ قَبْلَهُمْ وَلَا جَانٌّ
Feehinna qasiratu attarfilam yatmithhunna insun qablahum wala jan

Swahili
 
Humo watakuwamo wanawake watulizao macho yao; hajawagusa mtu kabla yao wala jini.

Ayah  55:57  الأية
فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Fabi-ayyi ala-i rabbikumatukaththiban

Swahili
 
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?

Ayah  55:58  الأية
كَأَنَّهُنَّ الْيَاقُوتُ وَالْمَرْجَانُ
Kaannahunna alyaqootu walmarjan

Swahili
 
Kama kwamba wao ni yakuti na marijani.

Ayah  55:59  الأية
فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Fabi-ayyi ala-i rabbikumatukaththiban

Swahili
 
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha.

Ayah  55:60  الأية
هَلْ جَزَاءُ الْإِحْسَانِ إِلَّا الْإِحْسَانُ
Hal jazao al-ihsani illaal-ihsan

Swahili
 
Ati yaweza kuwa malipo ya ihsani ila ihsani?

Ayah  55:61  الأية
فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Fabi-ayyi ala-i rabbikumatukaththiban

Swahili
 
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?

Ayah  55:62  الأية
وَمِن دُونِهِمَا جَنَّتَانِ
Wamin doonihima jannatan

Swahili
 
Na zaidi ya hizo zipo Bustani nyengine mbili.

Ayah  55:63  الأية
فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Fabi-ayyi ala-i rabbikumatukaththiban

Swahili
 
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?

Ayah  55:64  الأية
مُدْهَامَّتَانِ
Mudhammatan

Swahili
 
Za kijani kibivu.

Ayah  55:65  الأية
فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Fabi-ayyi ala-i rabbikumatukaththiban

Swahili
 
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?

Ayah  55:66  الأية
فِيهِمَا عَيْنَانِ نَضَّاخَتَانِ
Feehima AAaynani naddakhatan

Swahili
 
Na chemchem mbili zinazo furika.

Ayah  55:67  الأية
فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Fabi-ayyi ala-i rabbikumatukaththiban

Swahili
 
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?

Ayah  55:68  الأية
فِيهِمَا فَاكِهَةٌ وَنَخْلٌ وَرُمَّانٌ
Feehima fakihatun wanakhlunwarumman

Swahili
 
Imo humo miti ya matunda, na mitende na mikomamanga.

Ayah  55:69  الأية
فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Fabi-ayyi ala-i rabbikumatukaththiban

Swahili
 
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?

Ayah  55:70  الأية
فِيهِنَّ خَيْرَاتٌ حِسَانٌ
Feehinna khayratun hisan

Swahili
 
Humo wamo wanawake wema wazuri.

Ayah  55:71  الأية
فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Fabi-ayyi ala-i rabbikumatukaththiban

Swahili
 
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?

Ayah  55:72  الأية
حُورٌ مَّقْصُورَاتٌ فِي الْخِيَامِ
Hoorun maqsooratun feealkhiyam

Swahili
 
Wanawake wazuri wanao tawishwa katika makhema.

Ayah  55:73  الأية
فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Fabi-ayyi ala-i rabbikumatukaththiban

Swahili
 
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?

Ayah  55:74  الأية
لَمْ يَطْمِثْهُنَّ إِنسٌ قَبْلَهُمْ وَلَا جَانٌّ
Lam yatmithhunna insun qablahum walajan

Swahili
 
Hajawagusa mtu wala jini kabla yao.

Ayah  55:75  الأية
فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Fabi-ayyi ala-i rabbikumatukaththiban

Swahili
 
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?

Ayah  55:76  الأية
مُتَّكِئِينَ عَلَىٰ رَفْرَفٍ خُضْرٍ وَعَبْقَرِيٍّ حِسَانٍ
Muttaki-eena AAala rafrafin khudrinwaAAabqariyyin hisan

Swahili
 
Wameegemea juu ya matakia ya kijani na mazulia mazuri.

Ayah  55:77  الأية
فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Fabi-ayyi ala-i rabbikumatukaththiban

Swahili
 
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?

Ayah  55:78  الأية
تَبَارَكَ اسْمُ رَبِّكَ ذِي الْجَلَالِ وَالْإِكْرَامِ
Tabaraka ismu rabbika theealjalali wal-ikram

Swahili
 
Limetukuka jina la Mola wako Mlezi Mwenye utukufu na ukarimu.
 


© EsinIslam.Com Designed & produced by The Awqaf London. Please pray for us