Prev  

37. Surah As-Sâffât سورة الصافات

  Next  



Ayah  37:1  الأية
    +/- -/+  
بِسْم ِ اللهِ الرَّحْمَٰنِ الرَّحِيمِ



Ayah  37:4  الأية
    +/- -/+  

Ayah  37:5  الأية
    +/- -/+  
رَّبُّ السَّمَاوَاتِ وَالْأَرْضِ وَمَا بَيْنَهُمَا وَرَبُّ الْمَشَارِقِ
Swahili
 
Mola Mlezi wa mbingu na ardhi, na yaliyomo kati yao, na ni Mola Mlezi wa mashariki zote.

Ayah  37:6  الأية
    +/- -/+  
إِنَّا زَيَّنَّا السَّمَاءَ الدُّنْيَا بِزِينَةٍ الْكَوَاكِبِ
Swahili
 
Hakika Sisi tumeipamba mbingu ya karibu kwa pambo la nyota.

Ayah  37:7  الأية
    +/- -/+  
وَحِفْظًا مِّن كُلِّ شَيْطَانٍ مَّارِدٍ
Swahili
 
Na kulinda na kila shet'ani a'si.

Ayah  37:8  الأية
    +/- -/+  
لَّا يَسَّمَّعُونَ إِلَى الْمَلَإِ الْأَعْلَىٰ وَيُقْذَفُونَ مِن كُلِّ جَانِبٍ
Swahili
 
Wasiweze kuwasikiliza viumbe watukufu. Na wanafukuzwa huko kila upande.

Ayah  37:9  الأية
    +/- -/+  
دُحُورًا ۖ وَلَهُمْ عَذَابٌ وَاصِبٌ
Swahili
 
Wakifurushwa. Na wanayo adhabu ya kudumu.

Ayah  37:10  الأية
    +/- -/+  
إِلَّا مَنْ خَطِفَ الْخَطْفَةَ فَأَتْبَعَهُ شِهَابٌ ثَاقِبٌ
Swahili
 
Isipo kuwa anaye nyakua kitu kidogo, na mara humfwatia kimondo kinacho ng'ara.

Ayah  37:11  الأية
    +/- -/+  
فَاسْتَفْتِهِمْ أَهُمْ أَشَدُّ خَلْقًا أَم مَّنْ خَلَقْنَا ۚ إِنَّا خَلَقْنَاهُم مِّن طِينٍ لَّازِبٍ
Swahili
 
Hebu waulize: Je! Wao ni wenye umbo gumu zaidi au hao wengine tulio waumba. Hakika Sisi tuliwaumba wao kwa udongo unao nata.

Ayah  37:12  الأية
    +/- -/+  

Ayah  37:13  الأية
    +/- -/+  

Ayah  37:14  الأية
    +/- -/+  
وَإِذَا رَأَوْا آيَةً يَسْتَسْخِرُونَ
Swahili
 
Na wanapo ona Ishara, wanafanya maskhara.

Ayah  37:15  الأية
    +/- -/+  
وَقَالُوا إِنْ هَٰذَا إِلَّا سِحْرٌ مُّبِينٌ
Swahili
 
Na husema: Haya si chochote ila ni uchawi tu ulio dhaahiri.

Ayah  37:16  الأية
    +/- -/+  
أَإِذَا مِتْنَا وَكُنَّا تُرَابًا وَعِظَامًا أَإِنَّا لَمَبْعُوثُونَ
Swahili
 
Ati tukisha kufa na tukawa udongo na mifupa ndio kweli tutafufuliwa?


Ayah  37:18  الأية
    +/- -/+  

Ayah  37:19  الأية
    +/- -/+  
فَإِنَّمَا هِيَ زَجْرَةٌ وَاحِدَةٌ فَإِذَا هُمْ يَنظُرُونَ
Swahili
 
Huko utapigwa ukelele mmoja tu! Na hapo ndio wataona!

Ayah  37:20  الأية
    +/- -/+  
وَقَالُوا يَا وَيْلَنَا هَٰذَا يَوْمُ الدِّينِ
Swahili
 
Watasema: Ole wetu! Hii ndiyo Siku ya Malipo.

Ayah  37:21  الأية
    +/- -/+  
هَٰذَا يَوْمُ الْفَصْلِ الَّذِي كُنتُم بِهِ تُكَذِّبُونَ
Swahili
 
Hii ndiyo Siku ya Hukumu mliyo kuwa mkiikadhibisha.

Ayah  37:22  الأية
    +/- -/+  
احْشُرُوا الَّذِينَ ظَلَمُوا وَأَزْوَاجَهُمْ وَمَا كَانُوا يَعْبُدُونَ
Swahili
 
Wakusanyeni walio dhulumu, na wake zao, na hao walio kuwa wakiwaabudu -

Ayah  37:23  الأية
    +/- -/+  
مِن دُونِ اللهِ فَاهْدُوهُمْ إِلَىٰ صِرَاطِ الْجَحِيمِ
Swahili
 
Badala ya Mwenyezi Mungu. Waongozeni njia ya Jahannamu!

Ayah  37:24  الأية
    +/- -/+  
وَقِفُوهُمْ ۖ إِنَّهُم مَّسْئُولُونَ
Swahili
 
Na wasimamisheni. Hakika hao watasailiwa:


Ayah  37:26  الأية
    +/- -/+  

Ayah  37:27  الأية
    +/- -/+  
وَأَقْبَلَ بَعْضُهُمْ عَلَىٰ بَعْضٍ يَتَسَاءَلُونَ
Swahili
 
Watakabiliana wao kwa wao kuulizana.

Ayah  37:28  الأية
    +/- -/+  
قَالُوا إِنَّكُمْ كُنتُمْ تَأْتُونَنَا عَنِ الْيَمِينِ
Swahili
 
Watasema: Kwa hakika nyinyi mlikuwa mkitujia upande wa kulia.

Ayah  37:29  الأية
    +/- -/+  
قَالُوا بَل لَّمْ تَكُونُوا مُؤْمِنِينَ
Swahili
 
Watasema (wakubwa): Bali nyinyi wenyewe hamkuwa Waumini.

Ayah  37:30  الأية
    +/- -/+  
وَمَا كَانَ لَنَا عَلَيْكُم مِّن سُلْطَانٍ ۖ بَلْ كُنتُمْ قَوْمًا طَاغِينَ
Swahili
 
Sisi hatukuwa na mamlaka juu yenu, bali nyinyi wenyewe mlikuwa wapotovu.

Ayah  37:31  الأية
    +/- -/+  
فَحَقَّ عَلَيْنَا قَوْلُ رَبِّنَا ۖ إِنَّا لَذَائِقُونَ
Swahili
 
Basi hukumu ya Mola wetu Mlezi imekwisha tuthibitikia. Hakika bila ya shaka tutaonja tu adhabu.

Ayah  37:32  الأية
    +/- -/+  
فَأَغْوَيْنَاكُمْ إِنَّا كُنَّا غَاوِينَ
Swahili
 
Tulikupotezeni kwa sababu sisi wenyewe tulikuwa wapotovu.

Ayah  37:33  الأية
    +/- -/+  
فَإِنَّهُمْ يَوْمَئِذٍ فِي الْعَذَابِ مُشْتَرِكُونَ
Swahili
 
Basi wao kwa hakika siku hiyo watashirikiana katika adhabu pamoja.

Ayah  37:34  الأية
    +/- -/+  
إِنَّا كَذَٰلِكَ نَفْعَلُ بِالْمُجْرِمِينَ
Swahili
 
Hivyo ndivyo tutakavyo wafanyia wakosefu.

Ayah  37:35  الأية
    +/- -/+  
إِنَّهُمْ كَانُوا إِذَا قِيلَ لَهُمْ لَا إِلَٰهَ إِلَّا اللهُ يَسْتَكْبِرُونَ
Swahili
 
Wao walipo kuwa wakiambiwa La ilaha illa 'Llahu Hapana mungu ila Mwenyezi Mungu tu, wakijivuna.

Ayah  37:36  الأية
    +/- -/+  
وَيَقُولُونَ أَئِنَّا لَتَارِكُو آلِهَتِنَا لِشَاعِرٍ مَّجْنُونٍ
Swahili
 
Na wakisema: Hivyo sisi tuiache miungu yetu kwa ajili ya huyu mtunga mashairi mwendawazimu?

Ayah  37:37  الأية
    +/- -/+  
بَلْ جَاءَ بِالْحَقِّ وَصَدَّقَ الْمُرْسَلِينَ
Swahili
 
Bali huyu amekuja kwa Haki, na amewasadikisha Mitume.

Ayah  37:38  الأية
    +/- -/+  
إِنَّكُمْ لَذَائِقُو الْعَذَابِ الْأَلِيمِ
Swahili
 
Hakika nyinyi bila ya shaka mtaionja adhabu chungu.

Ayah  37:39  الأية
    +/- -/+  
وَمَا تُجْزَوْنَ إِلَّا مَا كُنتُمْ تَعْمَلُونَ
Swahili
 
Wala hamlipwi ila hayo mliyo kuwa mkiyafanya.

Ayah  37:40  الأية
    +/- -/+  
إِلَّا عِبَادَ اللهِ الْمُخْلَصِينَ
Swahili
 
Isipo kuwa waja wa Mwenyezi Mungu walio khitariwa.

Ayah  37:41  الأية
    +/- -/+  

Ayah  37:42  الأية
    +/- -/+  


Ayah  37:44  الأية
    +/- -/+  

Ayah  37:45  الأية
    +/- -/+  
يُطَافُ عَلَيْهِم بِكَأْسٍ مِّن مَّعِينٍ
Swahili
 
Wanazungushiwa kikombe chenye kinywaji cha chemchem

Ayah  37:46  الأية
    +/- -/+  

Ayah  37:47  الأية
    +/- -/+  
لَا فِيهَا غَوْلٌ وَلَا هُمْ عَنْهَا يُنزَفُونَ
Swahili
 
Hakina madhara, wala hakiwaleweshi.

Ayah  37:48  الأية
    +/- -/+  
وَعِندَهُمْ قَاصِرَاتُ الطَّرْفِ عِينٌ
Swahili
 
Na watakuwa nao wanawake wenye macho ya staha mazuri.

Ayah  37:49  الأية
    +/- -/+  

Ayah  37:50  الأية
    +/- -/+  
فَأَقْبَلَ بَعْضُهُمْ عَلَىٰ بَعْضٍ يَتَسَاءَلُونَ
Swahili
 
Waingie kuulizana wenyewe kwa wenyewe.

Ayah  37:51  الأية
    +/- -/+  
قَالَ قَائِلٌ مِّنْهُمْ إِنِّي كَانَ لِي قَرِينٌ
Swahili
 
Aseme msemaji mmoja miongoni mwao: Hakika mimi nalikuwa na rafiki

Ayah  37:52  الأية
    +/- -/+  
يَقُولُ أَإِنَّكَ لَمِنَ الْمُصَدِّقِينَ
Swahili
 
Aliye kuwa akinambia: Hivyo wewe ni katika wanao sadiki

Ayah  37:53  الأية
    +/- -/+  
أَإِذَا مِتْنَا وَكُنَّا تُرَابًا وَعِظَامًا أَإِنَّا لَمَدِينُونَ
Swahili
 
Ati tukisha kufa tukawa udongo na mafupa, ndio tutalipwa na kuhisabiwa?

Ayah  37:54  الأية
    +/- -/+  

Ayah  37:55  الأية
    +/- -/+  
فَاطَّلَعَ فَرَآهُ فِي سَوَاءِ الْجَحِيمِ
Swahili
 
Basi atachungulia amwone katikati ya Jahannamu.

Ayah  37:56  الأية
    +/- -/+  
قَالَ تَاللهِ إِن كِدتَّ لَتُرْدِينِ
Swahili
 
Atasema: Wallahi! Ulikaribia kunipoteza.

Ayah  37:57  الأية
    +/- -/+  
وَلَوْلَا نِعْمَةُ رَبِّي لَكُنتُ مِنَ الْمُحْضَرِينَ
Swahili
 
Na lau kuwa si neema ya Mola wangu Mlezi bila ya shaka ningeli kuwa miongoni mwa walio hudhurishwa.


Ayah  37:59  الأية
    +/- -/+  
إِلَّا مَوْتَتَنَا الْأُولَىٰ وَمَا نَحْنُ بِمُعَذَّبِينَ
Swahili
 
Isipo kuwa kifo chetu cha kwanza? Wala sisi hatutaadhibiwa.

Ayah  37:60  الأية
    +/- -/+  
إِنَّ هَٰذَا لَهُوَ الْفَوْزُ الْعَظِيمُ
Swahili
 
Hakika huku bila ya shaka ndiko kufuzu kukubwa.

Ayah  37:61  الأية
    +/- -/+  
لِمِثْلِ هَٰذَا فَلْيَعْمَلِ الْعَامِلُونَ
Swahili
 
Kwa mfano wa haya nawatende watendao.

Ayah  37:62  الأية
    +/- -/+  
أَذَٰلِكَ خَيْرٌ نُّزُلًا أَمْ شَجَرَةُ الزَّقُّومِ
Swahili
 
Je! Kukaribishwa hivi si ndio bora, au mti wa Zaqqum?

Ayah  37:63  الأية
    +/- -/+  
إِنَّا جَعَلْنَاهَا فِتْنَةً لِّلظَّالِمِينَ
Swahili
 
Hakika Sisi tumeufanya huo kuwa ni mateso kwa walio dhulumu.

Ayah  37:64  الأية
    +/- -/+  
إِنَّهَا شَجَرَةٌ تَخْرُجُ فِي أَصْلِ الْجَحِيمِ
Swahili
 
Hakika huo ni mti unao toka katikati ya Jahannamu.

Ayah  37:65  الأية
    +/- -/+  
طَلْعُهَا كَأَنَّهُ رُءُوسُ الشَّيَاطِينِ
Swahili
 
Mashada ya matunda yake kama kwamba vichwa vya mashet'ani.

Ayah  37:66  الأية
    +/- -/+  
فَإِنَّهُمْ لَآكِلُونَ مِنْهَا فَمَالِئُونَ مِنْهَا الْبُطُونَ
Swahili
 
Basi hakika bila ya shaka hao watayala hayo, na wajaze matumbo.

Ayah  37:67  الأية
    +/- -/+  
ثُمَّ إِنَّ لَهُمْ عَلَيْهَا لَشَوْبًا مِّنْ حَمِيمٍ
Swahili
 
Kisha juu yake wanyweshwe mchanganyo wa maji yamoto yaliyo chemka.

Ayah  37:68  الأية
    +/- -/+  
ثُمَّ إِنَّ مَرْجِعَهُمْ لَإِلَى الْجَحِيمِ
Swahili
 
Kisha hakika marejeo yao bila ya shaka yatakuwa kwenye Jahannamu.

Ayah  37:69  الأية
    +/- -/+  
إِنَّهُمْ أَلْفَوْا آبَاءَهُمْ ضَالِّينَ
Swahili
 
Hakika waliwakuta baba zao wamepotea.

Ayah  37:70  الأية
    +/- -/+  
فَهُمْ عَلَىٰ آثَارِهِمْ يُهْرَعُونَ
Swahili
 
Na wao wakafanya haraka kufuata nyayo zao.

Ayah  37:71  الأية
    +/- -/+  
وَلَقَدْ ضَلَّ قَبْلَهُمْ أَكْثَرُ الْأَوَّلِينَ
Swahili
 
Na bila ya shaka walikwisha potea kabla yao wengi wa watu wa zamani.

Ayah  37:72  الأية
    +/- -/+  
وَلَقَدْ أَرْسَلْنَا فِيهِم مُّنذِرِينَ
Swahili
 
Na Sisi hakika tuliwapelekea waonyaji.

Ayah  37:73  الأية
    +/- -/+  
فَانظُرْ كَيْفَ كَانَ عَاقِبَةُ الْمُنذَرِينَ
Swahili
 
Basi hebu angalia ulikuwaje mwisho wa walio onywa.

Ayah  37:74  الأية
    +/- -/+  
إِلَّا عِبَادَ اللهِ الْمُخْلَصِينَ
Swahili
 
Isipo kuwa waja wa Mwenyezi Mungu walio khitariwa.

Ayah  37:75  الأية
    +/- -/+  
وَلَقَدْ نَادَانَا نُوحٌ فَلَنِعْمَ الْمُجِيبُونَ
Swahili
 
Na hakika Nuhu alitwita, na Sisi ni bora wa waitikiaji.

Ayah  37:76  الأية
    +/- -/+  
وَنَجَّيْنَاهُ وَأَهْلَهُ مِنَ الْكَرْبِ الْعَظِيمِ
Swahili
 
Na tulimwokoa yeye na ahali zake kutokana na msiba mkubwa.

Ayah  37:77  الأية
    +/- -/+  
وَجَعَلْنَا ذُرِّيَّتَهُ هُمُ الْبَاقِينَ
Swahili
 
Na tuliwajaalia dhuriya zake ndio wenye kubakia.

Ayah  37:78  الأية
    +/- -/+  
وَتَرَكْنَا عَلَيْهِ فِي الْآخِرِينَ
Swahili
 
Na tukamwachia (sifa njema) kwa walio kuja baadaye.

Ayah  37:79  الأية
    +/- -/+  
سَلَامٌ عَلَىٰ نُوحٍ فِي الْعَالَمِينَ
Swahili
 
Iwe salama kwa Nuhu ulimwenguni kote!

Ayah  37:80  الأية
    +/- -/+  
إِنَّا كَذَٰلِكَ نَجْزِي الْمُحْسِنِينَ
Swahili
 
Kwa hakika hivi ndivyo tunavyo walipa wanao fanya mema.

Ayah  37:81  الأية
    +/- -/+  
إِنَّهُ مِنْ عِبَادِنَا الْمُؤْمِنِينَ
Swahili
 
Hakika yeye ni katika waja wetu walio amini.

Ayah  37:82  الأية
    +/- -/+  

Ayah  37:83  الأية
    +/- -/+  
وَإِنَّ مِن شِيعَتِهِ لَإِبْرَاهِيمَ
Swahili
 
Na hakika Ibrahim alikuwa katika kundi lake,

Ayah  37:84  الأية
    +/- -/+  
إِذْ جَاءَ رَبَّهُ بِقَلْبٍ سَلِيمٍ
Swahili
 
Alipo mjia Mola wake Mlezi kwa moyo mzima.

Ayah  37:85  الأية
    +/- -/+  
إِذْ قَالَ لِأَبِيهِ وَقَوْمِهِ مَاذَا تَعْبُدُونَ
Swahili
 
Alimwambia baba yake na watu wake: Mnaabudu nini?

Ayah  37:86  الأية
    +/- -/+  
أَئِفْكًا آلِهَةً دُونَ اللهِ تُرِيدُونَ
Swahili
 
Kwa kuzua tu mnataka miungu mingine badala ya Mwenyezi Mungu?

Ayah  37:87  الأية
    +/- -/+  
فَمَا ظَنُّكُم بِرَبِّ الْعَالَمِينَ
Swahili
 
Mnamdhania nini Mola Mlezi wa walimwengu wote?

Ayah  37:88  الأية
    +/- -/+  


Ayah  37:90  الأية
    +/- -/+  

Ayah  37:91  الأية
    +/- -/+  
فَرَاغَ إِلَىٰ آلِهَتِهِمْ فَقَالَ أَلَا تَأْكُلُونَ
Swahili
 
Basi akaiendea miungu yao kwa siri, akaiambia: Mbona hamli?


Ayah  37:93  الأية
    +/- -/+  
فَرَاغَ عَلَيْهِمْ ضَرْبًا بِالْيَمِينِ
Swahili
 
Kisha akaigeukia kuipiga kwa mkono wa kulia.

Ayah  37:94  الأية
    +/- -/+  

Ayah  37:95  الأية
    +/- -/+  
قَالَ أَتَعْبُدُونَ مَا تَنْحِتُونَ
Swahili
 
Akasema: Hivyo mnaviabudu vitu mnavyo vichonga wenyewe?

Ayah  37:96  الأية
    +/- -/+  
وَاللهُ خَلَقَكُمْ وَمَا تَعْمَلُونَ
Swahili
 
Na hali Mwenyezi Mungu ndiye aliye kuumbeni nyinyi na hivyo mnavyo vifanya!

Ayah  37:97  الأية
    +/- -/+  
قَالُوا ابْنُوا لَهُ بُنْيَانًا فَأَلْقُوهُ فِي الْجَحِيمِ
Swahili
 
Wakasema: Mjengeeni jengo, na kisha mtupeni motoni humo!

Ayah  37:98  الأية
    +/- -/+  
فَأَرَادُوا بِهِ كَيْدًا فَجَعَلْنَاهُمُ الْأَسْفَلِينَ
Swahili
 
Basi walitaka kumfanyia vitimbi, lakini tukawafanya wao ndio wa chini.

Ayah  37:99  الأية
    +/- -/+  
وَقَالَ إِنِّي ذَاهِبٌ إِلَىٰ رَبِّي سَيَهْدِينِ
Swahili
 
Na akasema: Hakika mimi nahama, nakwenda kwa Mola wangu Mlezi; Yeye ataniongoa.

Ayah  37:100  الأية
    +/- -/+  
رَبِّ هَبْ لِي مِنَ الصَّالِحِينَ
Swahili
 
Ewe Mola wangu Mlezi! Nitunukie aliye miongoni mwa watenda mema.

Ayah  37:101  الأية
    +/- -/+  

Ayah  37:102  الأية
    +/- -/+  
فَلَمَّا بَلَغَ مَعَهُ السَّعْيَ قَالَ يَا بُنَيَّ إِنِّي أَرَىٰ فِي الْمَنَامِ أَنِّي أَذْبَحُكَ فَانظُرْ مَاذَا تَرَىٰ ۚ قَالَ يَا أَبَتِ افْعَلْ مَا تُؤْمَرُ ۖ سَتَجِدُنِي إِن شَاءَ اللهُ مِنَ الصَّابِرِينَ
Swahili
 
Basi alipo fika makamo ya kwenda na kurudi pamoja naye, alimwambia: Ewe mwanangu! Hakika mimi nimeona usingizini kuwa ninakuchinja. Basi angalia wewe, waonaje? Akasema: Ewe baba yangu! Tenda unavyo amrishwa, utanikuta mimi, Inshallah, katika wanao subiri.

Ayah  37:103  الأية
    +/- -/+  
فَلَمَّا أَسْلَمَا وَتَلَّهُ لِلْجَبِينِ
Swahili
 
Basi wote wawili walipo jisalimisha, na akamlaza juu ya kipaji.

Ayah  37:104  الأية
    +/- -/+  

Ayah  37:105  الأية
    +/- -/+  
قَدْ صَدَّقْتَ الرُّؤْيَا ۚ إِنَّا كَذَٰلِكَ نَجْزِي الْمُحْسِنِينَ
Swahili
 
Umekwisha itimiliza ndoto. Hakika hivi ndivyo tunavyo walipa wanao tenda mema.

Ayah  37:106  الأية
    +/- -/+  
إِنَّ هَٰذَا لَهُوَ الْبَلَاءُ الْمُبِينُ
Swahili
 
Hakika haya ni majaribio yaliyo dhaahiri.

Ayah  37:107  الأية
    +/- -/+  

Ayah  37:108  الأية
    +/- -/+  
وَتَرَكْنَا عَلَيْهِ فِي الْآخِرِينَ
Swahili
 
Na tukamwachia (sifa njema) kwa watu walio kuja baadaye.


Ayah  37:110  الأية
    +/- -/+  
كَذَٰلِكَ نَجْزِي الْمُحْسِنِينَ
Swahili
 
Hivi ndivyo tunavyo walipa wanao fanya mema.

Ayah  37:111  الأية
    +/- -/+  
إِنَّهُ مِنْ عِبَادِنَا الْمُؤْمِنِينَ
Swahili
 
Hakika yeye ni katika waja wetu walio amini.

Ayah  37:112  الأية
    +/- -/+  
وَبَشَّرْنَاهُ بِإِسْحَاقَ نَبِيًّا مِّنَ الصَّالِحِينَ
Swahili
 
Na tukambashiria kuzaliwa Is-haqa, naye ni Nabii miongoni mwa watu wema.

Ayah  37:113  الأية
    +/- -/+  
وَبَارَكْنَا عَلَيْهِ وَعَلَىٰ إِسْحَاقَ ۚ وَمِن ذُرِّيَّتِهِمَا مُحْسِنٌ وَظَالِمٌ لِّنَفْسِهِ مُبِينٌ
Swahili
 
Na tukambarikia yeye na Is-haqa. Na miongoni mwa dhuriya zao walitokea wema na wenye kudhulumu nafsi zao waziwazi.

Ayah  37:114  الأية
    +/- -/+  
وَلَقَدْ مَنَنَّا عَلَىٰ مُوسَىٰ وَهَارُونَ
Swahili
 
Na kwa hakika tuliwafanyia hisani Musa na Haruni.

Ayah  37:115  الأية
    +/- -/+  
وَنَجَّيْنَاهُمَا وَقَوْمَهُمَا مِنَ الْكَرْبِ الْعَظِيمِ
Swahili
 
Na tukawaokoa wao na watu wao kutokana na dhiki kubwa.

Ayah  37:116  الأية
    +/- -/+  
وَنَصَرْنَاهُمْ فَكَانُوا هُمُ الْغَالِبِينَ
Swahili
 
Na tukawanusuru; na wakawa wao ndio wenye kushinda.

Ayah  37:117  الأية
    +/- -/+  
وَآتَيْنَاهُمَا الْكِتَابَ الْمُسْتَبِينَ
Swahili
 
Na tukawapa wawili hao Kitabu kinacho bainisha.

Ayah  37:118  الأية
    +/- -/+  
وَهَدَيْنَاهُمَا الصِّرَاطَ الْمُسْتَقِيمَ
Swahili
 
Na tukawaongoa kwenye Njia Iliyo Nyooka.

Ayah  37:119  الأية
    +/- -/+  
وَتَرَكْنَا عَلَيْهِمَا فِي الْآخِرِينَ
Swahili
 
Na tukawaachia (sifa njema) katika watu walio kuja baadaye.

Ayah  37:120  الأية
    +/- -/+  

Ayah  37:121  الأية
    +/- -/+  
إِنَّا كَذَٰلِكَ نَجْزِي الْمُحْسِنِينَ
Swahili
 
Hakika hivyo ndivyo tunavyo walipa walio wema.

Ayah  37:122  الأية
    +/- -/+  
إِنَّهُمَا مِنْ عِبَادِنَا الْمُؤْمِنِينَ
Swahili
 
Hakika wawili hao ni katika waja wetu walio amini.

Ayah  37:123  الأية
    +/- -/+  
وَإِنَّ إِلْيَاسَ لَمِنَ الْمُرْسَلِينَ
Swahili
 
Na hakika Ilyas bila ya shaka alikuwa miongoni mwa Mitume.

Ayah  37:124  الأية
    +/- -/+  
إِذْ قَالَ لِقَوْمِهِ أَلَا تَتَّقُونَ
Swahili
 
Alipo waambia watu wake: Hamwogopi?

Ayah  37:125  الأية
    +/- -/+  
أَتَدْعُونَ بَعْلًا وَتَذَرُونَ أَحْسَنَ الْخَالِقِينَ
Swahili
 
Mnamwomba Baa'li na mnamwacha Mbora wa waumbaji,

Ayah  37:126  الأية
    +/- -/+  
اللهَ رَبَّكُمْ وَرَبَّ آبَائِكُمُ الْأَوَّلِينَ
Swahili
 
Mwenyezi Mungu, Mola Mlezi wenu na Mola Mlezi wa baba zenu wa zamani?

Ayah  37:127  الأية
    +/- -/+  
فَكَذَّبُوهُ فَإِنَّهُمْ لَمُحْضَرُونَ
Swahili
 
Wakamkadhibisha. Basi kwa hakika watahudhurishwa;

Ayah  37:128  الأية
    +/- -/+  
إِلَّا عِبَادَ اللهِ الْمُخْلَصِينَ
Swahili
 
Isipo kuwa waja wa Mwenyezi Mungu walio safishwa.

Ayah  37:129  الأية
    +/- -/+  
وَتَرَكْنَا عَلَيْهِ فِي الْآخِرِينَ
Swahili
 
Na tumemwachia (sifa nzuri) kwa walio kuja baadaye.


Ayah  37:131  الأية
    +/- -/+  
إِنَّا كَذَٰلِكَ نَجْزِي الْمُحْسِنِينَ
Swahili
 
Hakika hivyo ndivyo tunavyo walipa walio wema.

Ayah  37:132  الأية
    +/- -/+  
إِنَّهُ مِنْ عِبَادِنَا الْمُؤْمِنِينَ
Swahili
 
Hakika yeye ni katika waja wetu walio amini.

Ayah  37:133  الأية
    +/- -/+  
وَإِنَّ لُوطًا لَّمِنَ الْمُرْسَلِينَ
Swahili
 
Na hakika Lut'i bila ya shaka ni miongoni mwa Mitume.

Ayah  37:134  الأية
    +/- -/+  
إِذْ نَجَّيْنَاهُ وَأَهْلَهُ أَجْمَعِينَ
Swahili
 
Tulipo mwokoa yeye na ahali zake wote,

Ayah  37:135  الأية
    +/- -/+  
إِلَّا عَجُوزًا فِي الْغَابِرِينَ
Swahili
 
Isipo kuwa mwanamke mkongwe katika wale walio bakia nyuma.

Ayah  37:136  الأية
    +/- -/+  

Ayah  37:137  الأية
    +/- -/+  
وَإِنَّكُمْ لَتَمُرُّونَ عَلَيْهِم مُّصْبِحِينَ
Swahili
 
Na hakika nyinyi mnawapitia wakati wa asubuhi,

Ayah  37:138  الأية
    +/- -/+  

Ayah  37:139  الأية
    +/- -/+  
وَإِنَّ يُونُسَ لَمِنَ الْمُرْسَلِينَ
Swahili
 
Na hakika Yunus alikuwa miongoni mwa Mitume.

Ayah  37:140  الأية
    +/- -/+  
إِذْ أَبَقَ إِلَى الْفُلْكِ الْمَشْحُونِ
Swahili
 
Alipo kimbia katika jahazi lilio sheheni.

Ayah  37:141  الأية
    +/- -/+  
فَسَاهَمَ فَكَانَ مِنَ الْمُدْحَضِينَ
Swahili
 
Akaingia katika kupigiwa kura, na akawa katika walio shindwa.

Ayah  37:142  الأية
    +/- -/+  
فَالْتَقَمَهُ الْحُوتُ وَهُوَ مُلِيمٌ
Swahili
 
Samaki akammeza hali ya kuwa ni mwenye kulaumiwa.

Ayah  37:143  الأية
    +/- -/+  
فَلَوْلَا أَنَّهُ كَانَ مِنَ الْمُسَبِّحِينَ
Swahili
 
Na ingeli kuwa hakuwa katika wanao mtakasa Mwenyezi Mungu,

Ayah  37:144  الأية
    +/- -/+  
لَلَبِثَ فِي بَطْنِهِ إِلَىٰ يَوْمِ يُبْعَثُونَ
Swahili
 
Bila ya shaka angeli kaa ndani yake mpaka siku ya kufufuliwa.

Ayah  37:145  الأية
    +/- -/+  
فَنَبَذْنَاهُ بِالْعَرَاءِ وَهُوَ سَقِيمٌ
Swahili
 
Lakini tulimtupa ufukweni patupu, hali yu mgonjwa.

Ayah  37:146  الأية
    +/- -/+  
وَأَنبَتْنَا عَلَيْهِ شَجَرَةً مِّن يَقْطِينٍ
Swahili
 
Na tukauotesha juu yake mmea wa kabila ya mung'unye.

Ayah  37:147  الأية
    +/- -/+  
وَأَرْسَلْنَاهُ إِلَىٰ مِائَةِ أَلْفٍ أَوْ يَزِيدُونَ
Swahili
 
Na tulimtuma kwa watu laki moja au zaidi.

Ayah  37:148  الأية
    +/- -/+  
فَآمَنُوا فَمَتَّعْنَاهُمْ إِلَىٰ حِينٍ
Swahili
 
Basi wakaamini, na tukawastarehesha kwa muda.

Ayah  37:149  الأية
    +/- -/+  
فَاسْتَفْتِهِمْ أَلِرَبِّكَ الْبَنَاتُ وَلَهُمُ الْبَنُونَ
Swahili
 
Basi waulize: Ati Mola wako Mlezi ndiye mwenye watoto wa kike, na wao wanao watoto wa kiume?

Ayah  37:150  الأية
    +/- -/+  
أَمْ خَلَقْنَا الْمَلَائِكَةَ إِنَاثًا وَهُمْ شَاهِدُونَ
Swahili
 
Au tumewaumba Malaika kuwa ni wanawake, na wao wakashuhudia?

Ayah  37:151  الأية
    +/- -/+  
أَلَا إِنَّهُم مِّنْ إِفْكِهِمْ لَيَقُولُونَ
Swahili
 
Ati ni kwa uzushi wao ndio wanasema:

Ayah  37:152  الأية
    +/- -/+  
وَلَدَ اللهُ وَإِنَّهُمْ لَكَاذِبُونَ
Swahili
 
Mwenyezi Mungu amezaa! Ama hakika bila ya shaka hao ni waongo!

Ayah  37:153  الأية
    +/- -/+  
أَصْطَفَى الْبَنَاتِ عَلَى الْبَنِينَ
Swahili
 
Ati amekhiari watoto wa kike kuliko wanaume?

Ayah  37:154  الأية
    +/- -/+  


Ayah  37:156  الأية
    +/- -/+  

Ayah  37:157  الأية
    +/- -/+  
فَأْتُوا بِكِتَابِكُمْ إِن كُنتُمْ صَادِقِينَ
Swahili
 
Basi leteni Kitabu chenu kama mnasema kweli.

Ayah  37:158  الأية
    +/- -/+  
وَجَعَلُوا بَيْنَهُ وَبَيْنَ الْجِنَّةِ نَسَبًا ۚ وَلَقَدْ عَلِمَتِ الْجِنَّةُ إِنَّهُمْ لَمُحْضَرُونَ
Swahili
 
Na wameweka makhusiano ya nasaba baina yake na majini; na majini wamekwisha jua bila ya shaka kuwa wao watahudhurishwa.

Ayah  37:159  الأية
    +/- -/+  
سُبْحَانَ اللهِ عَمَّا يَصِفُونَ
Swahili
 
Subhana 'Llah Ametakasika Mwenyezi Mungu na hayo wanayo msingizia.

Ayah  37:160  الأية
    +/- -/+  
إِلَّا عِبَادَ اللهِ الْمُخْلَصِينَ
Swahili
 
Isipo kuwa waja wa Mwenyezi Mungu walio safishwa.

Ayah  37:161  الأية
    +/- -/+  


Ayah  37:163  الأية
    +/- -/+  

Ayah  37:164  الأية
    +/- -/+  
وَمَا مِنَّا إِلَّا لَهُ مَقَامٌ مَّعْلُومٌ
Swahili
 
Na hapana katika sisi ila anapo mahali pake maalumu.

Ayah  37:165  الأية
    +/- -/+  
وَإِنَّا لَنَحْنُ الصَّافُّونَ
Swahili
 
Na hakika bila ya shaka sisi ndio wajipangao safu.

Ayah  37:166  الأية
    +/- -/+  
وَإِنَّا لَنَحْنُ الْمُسَبِّحُونَ
Swahili
 
Na hakika sisi ndio wenye kusabihi kutakasa.

Ayah  37:167  الأية
    +/- -/+  

Ayah  37:168  الأية
    +/- -/+  
لَوْ أَنَّ عِندَنَا ذِكْرًا مِّنَ الْأَوَّلِينَ
Swahili
 
Tungeli kuwa na Ukumbusho kama wa watu wa zamani,

Ayah  37:169  الأية
    +/- -/+  
لَكُنَّا عِبَادَ اللهِ الْمُخْلَصِينَ
Swahili
 
Bila ya shaka tungeli kuwa ni waja wa Mwenyezi Mungu wenye ikhlasi.

Ayah  37:170  الأية
    +/- -/+  
فَكَفَرُوا بِهِ ۖ فَسَوْفَ يَعْلَمُونَ
Swahili
 
Lakini waliukataa. Basi watakuja jua.

Ayah  37:171  الأية
    +/- -/+  
وَلَقَدْ سَبَقَتْ كَلِمَتُنَا لِعِبَادِنَا الْمُرْسَلِينَ
Swahili
 
Na bila ya shaka neno letu lilikwisha tangulia kwa waja wetu walio tumwa.

Ayah  37:172  الأية
    +/- -/+  
إِنَّهُمْ لَهُمُ الْمَنصُورُونَ
Swahili
 
Ya kuwa wao bila ya shaka ndio watakao nusuriwa.

Ayah  37:173  الأية
    +/- -/+  
وَإِنَّ جُندَنَا لَهُمُ الْغَالِبُونَ
Swahili
 
Na kwamba jeshi letu ndilo litakalo shinda.

Ayah  37:174  الأية
    +/- -/+  

Ayah  37:175  الأية
    +/- -/+  

Ayah  37:176  الأية
    +/- -/+  

Ayah  37:177  الأية
    +/- -/+  
فَإِذَا نَزَلَ بِسَاحَتِهِمْ فَسَاءَ صَبَاحُ الْمُنذَرِينَ
Swahili
 
Basi itakapo shuka uwanjani kwao, itakuwa asubuhi mbaya kwa walio onywa.


Ayah  37:179  الأية
    +/- -/+  

Ayah  37:180  الأية
    +/- -/+  
سُبْحَانَ رَبِّكَ رَبِّ الْعِزَّةِ عَمَّا يَصِفُونَ
Swahili
 
Subhana Rabbi'l'Izzat Ametakasika Mola Mlezi Mwenye enzi na yale wanayo mzulia.

Ayah  37:181  الأية
    +/- -/+  

Ayah  37:182  الأية
    +/- -/+  
وَالْحَمْدُ لِلَّهِ رَبِّ الْعَالَمِينَ
Swahili
 
Na sifa njema zote ni za Mwenyezi Mungu Mola Mlezi wa walimwengu wote.





© EsinIslam.Com Designed & produced by The Awqaf London. Please pray for us