« Prev
75. Surah Al-Qiyâmah سورة القيامة
Next »
First Ayah 1 الأية الأوليبِسْم ِ اللَّهِ الرَّحْمَٰنِ الرَّحِيمِ
لَا أُقْسِمُ بِيَوْمِ الْقِيَامَةِ
La oqsimu biyawmi alqiyamat
Swahili
Ninaapa kwa Siku ya Kiyama!
|
Ayah 75:2 الأية
وَلَا أُقْسِمُ بِالنَّفْسِ اللَّوَّامَةِ
Wala oqsimu binnafsi allawwamat
Swahili
Na ninaapa kwa nafsi inayo jilaumu!
|
Ayah 75:3 الأية
أَيَحْسَبُ الْإِنسَانُ أَلَّن نَّجْمَعَ عِظَامَهُ
Ayahsabu al-insanu allannajmaAAa AAithamah
Swahili
Anadhani mtu kuwa Sisi hatutaikusanya mifupa yake?
|
Ayah 75:4 الأية
بَلَىٰ قَادِرِينَ عَلَىٰ أَن نُّسَوِّيَ بَنَانَهُ
Bala qadireena AAala annusawwiya bananah
Swahili
Kwani! Sisi tunaweza hata kuziweka sawa sawa ncha za vidole vyake!
|
Ayah 75:5 الأية
بَلْ يُرِيدُ الْإِنسَانُ لِيَفْجُرَ أَمَامَهُ
Bal yureedu al-insanu liyafjura amamah
Swahili
Lakini mtu anataka tu kuendelea na maasi kwa siku zilioko mbele yake.
|
Ayah 75:6 الأية
يَسْأَلُ أَيَّانَ يَوْمُ الْقِيَامَةِ
Yas-alu ayyana yawmu alqiyama
Swahili
Anauliza: Lini itakuwa hiyo Siku ya Kiyama?
|
Ayah 75:7 الأية
فَإِذَا بَرِقَ الْبَصَرُ
Fa-itha bariqa albasar
Swahili
Basi jicho litapo dawaa,
|
Ayah 75:8 الأية
وَخَسَفَ الْقَمَرُ
Wakhasafa alqamar
Swahili
Na mwezi utapo patwa,
|
Ayah 75:9 الأية
وَجُمِعَ الشَّمْسُ وَالْقَمَرُ
WajumiAAa ashshamsu walqamar
Swahili
Na likakusanywa jua na mwezi,
|
Ayah 75:10 الأية
يَقُولُ الْإِنسَانُ يَوْمَئِذٍ أَيْنَ الْمَفَرُّ
Yaqoolu al-insanu yawma-ithinayna almafar
Swahili
Siku hiyo mtu atasema: Yako wapi makimbilio?
|
Ayah 75:11 الأية
كَلَّا لَا وَزَرَ
Kalla la wazar
Swahili
La! Hapana pa kukimbilia!
|
Ayah 75:12 الأية
إِلَىٰ رَبِّكَ يَوْمَئِذٍ الْمُسْتَقَرُّ
Ila rabbika yawma-ithinalmustaqar
Swahili
Siku hiyo pa kutua ni kwa Mola wako Mlezi tu.
|
Ayah 75:13 الأية
يُنَبَّأُ الْإِنسَانُ يَوْمَئِذٍ بِمَا قَدَّمَ وَأَخَّرَ
Yunabbao al-insanu yawma-ithinbima qaddama waakhkhar
Swahili
Siku hiyo ataambiwa aliyo yatanguliza na aliyo yaakhirisha.
|
Ayah 75:14 الأية
بَلِ الْإِنسَانُ عَلَىٰ نَفْسِهِ بَصِيرَةٌ
Bali al-insanu AAala nafsihibaseera
Swahili
Bali mtu ni hoja juu ya nafsi yake.
|
Ayah 75:15 الأية
وَلَوْ أَلْقَىٰ مَعَاذِيرَهُ
Walaw alqa maAAatheerah
Swahili
Na ingawa atatoa chungu ya udhuru.
|
Ayah 75:16 الأية
لَا تُحَرِّكْ بِهِ لِسَانَكَ لِتَعْجَلَ بِهِ
La tuharrik bihi lisanakalitaAAjala bih
Swahili
Usiutikisie huu wahyi ulimi wako kwa kuufanyia haraka.
|
Ayah 75:17 الأية
إِنَّ عَلَيْنَا جَمْعَهُ وَقُرْآنَهُ
Inna AAalayna jamAAahu waqur-anah
Swahili
Hakika ni juu yetu kuukusanya na kuusomesha.
|
Ayah 75:18 الأية
فَإِذَا قَرَأْنَاهُ فَاتَّبِعْ قُرْآنَهُ
Fa-itha qara/nahu fattabiAAqur-anah
Swahili
Tunapo usoma, basi nawe fuatiliza kusoma kwake.
|
Ayah 75:19 الأية
ثُمَّ إِنَّ عَلَيْنَا بَيَانَهُ
Thumma inna AAalayna bayanah
Swahili
Kisha ni juu yetu kuubainisha.
|
Ayah 75:20 الأية
كَلَّا بَلْ تُحِبُّونَ الْعَاجِلَةَ
Kalla bal tuhibboona alAAajila
Swahili
Hasha! Bali nyinyi mnapenda maisha ya duniani,
|
Ayah 75:21 الأية
وَتَذَرُونَ الْآخِرَةَ
Watatharoona al-akhira
Swahili
Na mnaacha maisha ya Akhera.
|
Ayah 75:22 الأية
وُجُوهٌ يَوْمَئِذٍ نَّاضِرَةٌ
Wujoohun yawma-ithin nadira
Swahili
Zipo nyuso siku hiyo zitao ng'ara,
|
Ayah 75:23 الأية
إِلَىٰ رَبِّهَا نَاظِرَةٌ
Ila rabbiha nathira
Swahili
Zinamwangallia Mola wao Mlezi.
|
Ayah 75:24 الأية
وَوُجُوهٌ يَوْمَئِذٍ بَاسِرَةٌ
Wawujoohun yawma-ithin basira
Swahili
Na zipo nyuso siku hiyo zitakao kunjana.
|
Ayah 75:25 الأية
تَظُنُّ أَن يُفْعَلَ بِهَا فَاقِرَةٌ
Tathunnu an yufAAala bihafaqira
Swahili
Zitajua ya kuwa zitafikiwa na livunjalo uti wa mgongo.
|
Ayah 75:26 الأية
كَلَّا إِذَا بَلَغَتِ التَّرَاقِيَ
Kalla itha balaghati attaraqiy
Swahili
La, hasha! (Roho) itakapo fikia kwenye mafupa ya koo,
|
Ayah 75:27 الأية
وَقِيلَ مَنْ ۜ رَاقٍ
Waqeela man raq
Swahili
Na pakasemwa: Nani wa kumganga?
|
Ayah 75:28 الأية
وَظَنَّ أَنَّهُ الْفِرَاقُ
Wathanna annahu alfiraq
Swahili
Na mwenyewe akajua kwa hakika kuwa huko ndiko kufariki;
|
Ayah 75:29 الأية
وَالْتَفَّتِ السَّاقُ بِالسَّاقِ
Waltaffati assaqu bilssaq
Swahili
Na utapo ambatishwa muundi kwa muundi,
|
Ayah 75:30 الأية
إِلَىٰ رَبِّكَ يَوْمَئِذٍ الْمَسَاقُ
Ila rabbika yawma-ithin almasaq
Swahili
Siku hiyo ndiyo kuchungwa kupelekwa kwa Mola wako Mlezi!
|
Ayah 75:31 الأية
فَلَا صَدَّقَ وَلَا صَلَّىٰ
Fala saddaqa wala salla
Swahili
Kwa sababu hakusadiki, wala hakusali.
|
Ayah 75:32 الأية
وَلَٰكِن كَذَّبَ وَتَوَلَّىٰ
Walakin kaththaba watawalla
Swahili
Bali alikanusha, na akageuka.
|
Ayah 75:33 الأية
ثُمَّ ذَهَبَ إِلَىٰ أَهْلِهِ يَتَمَطَّىٰ
Thumma thahaba ila ahlihiyatamatta
Swahili
Kisha akenda kwa ahali zake kwa matao.
|
Ayah 75:34 الأية
أَوْلَىٰ لَكَ فَأَوْلَىٰ
Awla laka faawla
Swahili
Ole wako, ole wako!
|
Ayah 75:35 الأية
ثُمَّ أَوْلَىٰ لَكَ فَأَوْلَىٰ
Thumma awla laka faawla
Swahili
Kisha Ole wako, ole wako!
|
Ayah 75:36 الأية
أَيَحْسَبُ الْإِنسَانُ أَن يُتْرَكَ سُدًى
Ayahsabu al-insanu an yutrakasuda
Swahili
Ati anadhani binaadamu kuwa ataachwa bure?
|
Ayah 75:37 الأية
أَلَمْ يَكُ نُطْفَةً مِّن مَّنِيٍّ يُمْنَىٰ
Alam yaku nutfatan min manayyin yumna
Swahili
Kwani hakuwa yeye tone ya manii lilio shushwa?
|
Ayah 75:38 الأية
ثُمَّ كَانَ عَلَقَةً فَخَلَقَ فَسَوَّىٰ
Thumma kana AAalaqatan fakhalaqafasawwa
Swahili
Kisha akawa kidonge cha damu, tena Mwenyezi Mungu akamuumba na akamtengeneza
vilivyo.
|
Ayah 75:39 الأية
فَجَعَلَ مِنْهُ الزَّوْجَيْنِ الذَّكَرَ وَالْأُنثَىٰ
FajaAAala minhu azzawjayni aththakarawal-ontha
Swahili
Kisha akamfanya namna mbili, mwanamume na mwanamke.
|
Ayah 75:40 الأية
أَلَيْسَ ذَٰلِكَ بِقَادِرٍ عَلَىٰ أَن يُحْيِيَ الْمَوْتَىٰ
Alaysa thalika biqadirin AAalaan yuhyiya almawta
Swahili
Je! Huyo hakuwa ni Muweza wa kufufua wafu?
|
©
EsinIslam.Com Designed & produced by The Awqaf London. Please pray for us
|
|