« Prev

69. Surah Al-Hâqqah سورة الحاقة

Next »




Ayah  69:1  الأية
    +/- -/+  
بِسْم ِ اللهِ الرَّحْمَٰنِ الرَّحِيمِ


Ayah  69:3  الأية
    +/- -/+  
وَمَا أَدْرَاكَ مَا الْحَاقَّةُ
Swahili
 
Na nini kitakujuulisha nini hilo Tukio la haki?

Ayah  69:4  الأية
    +/- -/+  
كَذَّبَتْ ثَمُودُ وَعَادٌ بِالْقَارِعَةِ
Swahili
 
Thamudi na A'di waliukadhibisha Msiba unao situsha.

Ayah  69:5  الأية
    +/- -/+  
فَأَمَّا ثَمُودُ فَأُهْلِكُوا بِالطَّاغِيَةِ
Swahili
 
Basi Thamudi waliangamizwa kwa balaa kubwa mno.

Ayah  69:6  الأية
    +/- -/+  
وَأَمَّا عَادٌ فَأُهْلِكُوا بِرِيحٍ صَرْصَرٍ عَاتِيَةٍ
Swahili
 
Na ama A'di waliangamizwa kwa upepo mkali usio zuilika.

Ayah  69:7  الأية
    +/- -/+  
سَخَّرَهَا عَلَيْهِمْ سَبْعَ لَيَالٍ وَثَمَانِيَةَ أَيَّامٍ حُسُومًا فَتَرَى الْقَوْمَ فِيهَا صَرْعَىٰ كَأَنَّهُمْ أَعْجَازُ نَخْلٍ خَاوِيَةٍ
Swahili
 
Alio wapelekea masiku saba, na siku nane, mfululizo bila ya kusita. Utaona watu wamepinduka kama kwamba ni magongo ya mitende yalio wazi ndani.

Ayah  69:8  الأية
    +/- -/+  

Ayah  69:9  الأية
    +/- -/+  
وَجَاءَ فِرْعَوْنُ وَمَن قَبْلَهُ وَالْمُؤْتَفِكَاتُ بِالْخَاطِئَةِ
Swahili
 
Na Firauni na walio mtangulia, na miji iliyo pinduliwa chini juu, walileta khatia.

Ayah  69:10  الأية
    +/- -/+  
فَعَصَوْا رَسُولَ رَبِّهِمْ فَأَخَذَهُمْ أَخْذَةً رَّابِيَةً
Swahili
 
Wakamuasi Mtume wa Mola wao Mlezi, ndipo Yeye Mola akawakamata kwa mkamato ulio zidi nguvu.

Ayah  69:11  الأية
    +/- -/+  
إِنَّا لَمَّا طَغَى الْمَاءُ حَمَلْنَاكُمْ فِي الْجَارِيَةِ
Swahili
 
Maji yalipo furika Sisi tulikupandisheni katika safina,

Ayah  69:12  الأية
    +/- -/+  
لِنَجْعَلَهَا لَكُمْ تَذْكِرَةً وَتَعِيَهَا أُذُنٌ وَاعِيَةٌ
Swahili
 
Ili tuyafanye hayo kuwa ni waadhi kwenu na kila sikio linalo sikia liyahifadhi.

Ayah  69:13  الأية
    +/- -/+  
فَإِذَا نُفِخَ فِي الصُّورِ نَفْخَةٌ وَاحِدَةٌ
Swahili
 
Na litapo pulizwa barugumu mpulizo mmoja tu,

Ayah  69:14  الأية
    +/- -/+  
وَحُمِلَتِ الْأَرْضُ وَالْجِبَالُ فَدُكَّتَا دَكَّةً وَاحِدَةً
Swahili
 
Na ardhi na milima ikaondolewa, na ikavunjwa kwa mvunjo mmoja,

Ayah  69:15  الأية
    +/- -/+  

Ayah  69:16  الأية
    +/- -/+  
وَانشَقَّتِ السَّمَاءُ فَهِيَ يَوْمَئِذٍ وَاهِيَةٌ
Swahili
 
Na mbingu zitapasuka, kwani siku hiyo zitakuwa dhaifu kabisa.

Ayah  69:17  الأية
    +/- -/+  
وَالْمَلَكُ عَلَىٰ أَرْجَائِهَا ۚ وَيَحْمِلُ عَرْشَ رَبِّكَ فَوْقَهُمْ يَوْمَئِذٍ ثَمَانِيَةٌ
Swahili
 
Na Malaika watakuwa pembezoni mwa mbingu; na wanane juu ya hawa watakuwa wamebeba Kiti cha Enzi cha Mola wako Mlezi.

Ayah  69:18  الأية
    +/- -/+  
يَوْمَئِذٍ تُعْرَضُونَ لَا تَخْفَىٰ مِنكُمْ خَافِيَةٌ
Swahili
 
Siku hiyo mtahudhurishwa - haitafichika siri yoyote yenu.

Ayah  69:19  الأية
    +/- -/+  
فَأَمَّا مَنْ أُوتِيَ كِتَابَهُ بِيَمِينِهِ فَيَقُولُ هَاؤُمُ اقْرَءُوا كِتَابِيَهْ
Swahili
 
Basi ama atakaye pewa kitabu chake kwa mkono wake wa kulia, atasema: Haya someni kitabu changu!

Ayah  69:20  الأية
    +/- -/+  
إِنِّي ظَنَنتُ أَنِّي مُلَاقٍ حِسَابِيَهْ
Swahili
 
Hakika nalijua ya kuwa nitapokea hisabu yangu.

Ayah  69:21  الأية
    +/- -/+  



Ayah  69:24  الأية
    +/- -/+  
كُلُوا وَاشْرَبُوا هَنِيئًا بِمَا أَسْلَفْتُمْ فِي الْأَيَّامِ الْخَالِيَةِ
Swahili
 
Waambiwe: Kuleni na mnywe kwa furaha kwa sababu ya mlivyo tanguliza katika siku zilizo pita.

Ayah  69:25  الأية
    +/- -/+  
وَأَمَّا مَنْ أُوتِيَ كِتَابَهُ بِشِمَالِهِ فَيَقُولُ يَا لَيْتَنِي لَمْ أُوتَ كِتَابِيَهْ
Swahili
 
Na ama atakaye pewa kitabu chake katika mkono wake wa kushoto, basi yeye atasema: Laiti nisingeli pewa kitabu changu!

Ayah  69:26  الأية
    +/- -/+  

Ayah  69:27  الأية
    +/- -/+  
يَا لَيْتَهَا كَانَتِ الْقَاضِيَةَ
Swahili
 
Laiti mauti ndiyo yangeli kuwa ya kunimaliza kabisa.

Ayah  69:28  الأية
    +/- -/+  




Ayah  69:32  الأية
    +/- -/+  
ثُمَّ فِي سِلْسِلَةٍ ذَرْعُهَا سَبْعُونَ ذِرَاعًا فَاسْلُكُوهُ
Swahili
 
Tena mtatizeni katika mnyororo wenye urefu wa dhiraa sabiini!

Ayah  69:33  الأية
    +/- -/+  
إِنَّهُ كَانَ لَا يُؤْمِنُ بِاللهِ الْعَظِيمِ
Swahili
 
Kwani huyo hakika alikuwa hamuamini Mwenyezi Mungu Mtukufu,

Ayah  69:34  الأية
    +/- -/+  
وَلَا يَحُضُّ عَلَىٰ طَعَامِ الْمِسْكِينِ
Swahili
 
Wala hahimizi kulisha masikini.

Ayah  69:35  الأية
    +/- -/+  
فَلَيْسَ لَهُ الْيَوْمَ هَاهُنَا حَمِيمٌ
Swahili
 
Basi leo hapa hana jamaa wa kumwonea uchungu,

Ayah  69:36  الأية
    +/- -/+  
وَلَا طَعَامٌ إِلَّا مِنْ غِسْلِينٍ
Swahili
 
Wala hana chakula ila usaha wa watu wa Motoni.

Ayah  69:37  الأية
    +/- -/+  
لَّا يَأْكُلُهُ إِلَّا الْخَاطِئُونَ
Swahili
 
Chakula hicho hawakili ila wakosefu.

Ayah  69:38  الأية
    +/- -/+  


Ayah  69:40  الأية
    +/- -/+  
إِنَّهُ لَقَوْلُ رَسُولٍ كَرِيمٍ
Swahili
 
Kwa hakika hii ni kauli iliyo letwa na Mjumbe mwenye hishima.

Ayah  69:41  الأية
    +/- -/+  
وَمَا هُوَ بِقَوْلِ شَاعِرٍ ۚ قَلِيلًا مَّا تُؤْمِنُونَ
Swahili
 
Wala si kauli ya mtunga mashairi. Ni machache sana mnayo yaamini.

Ayah  69:42  الأية
    +/- -/+  
وَلَا بِقَوْلِ كَاهِنٍ ۚ قَلِيلًا مَّا تَذَكَّرُونَ
Swahili
 
Wala si kauli ya kuhani. Ni machache mnayo yakumbuka.

Ayah  69:43  الأية
    +/- -/+  
تَنزِيلٌ مِّن رَّبِّ الْعَالَمِينَ
Swahili
 
Ni uteremsho utokao kwa Mola Mlezi wa walimwengu wote.

Ayah  69:44  الأية
    +/- -/+  
وَلَوْ تَقَوَّلَ عَلَيْنَا بَعْضَ الْأَقَاوِيلِ
Swahili
 
Na lau kama angeli tuzulia baadhi ya maneno tu,

Ayah  69:45  الأية
    +/- -/+  
لَأَخَذْنَا مِنْهُ بِالْيَمِينِ
Swahili
 
Bila ya shaka tungeli mshika kwa mkono wa kulia,

Ayah  69:46  الأية
    +/- -/+  
ثُمَّ لَقَطَعْنَا مِنْهُ الْوَتِينَ
Swahili
 
Kisha kwa hakika tungeli mkata mshipa mkubwa wa moyo!

Ayah  69:47  الأية
    +/- -/+  
فَمَا مِنكُم مِّنْ أَحَدٍ عَنْهُ حَاجِزِينَ
Swahili
 
Na hapana yeyote katika nyinyi ambaye angeli weza kutuzuia.

Ayah  69:48  الأية
    +/- -/+  
وَإِنَّهُ لَتَذْكِرَةٌ لِّلْمُتَّقِينَ
Swahili
 
Kwa hakika hii ni mawaidha kwa wachamngu.

Ayah  69:49  الأية
    +/- -/+  
وَإِنَّا لَنَعْلَمُ أَنَّ مِنكُم مُّكَذِّبِينَ
Swahili
 
Na hakika Sisi bila ya shaka tunajua kwamba miongoni mwenu wapo wanao kadhibisha.

Ayah  69:50  الأية
    +/- -/+  
وَإِنَّهُ لَحَسْرَةٌ عَلَى الْكَافِرِينَ
Swahili
 
Na hakika bila ya shaka itakuwa ni majuto kwa wanao kataa.

Ayah  69:51  الأية
    +/- -/+  

Ayah  69:52  الأية
    +/- -/+  
فَسَبِّحْ بِاسْمِ رَبِّكَ الْعَظِيمِ
Swahili
 
Basi litakase jina la Mola wako Mlezi Mtukufu.





© EsinIslam.Com Designed & produced by The Awqaf London. Please pray for us