وَمَا جَعَلْنَا أَصْحَابَ النَّارِ إِلَّا مَلَائِكَةً ۙ وَمَا جَعَلْنَا
عِدَّتَهُمْ إِلَّا فِتْنَةً لِّلَّذِينَ كَفَرُوا لِيَسْتَيْقِنَ الَّذِينَ
أُوتُوا الْكِتَابَ وَيَزْدَادَ الَّذِينَ آمَنُوا إِيمَانًا ۙ وَلَا يَرْتَابَ
الَّذِينَ أُوتُوا الْكِتَابَ وَالْمُؤْمِنُونَ ۙ وَلِيَقُولَ الَّذِينَ فِي
قُلُوبِهِم مَّرَضٌ وَالْكَافِرُونَ مَاذَا أَرَادَ اللهُ بِهَٰذَا مَثَلًا ۚ
كَذَٰلِكَ يُضِلُّ اللهُ مَن يَشَاءُ وَيَهْدِي مَن يَشَاءُ ۚ وَمَا يَعْلَمُ
جُنُودَ رَبِّكَ إِلَّا هُوَ ۚ وَمَا هِيَ إِلَّا ذِكْرَىٰ لِلْبَشَرِ
Wama jaAAalna as-habaannari illa mala-ikatan wamajaAAalna AAiddatahum illa
fitnatan lillatheenakafaroo liyastayqina allatheena ootoo alkitabawayazdada
allatheena amanoo eemananwala yartaba allatheena ootoo alkitabawalmu/minoona
waliyaqoola allatheena feequloobihim maradun walkafiroona mathaarada Allahu
bihatha mathalan kathalikayudillu Allahu man yashao wayahdee man yashaowama
yaAAlamu junooda rabbika illa huwa wamahiya illa thikra lilbashar
Swahili
Na hatukuwafanya walinzi wa Motoni ila ni Malaika, wala hatukuifanya idadi yao
hiyo ila kuwatatanisha walio kufuru, wapate kuwa na yakini walio pewa Kitabu, na
wazidi Imani wale walio amini, wala wasiwe na shaka walio pewa Kitabu na
Waumini, na wapate kusema wenye maradhi katika nyoyo zao na makafiri: Mwenyezi
Mungu amekusudia nini kwa mfano huu? Ndio kama hivyo Mwenyezi Mungu humwacha
apotee amtakaye, na humwongoa amtakaye. Na hapana yeyote anaye jua majeshi ya
Mola wako Mlezi ila Yeye tu. Na haya si chochote ila ni ukumbusho kwa binaadamu.