Prev  

55. Surah Ar-Rahmân سورة الرحمن

  Next  



Ayah  55:1  الأية
    +/- -/+  
بِسْم ِ اللهِ الرَّحْمَٰنِ الرَّحِيمِ

Ayah  55:2  الأية
    +/- -/+  

Ayah  55:3  الأية
    +/- -/+  

Ayah  55:4  الأية
    +/- -/+  

Ayah  55:5  الأية
    +/- -/+  

Ayah  55:6  الأية
    +/- -/+  
وَالنَّجْمُ وَالشَّجَرُ يَسْجُدَانِ
Swahili
 
Na mimea yenye kutambaa, na miti, inanyenyekea.

Ayah  55:7  الأية
    +/- -/+  
وَالسَّمَاءَ رَفَعَهَا وَوَضَعَ الْمِيزَانَ
Swahili
 
Na mbingu ameziinua, na ameweka mizani,

Ayah  55:8  الأية
    +/- -/+  

Ayah  55:9  الأية
    +/- -/+  
وَأَقِيمُوا الْوَزْنَ بِالْقِسْطِ وَلَا تُخْسِرُوا الْمِيزَانَ
Swahili
 
Na wekeni mizani kwa haki, wala msipunje katika mizani.

Ayah  55:10  الأية
    +/- -/+  

Ayah  55:11  الأية
    +/- -/+  
فِيهَا فَاكِهَةٌ وَالنَّخْلُ ذَاتُ الْأَكْمَامِ
Swahili
 
Humo yamo matunda na mitende yenye mafumba.

Ayah  55:12  الأية
    +/- -/+  
وَالْحَبُّ ذُو الْعَصْفِ وَالرَّيْحَانُ
Swahili
 
Na nafaka zenye makapi, na rehani.

Ayah  55:13  الأية
    +/- -/+  
فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Swahili
 
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha

Ayah  55:14  الأية
    +/- -/+  
خَلَقَ الْإِنسَانَ مِن صَلْصَالٍ كَالْفَخَّارِ
Swahili
 
Amemuumba mtu kwa udongo wa kinamo..

Ayah  55:15  الأية
    +/- -/+  
وَخَلَقَ الْجَانَّ مِن مَّارِجٍ مِّن نَّارٍ
Swahili
 
Na akawaumba majini kwa ulimi wa moto.

Ayah  55:16  الأية
    +/- -/+  
فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Swahili
 
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha

Ayah  55:17  الأية
    +/- -/+  
رَبُّ الْمَشْرِقَيْنِ وَرَبُّ الْمَغْرِبَيْنِ
Swahili
 
Mola Mlezi wa mashariki mbili na wa magharibi mbili.

Ayah  55:18  الأية
    +/- -/+  
فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Swahili
 
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?

Ayah  55:19  الأية
    +/- -/+  

Ayah  55:20  الأية
    +/- -/+  
بَيْنَهُمَا بَرْزَخٌ لَّا يَبْغِيَانِ
Swahili
 
Baina yao kipo kizuizi, zisiingiliane.

Ayah  55:21  الأية
    +/- -/+  
فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Swahili
 
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?

Ayah  55:22  الأية
    +/- -/+  
يَخْرُجُ مِنْهُمَا اللُّؤْلُؤُ وَالْمَرْجَانُ
Swahili
 
Katika hizo bahari mbili zinatoka lulu na marijani.

Ayah  55:23  الأية
    +/- -/+  
فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Swahili
 
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?

Ayah  55:24  الأية
    +/- -/+  
وَلَهُ الْجَوَارِ الْمُنشَآتُ فِي الْبَحْرِ كَالْأَعْلَامِ
Swahili
 
Na ni vyake Yeye hivi viendavyo baharini vilivyo undwa kama vilima.

Ayah  55:25  الأية
    +/- -/+  
فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Swahili
 
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?

Ayah  55:26  الأية
    +/- -/+  

Ayah  55:27  الأية
    +/- -/+  
وَيَبْقَىٰ وَجْهُ رَبِّكَ ذُو الْجَلَالِ وَالْإِكْرَامِ
Swahili
 
Na atabakia Mwenyewe Mola wako Mlezi Mwenye utukufu na ukarimu.

Ayah  55:28  الأية
    +/- -/+  
فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Swahili
 
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?

Ayah  55:29  الأية
    +/- -/+  
يَسْأَلُهُ مَن فِي السَّمَاوَاتِ وَالْأَرْضِ ۚ كُلَّ يَوْمٍ هُوَ فِي شَأْنٍ
Swahili
 
Vinamwomba Yeye vilivyomo katika mbingu na ardhi. Kila siku Yeye yumo katika mambo.

Ayah  55:30  الأية
    +/- -/+  
فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Swahili
 
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?

Ayah  55:31  الأية
    +/- -/+  
سَنَفْرُغُ لَكُمْ أَيُّهَ الثَّقَلَانِ
Swahili
 
Tutakuhisabuni enyi makundi mawili.

Ayah  55:32  الأية
    +/- -/+  
فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Swahili
 
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?

Ayah  55:33  الأية
    +/- -/+  
يَا مَعْشَرَ الْجِنِّ وَالْإِنسِ إِنِ اسْتَطَعْتُمْ أَن تَنفُذُوا مِنْ أَقْطَارِ السَّمَاوَاتِ وَالْأَرْضِ فَانفُذُوا ۚ لَا تَنفُذُونَ إِلَّا بِسُلْطَانٍ
Swahili
 
Enyi makundi ya majini na watu! Mkiweza kupenya kwenye mbingu na ardhi, basi penyeni! Hamtapenya ila kwa kupewa madaraka.

Ayah  55:34  الأية
    +/- -/+  
فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Swahili
 
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?

Ayah  55:35  الأية
    +/- -/+  
يُرْسَلُ عَلَيْكُمَا شُوَاظٌ مِّن نَّارٍ وَنُحَاسٌ فَلَا تَنتَصِرَانِ
Swahili
 
Mtapelekewa muwako wa moto na shaba; wala hamtashinda.

Ayah  55:36  الأية
    +/- -/+  
فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Swahili
 
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?

Ayah  55:37  الأية
    +/- -/+  
فَإِذَا انشَقَّتِ السَّمَاءُ فَكَانَتْ وَرْدَةً كَالدِّهَانِ
Swahili
 
Itakapo pasuka mbingu ikawa nyekundu kama mafuta.

Ayah  55:38  الأية
    +/- -/+  
فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Swahili
 
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?

Ayah  55:39  الأية
    +/- -/+  
فَيَوْمَئِذٍ لَّا يُسْأَلُ عَن ذَنبِهِ إِنسٌ وَلَا جَانٌّ
Swahili
 
Siku hiyo hataulizwa dhambi zake mtu wala jini.

Ayah  55:40  الأية
    +/- -/+  
فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Swahili
 
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?

Ayah  55:41  الأية
    +/- -/+  
يُعْرَفُ الْمُجْرِمُونَ بِسِيمَاهُمْ فَيُؤْخَذُ بِالنَّوَاصِي وَالْأَقْدَامِ
Swahili
 
Watajuulikana wakosefu kwa alama zao, basi watashikwa kwa nywele zao za utosini na kwa miguu.

Ayah  55:42  الأية
    +/- -/+  
فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Swahili
 
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?

Ayah  55:43  الأية
    +/- -/+  
هَٰذِهِ جَهَنَّمُ الَّتِي يُكَذِّبُ بِهَا الْمُجْرِمُونَ
Swahili
 
Hii ndiyo Jahannamu ambayo wakosefu wakiikanusha.

Ayah  55:44  الأية
    +/- -/+  
يَطُوفُونَ بَيْنَهَا وَبَيْنَ حَمِيمٍ آنٍ
Swahili
 
Watakuwa wakizunguka baina ya hiyo na maji ya moto yanayo chemka.

Ayah  55:45  الأية
    +/- -/+  
فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Swahili
 
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?

Ayah  55:46  الأية
    +/- -/+  
وَلِمَنْ خَافَ مَقَامَ رَبِّهِ جَنَّتَانِ
Swahili
 
Na mwenye kuogopa kusimamishwa mbele ya Mola wake Mlezi atapata Bustani mbili.

Ayah  55:47  الأية
    +/- -/+  
فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Swahili
 
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?

Ayah  55:48  الأية
    +/- -/+  

Ayah  55:49  الأية
    +/- -/+  
فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Swahili
 
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?

Ayah  55:50  الأية
    +/- -/+  

Ayah  55:51  الأية
    +/- -/+  
فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Swahili
 
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?

Ayah  55:52  الأية
    +/- -/+  
فِيهِمَا مِن كُلِّ فَاكِهَةٍ زَوْجَانِ
Swahili
 
Humo katika kila matunda zimo namna mbili.

Ayah  55:53  الأية
    +/- -/+  
فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Swahili
 
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?

Ayah  55:54  الأية
    +/- -/+  
مُتَّكِئِينَ عَلَىٰ فُرُشٍ بَطَائِنُهَا مِنْ إِسْتَبْرَقٍ ۚ وَجَنَى الْجَنَّتَيْنِ دَانٍ
Swahili
 
Wawe wameegemea matandiko yenye bit'ana ya hariri nzito; na matunda ya Bustani hizo yapo karibu.

Ayah  55:55  الأية
    +/- -/+  
فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Swahili
 
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?

Ayah  55:56  الأية
    +/- -/+  
فِيهِنَّ قَاصِرَاتُ الطَّرْفِ لَمْ يَطْمِثْهُنَّ إِنسٌ قَبْلَهُمْ وَلَا جَانٌّ
Swahili
 
Humo watakuwamo wanawake watulizao macho yao; hajawagusa mtu kabla yao wala jini.

Ayah  55:57  الأية
    +/- -/+  
فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Swahili
 
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?

Ayah  55:58  الأية
    +/- -/+  
كَأَنَّهُنَّ الْيَاقُوتُ وَالْمَرْجَانُ
Swahili
 
Kama kwamba wao ni yakuti na marijani.

Ayah  55:59  الأية
    +/- -/+  
فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Swahili
 
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha.

Ayah  55:60  الأية
    +/- -/+  
هَلْ جَزَاءُ الْإِحْسَانِ إِلَّا الْإِحْسَانُ
Swahili
 
Ati yaweza kuwa malipo ya ihsani ila ihsani?

Ayah  55:61  الأية
    +/- -/+  
فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Swahili
 
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?

Ayah  55:62  الأية
    +/- -/+  

Ayah  55:63  الأية
    +/- -/+  
فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Swahili
 
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?

Ayah  55:64  الأية
    +/- -/+  

Ayah  55:65  الأية
    +/- -/+  
فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Swahili
 
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?

Ayah  55:66  الأية
    +/- -/+  

Ayah  55:67  الأية
    +/- -/+  
فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Swahili
 
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?

Ayah  55:68  الأية
    +/- -/+  
فِيهِمَا فَاكِهَةٌ وَنَخْلٌ وَرُمَّانٌ
Swahili
 
Imo humo miti ya matunda, na mitende na mikomamanga.

Ayah  55:69  الأية
    +/- -/+  
فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Swahili
 
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?

Ayah  55:70  الأية
    +/- -/+  

Ayah  55:71  الأية
    +/- -/+  
فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Swahili
 
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?

Ayah  55:72  الأية
    +/- -/+  
حُورٌ مَّقْصُورَاتٌ فِي الْخِيَامِ
Swahili
 
Wanawake wazuri wanao tawishwa katika makhema.

Ayah  55:73  الأية
    +/- -/+  
فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Swahili
 
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?

Ayah  55:74  الأية
    +/- -/+  
لَمْ يَطْمِثْهُنَّ إِنسٌ قَبْلَهُمْ وَلَا جَانٌّ
Swahili
 
Hajawagusa mtu wala jini kabla yao.

Ayah  55:75  الأية
    +/- -/+  
فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Swahili
 
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?

Ayah  55:76  الأية
    +/- -/+  
مُتَّكِئِينَ عَلَىٰ رَفْرَفٍ خُضْرٍ وَعَبْقَرِيٍّ حِسَانٍ
Swahili
 
Wameegemea juu ya matakia ya kijani na mazulia mazuri.

Ayah  55:77  الأية
    +/- -/+  
فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Swahili
 
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?

Ayah  55:78  الأية
    +/- -/+  
تَبَارَكَ اسْمُ رَبِّكَ ذِي الْجَلَالِ وَالْإِكْرَامِ
Swahili
 
Limetukuka jina la Mola wako Mlezi Mwenye utukufu na ukarimu.
 


© EsinIslam.Com Designed & produced by The Awqaf London. Please pray for us