Prev  

74. Surah Al-Muddaththir سورة المدّثر

  Next  



Ayah  74:1  الأية
    +/- -/+  
بِسْم ِ اللهِ الرَّحْمَٰنِ الرَّحِيمِ





Ayah  74:6  الأية
    +/- -/+  


Ayah  74:8  الأية
    +/- -/+  

Ayah  74:9  الأية
    +/- -/+  

Ayah  74:10  الأية
    +/- -/+  

Ayah  74:11  الأية
    +/- -/+  

Ayah  74:12  الأية
    +/- -/+  


Ayah  74:14  الأية
    +/- -/+  


Ayah  74:16  الأية
    +/- -/+  
كَلَّا ۖ إِنَّهُ كَانَ لِآيَاتِنَا عَنِيدًا
Swahili
 
Hasha! Kwani hakika yeye alikuwa akizifanyia inadi Aya zetu!


Ayah  74:18  الأية
    +/- -/+  


Ayah  74:20  الأية
    +/- -/+  



Ayah  74:23  الأية
    +/- -/+  

Ayah  74:24  الأية
    +/- -/+  
فَقَالَ إِنْ هَٰذَا إِلَّا سِحْرٌ يُؤْثَرُ
Swahili
 
Na akasema: Haya si chochote ila ni uchawi ulio nukuliwa.

Ayah  74:25  الأية
    +/- -/+  
إِنْ هَٰذَا إِلَّا قَوْلُ الْبَشَرِ
Swahili
 
Haya si chochote ila kauli ya binaadamu.


Ayah  74:27  الأية
    +/- -/+  




Ayah  74:31  الأية
    +/- -/+  
وَمَا جَعَلْنَا أَصْحَابَ النَّارِ إِلَّا مَلَائِكَةً ۙ وَمَا جَعَلْنَا عِدَّتَهُمْ إِلَّا فِتْنَةً لِّلَّذِينَ كَفَرُوا لِيَسْتَيْقِنَ الَّذِينَ أُوتُوا الْكِتَابَ وَيَزْدَادَ الَّذِينَ آمَنُوا إِيمَانًا ۙ وَلَا يَرْتَابَ الَّذِينَ أُوتُوا الْكِتَابَ وَالْمُؤْمِنُونَ ۙ وَلِيَقُولَ الَّذِينَ فِي قُلُوبِهِم مَّرَضٌ وَالْكَافِرُونَ مَاذَا أَرَادَ اللهُ بِهَٰذَا مَثَلًا ۚ كَذَٰلِكَ يُضِلُّ اللهُ مَن يَشَاءُ وَيَهْدِي مَن يَشَاءُ ۚ وَمَا يَعْلَمُ جُنُودَ رَبِّكَ إِلَّا هُوَ ۚ وَمَا هِيَ إِلَّا ذِكْرَىٰ لِلْبَشَرِ
Swahili
 
Na hatukuwafanya walinzi wa Motoni ila ni Malaika, wala hatukuifanya idadi yao hiyo ila kuwatatanisha walio kufuru, wapate kuwa na yakini walio pewa Kitabu, na wazidi Imani wale walio amini, wala wasiwe na shaka walio pewa Kitabu na Waumini, na wapate kusema wenye maradhi katika nyoyo zao na makafiri: Mwenyezi Mungu amekusudia nini kwa mfano huu? Ndio kama hivyo Mwenyezi Mungu humwacha apotee amtakaye, na humwongoa amtakaye. Na hapana yeyote anaye jua majeshi ya Mola wako Mlezi ila Yeye tu. Na haya si chochote ila ni ukumbusho kwa binaadamu.




Ayah  74:35  الأية
    +/- -/+  
إِنَّهَا لَإِحْدَى الْكُبَرِ
Swahili
 
Hakika huo Moto ni katika mambo yaliyo makubwa kabisa!


Ayah  74:37  الأية
    +/- -/+  
لِمَن شَاءَ مِنكُمْ أَن يَتَقَدَّمَ أَوْ يَتَأَخَّرَ
Swahili
 
Kwa anaye taka miongoni mwenu kutangulia au kuchelewa.

Ayah  74:38  الأية
    +/- -/+  
كُلُّ نَفْسٍ بِمَا كَسَبَتْ رَهِينَةٌ
Swahili
 
Kila nafsi imo rahanini kwa mabaya iliyo yachuma.


Ayah  74:40  الأية
    +/- -/+  



Ayah  74:43  الأية
    +/- -/+  
قَالُوا لَمْ نَكُ مِنَ الْمُصَلِّينَ
Swahili
 
Waseme: Hatukuwa miongoni walio kuwa wakisali.

Ayah  74:44  الأية
    +/- -/+  

Ayah  74:45  الأية
    +/- -/+  
وَكُنَّا نَخُوضُ مَعَ الْخَائِضِينَ
Swahili
 
Na tulikuwa tukizama pamoja na walio zama katika maovu.

Ayah  74:46  الأية
    +/- -/+  
وَكُنَّا نُكَذِّبُ بِيَوْمِ الدِّينِ
Swahili
 
Na tulikuwa tukiikanusha siku ya malipo.


Ayah  74:48  الأية
    +/- -/+  
فَمَا تَنفَعُهُمْ شَفَاعَةُ الشَّافِعِينَ
Swahili
 
Basi hautawafaa kitu uombezi wa waombezi.

Ayah  74:49  الأية
    +/- -/+  
فَمَا لَهُمْ عَنِ التَّذْكِرَةِ مُعْرِضِينَ
Swahili
 
Basi wana nini hata wanapuuza onyo hili?

Ayah  74:50  الأية
    +/- -/+  
كَأَنَّهُمْ حُمُرٌ مُّسْتَنفِرَةٌ
Swahili
 
Kama kwamba wao ni mapunda walio timuliwa,


Ayah  74:52  الأية
    +/- -/+  
بَلْ يُرِيدُ كُلُّ امْرِئٍ مِّنْهُمْ أَن يُؤْتَىٰ صُحُفًا مُّنَشَّرَةً
Swahili
 
Ati kila mmoja katika wao anataka apewe nyaraka zilizo funuliwa.

Ayah  74:53  الأية
    +/- -/+  
كَلَّا ۖ بَل لَّا يَخَافُونَ الْآخِرَةَ
Swahili
 
Hasha! Kwani wao hawaiogopi Akhera?

Ayah  74:54  الأية
    +/- -/+  


Ayah  74:56  الأية
    +/- -/+  
وَمَا يَذْكُرُونَ إِلَّا أَن يَشَاءَ اللهُ ۚ هُوَ أَهْلُ التَّقْوَىٰ وَأَهْلُ الْمَغْفِرَةِ
Swahili
 
Na hawatakumbuka isipo kuwa Mwenyezi Mungu atake. Uchamngu ni kwake Yeye, na msamaha ni wake Yeye.
 


© EsinIslam.Com Designed & produced by The Awqaf London. Please pray for us